Ng'ombe 70 sio kitu kwetu, nawe walijua hilo kuwa tumebarikiwa. Hatujauza wala kuchinja so waweza kuja kuwachukua pamoja na waliozaliwa.
Nifah amefundwa na akafundika so ubabe kwake mwiko
hahahahahahaaaaa mbavu zangu, ila umeandika vizuri sanaNgoja nikumegee siri...
Hii makala nilitumia masaa mawili kuiandika,nilichokaaaaaa
Uwiiiiiiiii sirudii tena kuandika makala,nawaachia wenye vipaji vyao.
hahahahahahaaaaaa ahsanteHahahahaaaaaaaa asante Oppa
Makala ijayo utatumia lisaa,Ngoja nikumegee siri...
Hii makala nilitumia masaa mawili kuiandika,nilichokaaaaaa
Uwiiiiiiiii sirudii tena kuandika makala,nawaachia wenye vipaji vyao.
HahahahahahahahAbsolutely... Ila ukizingua nami nazingua mara 2 zaidi
Hahahah
Hahahahah.. koh koh kohAfu ujue nimeota Nifah una kibendi.
Jamaa ana haraka duuh!!
NakuaminiaNgoja nijipange mkuu,siku nikija na mpya ujue ni ubuyu wa kumung'unya mwaka mzima,rejea Talaka ya Mange Kimambi
Naanzia wapi sasa kuwa mbabe.. Ukishalegezaga kijicho chako si unajua vile nakiwa mpole kama swala kamulikwa tochi usoni mida ya usiku..Ubabe sio issue bwana... diplomacy ndio kila kitu.