The Internet 2015

This is amazing,
Naanza kuona jinsi ambavyo,
Vikampuni vya simu za mikononi,
vitatoweka vyenyewe bila,
kuguswa.
Naanza kuona jinsi serikalizitakavyo
shindwa kukopu na kasi hii ya ukuaji.

Itakuwa rahisi kabisa kufuatilia,
kwa ukaribu mienendo ya wanyama wetu,
mbugani 24/7.
In short kila kitu kitafutailiwa in real Time,
bila kelele wala mikwaruzo.

Hii kitu ingetafsriwa kiswahili,
wengi waweze kuielewa angalau,
kiduchu ingesaidia sana.
 
This is amazing,
Naanza kuona jinsi ambavyo,
Vikampuni vya simu za mikononi,
vitatoweka vyenyewe bila,
kuguswa.
Naanza kuona jinsi serikalizitakavyo
shindwa kukopu na kasi hii ya ukuaji.

Itakuwa rahisi kabisa kufuatilia,
kwa ukaribu mienendo ya wanyama wetu,
mbugani 24/7.
In short kila kitu kitafutailiwa in real Time,
bila kelele wala mikwaruzo.

Hii kitu ingetafsriwa kiswahili,
wengi waweze kuielewa angalau,
kiduchu ingesaidia sana.

Itabidi tumuombe Mtambuzi yeye ndiye nnafahamu kuwa ni mtaalam wa kutafsiri JF.
 
Last edited by a moderator:
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom