Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,757
Ndio hulka ya binadamu zilivyo... Tukiona mtu anapiga hatua fulani automatically kiini cha "insecurity" kilichopo kwenye kila nafsi ya binadamu kinakuwa triggered na matokeo yake inazaa chuki bila hata mtu huyo kukukosea!!OMG! Niseme nini sasa? Asante Mungu kwa huyu Bold...
Naam,maadui ni wengi lakini wewe piga kazi tu.
Nakumbuka ulipoanza wengi wa maadui walikuwa wakikusifu na kukupamba,sifa zilipozidi kumiminika kila pembe hii ya JF wengi wamegeuka maadui.
Lakini hii yote isikukatishe tamaa baba...endelea kuchapa kazi bila kujali.
Am proud of you [emoji8] [emoji122] [emoji122]
Asante sana comrade!! This means a lot, especially coming from you..Boss ningekuwa na ukarimu japo robo ya ulionao ningekuwa mbali sana. Yani mtu anasoma maandishi yako hadi mishipa ya ufahamu inasisimuka.
Salute sana mkuu The bold !!
Boss ningekuwa na ukarimu japo robo ya ulionao ningekuwa mbali sana. Yani mtu anasoma maandishi yako hadi mishipa ya ufahamu inasisimuka.
Salute sana mkuu The bold !!
Hahaa!! Umeadimika sana boss.Bwana Nyani Ngabu....habari yako braza 😀
Ah mi mbona nipo tu kila siku humu.Hahaa!! Umeadimika sana boss.
Ah mi mbona nipo tu kila siku humu.
Juzi nimeshusha nondo za wabongo wanaoishi South Africa kule[emoji23]
Na ule utirio wangu wa entrepreneurship watu huwa wanau appreciate sana yani....
Hahaaa.....just goofing around man.
You know what it is...
Ahahaaa....mbona kawaida tu kaka...Nimeona boss ulivyowachambua masela wa Sauz, sijui walikufanya nini, maana si kwa shades zile ulizorusha.
Boss tuachane na hayo. Ktk watu wanaonichanganya zaidi hapa JF ni wewe. Vingleza unavyotumia ndugu ni vile vilivyompa Marehemu Andy Chande u-Sir, nipe siri ndugu. Maana km kusoma vitabu, sikumbuki idadi, movie ndio nimemaliza zote, andika vitu vingi sana lkn vocabs nnazotumia ni zilezile ambazo nazijua since elementary school.
Huyu Nyani Ngabu huwa simuelewielewi vizuri, yupo kotekote anaweza kuvaa sura hata kumi tofauti. Ujana, Uzee,Serous, Utani,Utata,Umakini, kujitoa fahamu. Ingekuwa football ningemuita kiungo mjanjamjanja. Ila yuko vizuri sana.Dah kweli kabisa mkuu Nguruvi ni mmoja wa wajuvi wa mambo...ila na nyani ngabu japo mtata mtata ila ni very critical ukimuingia kichwa kichwa uunakimbia😀😀
Teh teh teh....hahahaahah daaah nyani ngabu wewe una upekee sanaa, mtu ata akuchukie vp mwishoni atakupenda tu, na ukitaja mastar au watu wenye majina humu wa kwanza Lara 1 wa pili Nyani Ngabu.
Huyu Nyani Ngabu huwa simuelewielewi vizuri, yupo kotekote anaweza kuvaa sura hata kumi tofauti. Ujana, Uzee,Serous, Utani,Utata,Umakini, kujitoa fahamu. Ingekuwa football ningemuita kiungo mjanjamjanja. Ila yuko vizuri sana.
Nyani Ngabu nimependa Tafsiri yako ya Intelligence, Ila the Bold anakuwa bora kwa kuweza kuyaweka katika Lugha nyepesi, ya kueleweka,Picha, etc hakuna mtu mwingine yoyote amewahi kufanya hivyo humu kwa uzito uleule wa mkuu The Bold. Hiyo inafanya kuwa Outlier ktk jamiiF. Pia anaweza kuwa Humblest person in JF angekuwa kama wengi humu na sisi tungeishakuwa na vichwa vikubwa sana.
Ila kwa maana ya kusoma au kusikiliza Documentary unaweza kukokota JF nzima kuelekea upande wowote ule utakaotaka maana wengi bado tuna traditional and limited mindset. Niliwahi kufuatilia documentary moja ya High Profile and VIP Bodyguarding ya British SAS niliogopa hadi kuja kuelezea humu maana Watu wenda wangeniona Champion. Na kwa sababu hili Tatizo haipo kwa Raia tu ni hadi wanausalama na wengi wa viongozi wetu unaweza kujikuta unatafutwa na na kuonekana kama unatoa siri kumbe vitu viko kati ya umbali wa jicho na screen.
Teh teh teh....
Najua wengi wananikubali hata kama ni kimya kimya au kwa shingo upande.
Baadhi yao [ma fans wangu] huja na ID mbadala wakiona nimeshusha utirio uliowakuna. Sasa sijui huwa wanaona noma kunipa big up na IDs zao zilizozoeleka....ah wanajua wenyewe!
İla hapo kwenye ustar sikubaliani nawe.
Lara hawezi kumzidi living legend bana.
Hivyo mimi nitoe kwenye orodha.
Mimi nipo kwenye Mt. Rushmore ya JF.
Ukiangalia kwenye kamusi ya synonymes kuhusu JF, entry ya kwanza ni Nyani Ngabu
Hahahaaaa....natania tu bana. Maana kuna watu wapo gullible sana humu...
Wewe ni sugu[emoji13]Ujue hata mimi huwa sijielewi kabisa.
Sijui kabisa akili yangu huwa inafanyaje kazi.
Halafu mimi ni kibabu gagula....nimepinda mugongo [emoji23]
Kuhusu intelligence, hilo suala mpaka sasa halina muafaka.
Na kwa msingi huo linabaki kuwa ni suala la mtazamo tu.
Hakuna kabisa objective metric inayokubalika na wote.
Wewe ni sugu[emoji13]
Oh yeah...!Hey Rei Rei....Ijumaa leo...pop quiz inaweza kuja muda wowote...na hakuna kuangalizia kwenye Google...
Oh yeah...!
Bring it on baby[emoji123]
Absolutely...So today will be about laches and acquiescence....
Are you game?