Wazee wa kuoverload na kupress wanategeaNdio tuseme arsenal leo hawafanyi high pressing?
Wamekutana na wakali wa hizi kazi.
.. Tunawaambia kila sik hii sio maji maji ya songea au mbeya city wanadhan utan.
Hawa ni wapuuzi, na bado wana goli la haaland hapoArsenal mwendo wameumaliza