Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 7,697
- 15,966
Ule mkwala wa Gwajima nimtishia mtu siku ya jana akasalenda.
Nilimwambia"usupoleta hela yangu leo hii nitakatakata vipande vipande na moshi utatoka",jamaa akatuma pesa chap kwa haraka.
Nilimwambia"usupoleta hela yangu leo hii nitakatakata vipande vipande na moshi utatoka",jamaa akatuma pesa chap kwa haraka.