The First Ten Things A Guy Notices On A Lady In 10 Seconds

Nautilia mashaka utoto wa mjini wako,,,Au lugha haipandi mkuu??? Embu angalia namba 7 mdau ameongelea nini?

Sitaki nikuumbue bt ngoja nikupe somo.. Namba 7 imesema feet sasa feet ni kuanzia kwenye kiganja mpaka kwenye vidole vya miguu LEGS ni kuanzia kwenye goti mpaka kiganja sasa umeelewa so dont insult my intelligence na kusema sijui lugha mi na wewe nani hajui lugha hapo? Nakusamehe kwa leo bt usirudie siku nyingine ue unasoma dictionary kwanza kabla ya kuanza kuandika hapa
 
Sitaki nikuumbue bt ngoja nikupe somo.. Namba 7 imesema feet sasa feet ni kuanzia kwenye kiganja mpaka kwenye vidole vya miguu LEGS ni kuanzia kwenye goti mpaka kiganja sasa umeelewa so dont insult my intelligence na kusema sijui lugha mi na wewe nani hajui lugha hapo? Nakusamehe kwa leo bt usirudie siku nyingine ue unasoma dictionary kwanza kabla ya kuanza kuandika hapa
unaposema kiganja unamaanisha zile kongo mbili kule mguuni au?
 
Sitaki nikuumbue bt ngoja nikupe somo.. Namba 7 imesema feet sasa feet ni kuanzia kwenye kiganja mpaka kwenye vidole vya miguu LEGS ni kuanzia kwenye goti mpaka kiganja sasa umeelewa so dont insult my intelligence na kusema sijui lugha mi na wewe nani hajui lugha hapo? Nakusamehe kwa leo bt usirudie siku nyingine ue unasoma dictionary kwanza kabla ya kuanza kuandika hapa

Dah haya kaka,,nimekubali
 
Sitaki nikuumbue bt ngoja nikupe somo.. Namba 7 imesema feet sasa feet ni kuanzia kwenye kiganja mpaka kwenye vidole vya miguu LEGS ni kuanzia kwenye goti mpaka kiganja sasa umeelewa so dont insult my intelligence na kusema sijui lugha mi na wewe nani hajui lugha hapo? Nakusamehe kwa leo bt usirudie siku nyingine ue unasoma dictionary kwanza kabla ya kuanza kuandika hapa


mbona unajiamini sana wakati unapotosha watu?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom