Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,930
- 2,554
...kaka hapa hata ya firauni hayafikii,hii imezidi,dunia haijielewi kabisa ...Ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni!
...kaka hapa hata ya firauni hayafikii,hii imezidi,dunia haijielewi kabisa ...Ukishangaa ya Musa utayaona ya Firauni!
No offence bro,
Ila ni ushetani tu huu..
God made everyone a masterpiece!
Kwanini 1930s hizi disorders hazikuwa nyingi hivi?
CC Nyani Ngabu......
Andrew Mbugua in court struggle to alter name in certificates
Alizaliwa na kuitwa: Andrew mbughua.
Sasa ajulikana ya kuwa: Audrey Mbughua Ithibu.
Sokomoko lilianza miaka saba baada ya kumaliza High School na kubainika ana mapungufu yaitwayo "Gender Identity Disorder".
Kufuatia uchunguzi huo wa kitaalamu basi Andrew akafanya operesheni na kujigeuza jinsia yake na kuwa mwanamke. Kivumbi kilianza alipoanza kubadilisha vyeti vya shule ili awe Audrey badala ya Andrew na baraza la Mitihani la Kenya KNEC limemgomea na hivyo kukimbilia mahakamani apatiwe fidia anayostahili.
Life is complicated!
CC Nyani Ngabu......
kuna watu wanakufananisha na adam mchomvu wa clouds fm bwahahahahaHuchoki tu kujipendekeza kwangu?
kuna watu wanakufananisha na adam mchomvu wa clouds fm bwahahahaha
wanakufananisha tabia......una character zote kama za adam mchomvu.....Watu wasionijua watanifananishaje na mtu nisiyemjua na asiyenijua? Mbona mnahangaika sana na kunijua...?
wanakufananisha tabia......una character zote kama za adam mchomvu.....
BTW mate wako jason collins mzima?
Tulia wewe nakula maisha london sasa hivi.....mie nimekuambia unafananishwa na adam mchomvu......na news za town mchomvu anachezewa kamchezo kabaya.....kosa langu ni lipi?Dogo unajitahidi sana kutafuta urafiki na mimi....kwa nini?
Kutwa kucha unamuwaza Ngabu tu....geeez louise!
Acha kunishobokea hivyo wewe. Ni udhaifu.
Tulia wewe nakula maisha london sasa hivi.....mie nimekuambia unafananishwa na adam mchomvu......na news za town mchomvu anachezewa kamchezo kabaya.....kosa langu ni lipi?
londo tunaishi ma intelectual mbwiga wewe....wakosa karatasi wotw mnapiga box marekani......London ndo umepaona pa maana hadi kutangaza unaishi huko?
Wewe mwongo...London hujawahi kufika na hutakaa ufike. Na hata ikitokea umeenda bado huko ni kwa wachovu wachovu wa sampuri yako.
Kwa ma ballers na ma shot callers wa ukweli huwezi kufika wewe. Kwa sasa endelea kula vumbi na kunuka kikwapa, sawa dogo?
Sasa katika hii picha "andrew" ni yupi? Kama ni huyo aliyevaa miwani kwa hakika "anastahili" kuwa 'mwanamke'
hivi hawa waliojibadilisha,wanableed kila mwezi kama sisi?:suspicious:
Kumuita dume ni makosa
huyu ana tatizo
ni ugonjwa wa kisaikolojia..
ni tatizo kazaliwa nalo.sio vizuri kumkejeli
sad news, God's plan
naomba mwongozo hapa, labda mimi sielewi vizuri....
hivi baraza la mitihani huwa wanabadilisha jina la mtu akibadilisha baada ya kuandika mtihani na matokeo kutoka?
naonaga watu wanaofanya hivyo huwa wanatembea na affidavit kuprove kuwa huyu ndo huyu.....
namfahamu mtu tulisoma naye mpaka tumemalisha f4 anaitwa Jesca Andrew, alipofika f5 akabadili dini anaitwa Saida Juma.... mpaka leo cheti chake cha f4 kimeandikwa Jesca Andrew na anatembea na affidavit kusema kuwa Jesca Andrew ni Saida Juma