Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,825
Yoyote anayesimama Kukemeà Utekaji na Mauaji, Nasimama naye !!.Gwajima anakububujisha machozi?
Yoyote anayesimama Kukemeà Utekaji na Mauaji, Nasimama naye !!.Gwajima anakububujisha machozi?
nchi gani?Usicheze Na Nchi hii na kuleta ujinga wako. Amani yetu tutailinda kwa jasho na Damu na kwa gharama yoyote ile na hatuwezi kukubali mtu mmoja na genge lake kutaka kuleta ujinga jinga wa kuhatarisha usalama wa Taifa. Kugusa usalama na amani yetu ni kuchezea moto kwa ulimi na kugusa mboni za watanzania kwa kucha.
Huenda mwenzenu anapakwa mafuta kama boniface mwangiAskofu yupo kwenye maombi ya siku saba, tunasikilizia baada ya mfungo kuisha 😁
Hapakwi mafuta vyumba vya siri!?Katika watu walioshiriki kuomba pale nje, kuna mtu kama alivyo yeye kavaa kofia. Yupo na anataka kuonyesha yeye ni akili kubwa. Policcm wako pale wameshindwa kumtambua. Lisilokuuwa linakukomaza.
Nchi hii mambo mengi siyajui. Kumbe nchi inatembea na mimi sina habari. Au tuseme nchi imekaa na sasa inatakiwa kusimamaDid it happen?
Leo si ndo Gwajima alikuwa asimamishe nchi..
Nijuzeni tafadhalini maana wengine huku Simiyu kupata hela ya bando ni mbinde kwelikweli.
Ngoja tuendelee kusikiliziaDid it happen?
Leo si ndo Gwajima alikuwa asimamishe nchi..
Nijuzeni tafadhalini maana wengine huku Simiyu kupata hela ya bando ni mbinde kwelikweli.
Kwao wananchi ni kenge tu.wako lulinda dola tuMngetumia hilo jasho na damu kulinda wananchi wasio na hatia wasitekwe wala kuuawa hovyo tungewaelewa
Amani ipi we qqumaUsicheze Na Nchi hii na kuleta ujinga wako. Amani yetu tutailinda kwa jasho na Damu na kwa gharama yoyote ile na hatuwezi kukubali mtu mmoja na genge lake kutaka kuleta ujinga jinga wa kuhatarisha usalama wa Taifa. Kugusa usalama na amani yetu ni kuchezea moto kwa ulimi na kugusa mboni za watanzania kwa kucha.
Kumbe dola ndio inayoteka na kuua watu?Dola ni dude kubwa sana, likituna kwenye chumba alichokaa Gwajima, atajua kwamba mambo si rahisi. Dola ikiamua kulinda nchi, Gwajima ni sisimizi anayepaswa kusiginwa awe vumbi
Dola ipi hii ambayo account zake zinadakuliwa Kama za udaku?Usicheze Na Nchi hii na kuleta ujinga wako. Amani yetu tutailinda kwa jasho na Damu na kwa gharama yoyote ile na hatuwezi kukubali mtu mmoja na genge lake kutaka kuleta ujinga jinga wa kuhatarisha usalama wa Taifa. Kugusa usalama na amani yetu ni kuchezea moto kwa ulimi na kugusa mboni za watanzania kwa kucha.
Jigwa ni mwamba sana ila uhalisia Huwezi shindana na dola chifuDola ni dude kubwa sana, likituna kwenye chumba alichokaa Gwajima, atajua kwamba mambo si rahisi. Dola ikiamua kulinda nchi, Gwajima ni sisimizi anayepaswa kusiginwa awe vumbi
Kumbe dola ndio inayoteka na kuua watu?
Muda kweli ni hakimu mzuri, mmeanza kutoa siri kabla hamjababanishwa na wahisani wenu.
Kajamaa kashoga hako kakaushie...majinga sana majitu ya ccm, reasoning ndogo tu wanashindwa kufanyaWe mjinga,
Dola lingelinda nchi watu wanngetekwa, kuuwawa na kupotezwa?
Ni muda wa kuwabamiza wanaoongoza kenge, kama wananchi ni kenge basi viongozi wa wananchi ni makenge, sas atuwakatae hawa makengeKwao wananchi ni kenge tu.wako lulinda dola tu
Hayo ni madhaifu ya mtandao wenyewe,obama, Merkel, netanyahu nk wote washawahi hackiwaDola ipi hii ambayo account zake zinadakuliwa Kama za udaku?
Akijibu nitagWe mjinga,
Dola lingelinda nchi watu wanngetekwa, kuuwawa na kupotezwa?
Kwani ili moto uwake unahitaji njiti ngapi mkuu.Dola ni dude kubwa sana, likituna kwenye chumba alichokaa Gwajima, atajua kwamba mambo si rahisi. Dola ikiamua kulinda nchi, Gwajima ni sisimizi anayepaswa kusiginwa awe vumbi
Unalinda amani halafu kina Abdul wanajichotea mabilioni na kuyatoroshea Dubai ?Usicheze Na Nchi hii na kuleta ujinga wako. Amani yetu tutailinda kwa jasho na Damu na kwa gharama yoyote ile na hatuwezi kukubali mtu mmoja na genge lake kutaka kuleta ujinga jinga wa kuhatarisha usalama wa Taifa. Kugusa usalama na amani yetu ni kuchezea moto kwa ulimi na kugusa mboni za watanzania kwa kucha.
Acha kuwachafua watu humu jukwaani kwa roho yako ya wivu na chuki binafsiUnalinda amani halafu kina Abdul wanajichotea mabilioni na kuyatoroshea Dubai ?
Mpuuzi mkubwa sana wewe.