The flamboyant Lowassa

Watu wana masikio, wana macho, na wanaufahamu wa kutosha kumaizi mambo ya kisiasa na kiuchumi yanayotokea nchini kila uchao, kiasi cha kuwafanya wakate shauri kuhusu hatma ya uongozi wa nchi yao...tuwe na subira wakati muda huo utakapowadia! Vionginevyo hayo mavuvuzera ya kupigiana upatu ni km kupitisha wakati tu! Kudanganyika mara moja ni bahati mbaya, mara mbili ni ujinga, mara tatu ni kujitakia!
 
This is unbelievable... we r witnessing story in the making! Laingwan is proving to be unabandoned wagon within the CCM rankings towards the ultimate coronation!
Geza,
Lisilowezekana kwa mwanadamu, kwa Mungu linawezekana!.

Mwana wa Adamu Alikuja kwa ajili ya waliopotea na sio kwa ajili ya watakatifu!.
Tena akahimiza "wote wenye mizigo waje kwangu nitawapumzisha!"

Wakuu wa kanisa wanapaswa kutenda kama mkuu wao kuwakumbatia wasio wakamilifu ili kuwatakasa!.

Na mwisho nasisitiza, " JIWE WALILOLIKATAA WAASHI LITAFANYWA KUWA JIWE KUU LA PEMBENI!".
 
Geza,
Lisilowezekana kwa mwanadamu, kwa Mungu linawezekana!.

Mwana wa Adamu Alikuja kwa ajili ya waliopotea na sio kwa ajili ya watakatifu!.
Tena akahimiza "wote wenye mizigo waje kwangu nitawapumzisha!"



Wakuu wa kanisa wanapaswa kutenda kama mkuu wao kuwakumbatia wasio wakamilifu ili kuwatakasa!.

Na mwisho nasisitiza, " JIWE WALILOLIKATAA WAASHI LITAFANYWA KUWA JIWE KUU LA PEMBENI!".

You bet, nothing is impossible to God! na vile hatujui kila mtu anawasiliana vipi na Mungu hakuna mwenye haki ya kumrushia mwenzie jiwe.
 
1.jpg
3.jpg
13.jpg
17.jpg
15.jpg
16.jpg


This is unbelievable... we r witnessing story in the making! Laingwan is proving to be unabandoned wagon within the CCM rankings towards the ultimate coronation!

Credit: michuzi-matukio.blogspot.de

Hapo ilikuwa Ifakara kwenye ufunguzi wa Jimbo jipya la Ifakara.Alisema kuwa atachangia harambe ya Jimbo hilo jipya pale watakavyo hamua kufanya hivyo.Lakini mzee kachoka na akitembea anatetemeka miguu na mikono.
 
mzee acha kukurupuka,Yesu alipokuja duniani hakuja kwaajili ya watu wema,bali kwa wenye dhambi ili wapate kutubu.Pia kwa yeyote anayejiona kua hana dhambi na awe wa kwanza kumtupia Lowasa mawe.Pia kipimo cha dhambi ni Mungua anayejua.Mungu ndiye anayejua kua Lowasa ana dhambi au la.Pia leo hii ukiambiwa Lowasa ana utajiri wa kiasi gani na uko wapi utasemaje?
Inanishangaza tunapoanza kutumia maandiko kutetea hoja zilizo wazi, tukiamua kumhusisha yesu na suala la ujio wake duniani tunaingia katika mambo ya imani ila suala la lowasa halihusiani na mambo ya kiimani ila uadilifu wake kwenye jamii na vipi jamii inamchukulia! Unaweza kutujuza kwanini amekuwa na kasi ya kuhudhuria matukio ya kikanisa kama lengo lake si kukijenga upya kivuli chake ndani ya jamii? Najua maisha ni magumu lakini usikubali kutumia fikra za mtu mwingine ndani ya kichwa chako ili ukidhi kupata mkate wa kesho! Ingekuwa ni nyakati za kina chifu mangungo akiwa ungeweza kujiuza hata utumwani weye.
 
Eeee wajameni hizi picha zina maelezo mengi lakini yoote yakiongea kitu kimoja tu! Nacho ni power of this man from Monduli...

Hebu tujaribu kujiuliza kama leo hii wewe unaonyeshwa hizi picha halafu humjui Lowassa halafu unaambiwa utoe maelezo! Nina uhakika 99% utasema Mtu mrefu mwenye mvi ndiye center of attention na hizi picha zinaonyesha ni mtu mkubwa/mashuhuri/kiongozi katika jamii!

Japokuwa kanisa Katoliki limejaribu kukataa kumualika Lowassa ukweli ni kwamba technically Lowassa ndiye alikuwa Mgeni Rasmi katika uzinduzi ule! Na ndiye aliyeiwakilisha serikali japokuwa kulikuwa na Mh Bendera, Waziri Kombaini na Waziri Mponda hawa woote hawakuwa na ukuu aliokuwa nao Mh Lowassa ambaye kiwadhifa ni Mbunge tu wa Monduli!

Hebu angaliani anavyonyenyekewa! Hii nchi imenunuliwa jamani tukubaliane hilo huyu jamaa ni noma!

What should they do if cant beat him?
 
Hongera Mh Lowasa

unakubarika na jamii ndio maana kila kukicha jina lako linatajwa mahali popote pale

JF,WANABIDI,MABADILIKO,FAHAMU,MAKANISANI NA MISIKITINI

Hakika jamii ina imani nawe
 
Ivi lowasa ana kosa gani?? Nani anaweza kuniorodheshea makosa ya lowasa hapa?? Sitanii mimi ni kati ya wanaompenda Lowasa (sio chama chake ) lakini kwa utendaji wakenamkubali. Pengine niorodheshewe ufisadi wake humu with evidence otherwise tuache majungu na kuchafuana.

