The great comeback

The great comeback

Usicheze Na Nchi hii na kuleta ujinga wako. Amani yetu tutailinda kwa jasho na Damu na kwa gharama yoyote ile na hatuwezi kukubali mtu mmoja na genge lake kutaka kuleta ujinga jinga wa kuhatarisha usalama wa Taifa. Kugusa usalama na amani yetu ni kuchezea moto kwa ulimi na kugusa mboni za watanzania kwa kucha.
 
Usicheze Na Nchi hii na kuleta ujinga wako. Amani yetu tutailinda kwa jasho na Damu na kwa gharama yoyote ile na hatuwezi kukubali mtu mmoja na genge lake kutaka kuleta ujinga jinga wa kuhatarisha usalama wa Taifa. Kugusa usalama na amani yetu ni kuchezea moto kwa ulimi na kugusa mboni za watanzania kwa kucha.
Mngetumia hilo jasho na damu kulinda wananchi wasio na hatia wasitekwe wala kuuawa hovyo tungewaelewa
 
Ndio tunajadiliana nae kupitia namba mpya kama atachukua tubilioni twake awe upande wetu au akatae tuanze kumfilisi
 
Usicheze Na Nchi hii na kuleta ujinga wako. Amani yetu tutailinda kwa jasho na Damu na kwa gharama yoyote ile na hatuwezi kukubali mtu mmoja na genge lake kutaka kuleta ujinga jinga wa kuhatarisha usalama wa Taifa. Kugusa usalama na amani yetu ni kuchezea moto kwa ulimi na kugusa mboni za watanzania kwa kucha.
Leo hujabubujikwa na machozi?
 
Did it happen?

Leo si ndo Gwajima alikuwa asimamishe nchi..

Nijuzeni tafadhalini maana wengine huku Simiyu kupata hela ya bando ni mbinde kwelikweli.
Ilipofika saa tisa ,Akaunti YouTube ikawa Live , waiting for Gwajima !!

Imechukua dakika kama 20, Live Streaming ikakata Pasipo Gwajima kuhutubia.

Nadhan

1-Kasitisha baada ya kuona Mamilioni ya Watu yako Mkutano wa CHADEMA Dodoma

Au

2-Ambao 'tupo' nyuma yake ,tumemwàmbia Sitisha kwanza.


Au

3-Kaona arekodi Kisha ataiachia !!.


Yote Kwa yote, BISHOP GWAJIMA SIO MTU WA KUYUMBA, LAZIMA ATAMVUNJA VUNJA SAMIA , NA BOMU ANALOENDA KULIACHA, NI BOMU LA WATEKAJI NA WALIOPO NYUMA YA WATEKAJI NA ÀNAYEWAFADHILI.


Siku hiyo Nchi itasimama.
 
Ilipofika saa tisa ,Akaunti YouTube ikawa Live , waiting for Gwajima !!

Imechukua dakika kama 20, Live Streaming ikakata Pasipo Gwajima kuhutubia.

Nadhan

1-Kasitisha baada ya kuona Mamilioni ya Watu yako Mkutano wa CHADEMA Dodoma

Au

2-Ambao 'tupo' nyuma yake ,tumemwàmbia Sitisha kwanza.


Au

3-Kaona arekodi Kisha ataiachia !!.


Yote Kwa yote, BISHOP GWAJIMA SIO MTU WA KUYUMBA, LAZIMA ATAMVUNJA VUNJA SAMIA , NA BOMU ANALOENDA KULIACHA, NI BOMU LA WATEKAJI NA WALIOPO NYUMA YA WATEKAJI NA ÀNAYEWAFADHILI.


Siku hiyo Nchi itasimama.
Gwajima anakububujisha machozi?
 
Back
Top Bottom