The First Debate: Mitt Romney's Five Biggest Lies

Mkuu usiwe na wasi wasi katika hilo, Obama atashinda katika uchaguzi - labda nikukumbushe kwamba kambi ya kampeini ya Obama ni wajanja sana, kitu kilicho fanyika jana ni kutaka kumchota akili Rommey kwa kumpatia mwanya wa kusema lolote hata kama ni uongo au kusahau alicho wahi kuahidi siku za nyuma na kusema kweli had a field day kwa kijiamini kupita kiasi - sasa angalia kilicho kuja tokea a day after! Raia wengi wa Merikani wamekwisha gunduwa kwamba maneno/ahadi nyngi za Rommey ni za kufikilika tu in other words ni muongo!

Kitu kingine watu wanacho sahau ni kwamba Baraka bado ni Rais wa Merikani - kwa hiyo hawezi kuanza kumtunia misuri Rommey au kuonyesha hasira na kutumia lugha zisizo za kistaarabu hiyo unamwachia mwenzako mwenye usongo wa kuingia Ikulu ajimalize i.e give a fool enough rope...., Obama is a gifted orator; jana sio kwamba alishindwa kujieleza au nini - ni mbinu tu hizo, we subiri mdahalo wa pili na wa tatu wa mwisho atakuja kuwashangaza wengi.
Sounds real gud.! Give a fool enough rope
 
yes mkuu

but you can undress the liar kama umefanya homework yako

I did my homework and the empirical evidences are clear that Romney lied and changes his position. Note: This other lie; Romney said the job rate is above 8% while in fact the job rate is lesser than that; See exhibit US jobless rate falls to 7.8 pct., 44-month low - Yahoo! Finance. Do you see who is the LIAR? American people goes by facts and not mambo jambo.

Romney is the liar, that is why the pool still shows Obama is up 7% country wide.
 
Obama kazi anayo,ni ngumu sana kwake kutetea kiti katika crisis kama hii,Amuulize Sarkozy
 
Romney, Obama wachuana vikali

COLORAD, Marekani
ZIKIWA zimebakia siku 33 kufanyika Uchaguzi mkuu wa Urais wa Marekani hatimaye wagombea Urais Barack Obama na mwenzake Mitt Romney wamefanya mdahalo wao wa kwanza kupitia televisheni ambao umeshangaza wengi baada ya kwenda kinyume na matarajio yao.

"Miaka minne iliyopita niliposimama katika jukwaa hili nilisema kuwa nitapunguza kodi kwa familia zenye kipato cha kati. Na hivyo ndivyo nilivyofanya. Tumepunguza kodi kwa familia za kipato cha kati kwa kiasi cha dola 3600. Na sababu ni kuwa naamini tutakuwa na mafanikio kama watu wa kipato cha kati watakuwa na mafanikio"

Thanks for the post. Excellent post.
 
At-least big bird never lied to me . If he said A it was A.
 
Obama kapata kipigo kwenye debate ya kwanza tuache ubishi, debates are not about facts, haya mambo ya kutafuta facts baada ya debates ni kumtafutia visingizio Obama, Obama alionekana dhaifu na hakuwa teyari kwa uwezo wa Romney kwenye debate.

Obama hajawahi kuwa mzuri wa maongezi yoyote ya papo kwa hapo hata kwenye Q&A anakuwa ana pause kubwa wakati wa kujielezea, Obama ni mzuri wa kudeliver speech (na labda kuandika) tena lazima awe na teleprompter pembeni hii ni skill tofauti na kudebate, nadhani debate za 2008 na McCain ambaye ni mzee sana na ile Obama hysteria ya wakati ule zilimfanya Obama aonekane mkali kuliko alivyo.

Kwenye debates hizi atapata shida sana maana Romney ni rahisi zaidi kukwepa mashambulizi maana hajajiweka kwenye specific positions zozote, pia Romney ni kichwa tupende tusipende alipata double Masters degree akiwa Harvard, kazi anayo kwenye debates.

Ila kama debates zitabadili kura hilo ni swali tofauti sana.
 
Obama kapata kipigo kwenye debate ya kwanza tuache ubishi, debates are not about facts, haya mambo ya kutafuta facts baada ya debates ni kumtafutia visingizio Obama, Obama alionekana dhaifu na hakuwa teyari kwa uwezo wa Romney kwenye debate.

Obama hajawahi kuwa mzuri wa maongezi yoyote ya papo kwa hapo hata kwenye Q&A anakuwa ana pause kubwa wakati wa kujielezea, Obama ni mzuri wa kudeliver speech (na labda kuandika) tena lazima awe na teleprompter pembeni hii ni skill tofauti na kudebate, nadhani debate za 2008 na McCain ambaye ni mzee sana na ile Obama hysteria ya wakati ule zilimfanya Obama aonekane mkali kuliko alivyo.

Kwenye debates hizi atapata shida sana maana Romney ni rahisi zaidi kukwepa mashambulizi maana hajajiweka kwenye specific positions zozote, pia Romney ni kichwa tupende tusipende alipata double Masters degree akiwa Harvard, kazi anayo kwenye debates.

Ila kama debates zitabadili kura hilo ni swali tofauti sana.
I am very impressed that a high-school age student wrote such a well organized an well thought out essay. It is organized, clever, thoughtful, and honest.

Another quote from Willard that I have not seen anyone comment on so far was something like "You have to have regulation to have a free market". Anyone want to guess what that means?
 
Mitt the LIAR. It is hard to debate with the liar and Big Birds hater.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom