Watu wana masikio, wana macho, na wanaufahamu wa kutosha kumaizi mambo ya kisiasa na kiuchumi yanayotokea nchini kila uchao, kiasi cha kuwafanya wakate shauri kuhusu hatma ya uongozi wa nchi yao...tuwe na subira wakati muda huo utakapowadia! Vionginevyo hayo mavuvuzera ya kupigiana upatu ni km kupitisha wakati tu! Kudanganyika mara moja ni bahati mbaya, mara mbili ni ujinga, mara tatu ni kujitakia!