ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,265
- 4,453
Kuna mtu huwa kila mara ananitokea katika Ndoto
Huwa ananikatisha pale ambapo ninaongea na watu kuhusu mipango yangu.Huwa ananinyamazisha kwa ukali na kuniambia watu sio wema.
Mara nyingi ananitokea kwenye ndoto
Kiukweli mimi huwa na tabia ya kujadili au kuzungumzia mipango yangu na watu.Leo nimemkumbuka wakati wa mchana na sura imekuja kama vile ni mtu nimepata kumuona lakini nikijaribu kumkumbuka haji ispokuwa tu nimekumbuka maonyo yake yote aliyonipa.
Niulize wataalam wa mambo haya kama nilichukulie hili swala serious na niwe nakaa na mipango yangu moyoni bila kuwashirikisha watu
Nawakilisha
Huwa ananikatisha pale ambapo ninaongea na watu kuhusu mipango yangu.Huwa ananinyamazisha kwa ukali na kuniambia watu sio wema.
Mara nyingi ananitokea kwenye ndoto
Kiukweli mimi huwa na tabia ya kujadili au kuzungumzia mipango yangu na watu.Leo nimemkumbuka wakati wa mchana na sura imekuja kama vile ni mtu nimepata kumuona lakini nikijaribu kumkumbuka haji ispokuwa tu nimekumbuka maonyo yake yote aliyonipa.
Niulize wataalam wa mambo haya kama nilichukulie hili swala serious na niwe nakaa na mipango yangu moyoni bila kuwashirikisha watu
Nawakilisha