Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro. |
Wanafunzi wa Shule ya Sekindari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's iliopo Mkoani Morogoro wakiimba wimbo maalum wa kumkaribisha Mh. Waziri Mkuu Mstaafu. |
ivi lowasa ana kosa gani?? Nani anaweza kuniorodheshea makosa ya lowasa hapa?? Sitanii mimi ni kati ya wanaompenda lowasa (sio chama chake ) lakini kwa utendaji wakenamkubali. Pengine niorodheshewe ufisadi wake humu with evidence otherwise tuache majungu na kuchafuana.
Alianzia huku kabla ya kwenda huko
Lowassa Atembelea Shule ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro
Waziri Mkuu Mstaafu,Mh. Edward Lowassa akizungumza na Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's ya Mkoani Morogoro.
Wanafunzi wa Shule ya Sekindari ya Wasichana ya Mtakatifu Ann's iliopo Mkoani Morogoro wakiimba wimbo maalum wa kumkaribisha Mh. Waziri Mkuu Mstaafu.
Geza Ulole mkuu ulichokisema ni kweli,hizi picha zina msg sana! Kila mtu amedraw attention as if Mh.Rais anapita! Kila mtu ana furaha kumsalimia!!!
Geza Ulole mkuu ulichokisema ni kweli,hizi picha zina msg sana! Kila mtu amedraw attention as if Mh.Rais anapita! Kila mtu ana furaha kumsalimia!!!
Ufisadi wa Lowasa ni upi?angalieni chuki zisije kuwamalizaKanisa katoliki ni kanisa langu tangu kuzaliwa kwangu.Nimezaliwa na kukulia humo.Ni kanisa thabiti na lisiloteteleka.Lakini,kwa sasa mnaniangusha.Mtamwalikaje fisadi nambari moja nchini Edward Ngoyai Lowassa tena kwenye sherehe ya kumsimika Askofu Saritarius Libena? Hamjui kuwa pesa alizonazo Lowassa ni chafu? Kardinari Pengo umeruhusu jambo hili? Kanisa langu lapoteza dira...
Utabaki hivyohivyo na chuki zako binafsi. Hon. Lowassa anaendelea kupeta kama kawaida. Chukua kitanzi ujinyonge tu.msitaafu au waziri mwizi na tapeli aliyejiuzulu!?
kaa kimya!unakaa nchi gani kwanza na una umri gani na akili yako ikoje?kama hujui makosa ya huyu mwizi!
askofu ndorobo ni shemeji wa lowasa..ni mikakati hiyo..hamjui tu
Hongera sana Hon. Edward Ngoyai Lowassa. Hakika wewe ni tunu maalum kutoka kwa mwenyezi Mungu tuliyopewa watanzania ili utukomboe. 2015 nina uhakika utaitwa His Excellency, The President Of United Republic Of Tanzania. Watanzania daima tupo pamoja nawe na Mungu akubariki.