The bold kakukuna sana! Hadi mmebadilishana avatar!!!
mkuu makala yote hii umeona hilo tu?
On behalf of myself naomba mrudishiane avatar zenu coz mnanichanganya kwa kua ni miongoni mwa watu huku ninaowatambua kwa avatar zaid kuliko id's zenu, plz
Sawa Mkuu! Soon tunafanya hivyo..On behalf of myself naomba mrudishiane avatar zenu coz mnanichanganya kwa kua ni miongoni mwa watu huku ninaowatambua kwa avatar zaid kuliko id's zenu, plz
Sa si unaona m najua ana respond nifah kwa sauti nyororo kumbe wewe kiongozi na sauti yako kav ka nn?? Hahahaaaa...Sawa Mkuu! Soon tunafanya hivyo..
Sa si unaona m najua ana respond nifah kwa sauti nyororo kumbe wewe kiongozi na sauti yako kav ka nn?? Hahahaaaa...
Me Leo zimenichanganya Dp zenu maana ukisoma unajua huyu muandishi ni Nifah au The Bold ila Dp unaona vingine ila " I like da chemistry" # The bold's
Kamuulize shigongo anamajibu yooteeeHivi hii ilikuwaje? Ujue huwa nasikia tu?
Wallah sijui
Uchambuzi Mzuri... Hongera sana mkuu... USHAURI: Niliposoma uzi huu, nilivutiwa kupitia nyuzi zako zingine zaid, lakini sikukuta taarifa yoyote kwenye akaunti yako.... Kwa ajili ya kutuwezesha watu wachache kama si wengi kama mimi, si vibaya ukarekebisha mitambo yako Ili tuweze kupata kumbukumbu za nyuzi zako kirahisi zaidi. Yote Kwa Yote Kazi Nzuri.
Hahahahah jamani, ujue we siku unapowekaga akili zako za asubuhi unakuwa mtamu sana.kwa ile namba 1 kwenye The Highs lazima unipende tu.
Asante mama