Hayupo wa kutoa orodha ya makosa.
 
Hatukatai Lowassa alikosea lakini sisi tunaendelea kulalamika na kumsema , utakuta yeye ameshatubu na kutengeneza na Mungu wake kwa hiyo ana amani kwenda popote. Biblia inasema dhambi zako zijapokuwa nyekundu kama damu nitazisafisha zitakuwa nyeupe kama theluji.
Hawezi kutubu tu kirahisirahisi alafu asamehewe lazima aturudishie hela zetu.
Hata watu wote wakimsamehe mimi zakwangu lazima arudishe tena mara tatu.
Haiwezekani si tuteseke alafu yeye aseme ameshatubu.
 
mh...ila ukitazama muda tunayotumia kumjadili...iwe kwa mabaya au kwa mazuri..kwangu nikumpandisha chat..na kawaida binadamu akizoea kuona kitu mara kwa mara au kukisikia ..anaweza kuamini..isije akaja kuaminiwa na wananchi...

nataka niingie pale synovate nikaone..huyu jamaa toka mwaka huu umeanza kaandikwa mara ngapi katika mitandao na magazeti..ikiwemo na picha ambazo kapigwa na kutolewa..kuanzia Front Page hadi page za ndani...nia nikuona ni mileage ngapi jamaa anaipata iwe
1.kwa siku ...2..kwa wiki...3..kwa mwezi...
 
Kanisa katoliki ni kanisa langu tangu kuzaliwa kwangu.Nimezaliwa na kukulia humo.Ni kanisa thabiti na lisiloteteleka.Lakini,kwa sasa mnaniangusha.Mtamwalikaje fisadi nambari moja nchini Edward Ngoyai Lowassa tena kwenye sherehe ya kumsimika Askofu Saritarius Libena? Hamjui kuwa pesa alizonazo Lowassa ni chafu? Kardinari Pengo umeruhusu jambo hili? Kanisa langu lapoteza dira...
Proof please!!!!
 
Ivi lowasa ana kosa gani?? Nani anaweza kuniorodheshea makosa ya lowasa hapa?? Sitanii mimi ni kati ya wanaompenda Lowasa (sio chama chake ) lakini kwa utendaji wakenamkubali. Pengine niorodheshewe ufisadi wake humu with evidence otherwise tuache majungu na kuchafuana.
Red ndo jibu!
 
Kanisa katoliki ni kanisa langu tangu kuzaliwa kwangu.Nimezaliwa na kukulia humo.Ni kanisa thabiti na lisiloteteleka.Lakini,kwa sasa mnaniangusha.Mtamwalikaje fisadi nambari moja nchini Edward Ngoyai Lowassa tena kwenye sherehe ya kumsimika Askofu Saritarius Libena? Hamjui kuwa pesa alizonazo Lowassa ni chafu? Kardinari Pengo umeruhusu jambo hili? Kanisa langu lapoteza dira...

mine below is an old argument lakini there's no harm repeating it here...

ninajua watu lukuki hapa mjini (na wewe unayesoma post hii nimekuhesabu) mishahara yao haizidi hata 1M kwa mwezi na wakati huo huo hawana biashara nyingine yoyote lakini wanasomesha watoto wao feza, etc na wanaishi so lavishly. na wengine huwa wanachanga sana huko huko makanisani kwa hela hizo hizo.
now, can you explain this? if you can, then go after EL and justify the criteria you have used to rank him (in red above)......or else shove it!

kwa vile wewe ni mkristo kama mimi, acha turudi kwenye maandiko matakatifu.

Mathayo 7:3 inasomeka hivi:
"Why do you look at the speck of sawdust in your brother's eye and pay no attention to the plank in your own eye?".
this bible quote is self-explanatory...sina haja ya kufafanua.

kwenye Yohana 8:3-5 kuna swali ameulizwa mwalimu Yesu:
"The teachers of the law and the Pharisees brought in a woman caught in adultery. They made her stand before the group and said to Jesus, 'Teacher, this woman was caught in the act of adultery. In the Law Moses commanded us to stone such women. Now what do you say?'"

embu soma hapa chini mwalimu Yesu alivyotoa jibu kwa swali hilo hapo juu (Yohana 8:7):
......."Let any one of you who is without sin be the first to throw a stone at her."
again, self explnatory.

mimi simtetei EL. lakini pia siyo fair kabisa kwa EL kuhukumiwa na watu ambao wana dhambi sawa na (au hata kumzidi) yeye. only nyerere did it, and rigthly so!
 
Duh, kweli pesa ilimsaliti hata Bw Yesu. Tazama Bw Pengo alivyokenua hadi gego la mwisho. Sijui hiyo hundi kibindoni itakuwa ya milioni ngapi!
 
nime givu up-Lowassa chukua nchi
Do not give up so easily. Zaidi ya 60% ya wapigakura 2015 watakuwa group ambayo ushawishi wa watu kama Pengo kwao ni minimal. Hizi nyimbo za Lowasa na ajira kwa vijana hazitamsaidia sana. Mwache aendelee kumwaga pesa, mwisho wa siku atakapokosa anachotafuta ataambulia mshituko wa moyo.
 
Mtoa mada umejaa mahaba yasiyo kifani kwa EL,, yaani mpaka unatia kinyaa kwa kweli
 
Back
Top Bottom