lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,190
- Thread starter
- #61
Hello Europe, Hello European Sex!
Basi wakaenda Paris, babu io bahili wala nini, anamnunulia chochote atachotaka. Kampeleka mpaka designer shops, most expensive French designers, kama Dior, Channel, Christian Louboutin kiukweli alirudi na vitu vya kweli balaaaa. Ukisema hio pochi nzuri utasikia Euro 800, Hio ni Dior 2012 collection hizo sijui CL collection gani. Most of the items kwa kabati yake ati ni Designer! Na mzungu alivo mshenzi alikuwa ana order encripted version, inakuwa na initial zao wote. ZE. Na wale mnaohisi ni feki haiwezi kuwa feki sababu huwezi ku encript fake shit hata iwe fake of the first grade.
Jewerly ndo balaaa. Alimnunulia tuhereni tu ma euro mangapi sijuiiii. Mikufu ndo usiseme. Mgahawa gani Paris hakuingia. Hii migahawa ya kwenye movies hiii, karibia yoteee aliingia na alivomshenzi na picha kapiga kibaooo. Sema nyingi babu yupo. Alikuwa akipiga peke yake babu ananunaaa. Kuanzia Le Meurice, La Cordonnerie, Reed Restaurant, Le Cinq mpaka unachoka kusikiliza. Ila anakwambia wafaransa wabaguzi hatarii. Kuna siku alitangulia yeye kwenye mgahawa, hakuhudumiwa mpaka mzungu alipokuja ndo wahudumu kuanza kujichetua, na tip alioacha mzungu aliibeba. Alikuwa anawakomoa, yeye black lakini ndo kavaa Dior, chini CL za hatari, wenyewe wazungu afu mbwa kachokaaa. Wanamuuliza are you American? Anakomaa nope, im African.
Kukaa na mzungu ndo kujua kuwa yule mzungu kumbe mkewe alifariki mda sanaa na cancer, afu ana wanae 2 mmoja wa kike, mwingine wa kiume, wote wameoa na kuolewa hukooo. Mmmoja yupo London, mwingine yupo Newyork. Mara moja moja wana anaendaga kuwatembelea, ila wajukuu zake ndo wana mskype mara kwa mara. Na zamani alikuwa cyclist champion wa tournament kibao, ana makombe yake ya kutoshaaaa. So ni retired cycling pro, alivokuwa bado kwenye game alikuwa na sponsors kibao za kampuni mbali mbali, akiwa brand embassador wao. Na yeye ni mdutch by origin, hapo Denmark kahamia tu. So kampuni nyingi za ki dutch ndo zilikuwa zina msponsor na kufanya nae kazi.
Hata alivokuwa nae walienda kwenye nchi nyingi sanaa za ulaya, unakuta hizo kampuni zina Alumni, mara sijiu veteran events hivooo. Hapo kulipiwa full board, 5 star hotels, all over Europe, what more could she have asked for? Shoping ana swap tu kadi ya babuuuu. Afu kama shetani tu, hakuwaza kama bongo kaacha maisha, na iko siku atarudi afanye chochotekitu cha maana, walaaaaaaaaaa. Walizungukaaaa, mnoo mnoo. Mara utamuona yupo Sweeden, mara Norway, mara Amsterdam, Mara Berlin, mapaka London alitia maguuu, sio mara moja mara kibao kwenye mechi za Manchester. Maana mdau ni mnaziii wa team ya Man U hakunaa mfanoooo. So kama mara 4 hivi alienda kushuhudia mechi kali za Man U liveeeeeeeeee, 2 Old Traffold, moja Stanford bridge, Na ingine Emirates Stadium. Hii ya Emirates satdium alinipa offer kila kitu maana mie mdau wa arsernal damuuuu, sema Visa nikakosaaa. Niliumwa wiki mbili, malaria kali sanaaaa kisa tu kukosa Visa ya UK, mpaka tiketi ilikuwa booked. Daaaaah! Sitokuja kusahau maishani mwangu. Alishawacheki Barca na Madrid live, viwanja vyotee, Catalonia pale Camp Nou na Santiago Bernabeu, na yeye ni mnazi vibayaa mnoo wa Team la mfalmeee, tem la matajiriiii Real Madrid.
Ssa shule ikawa imeishaaa rasmi, akatakiwa arudi bongo, yeye akajitia Daz Mama, aka overstay kule, akawa sasa akahamia kabisaaa Deer River Estate kwa babu, wakawa wanaishi pika pakua, wanangoja event za makampuni wasafiri all over europe. Kiukweli alipata sanaaa tabu huko Deer River Estates manake ni sehemu ya wazungu wale matajiri afu wabaguziiii mbayaaaaaaaaa. Akawa hata akienda kwenye Club ya hapo anakaa mwenyewe tuuuu, hamna anaemsemesha, mara wamfanyie ukatili kumnyima kutumia pool, mpaka amuite mzungu aje atukaneeee matusi ya nguoni na kutishia kukatisha membership publicly. Basi wanamruhusu kishingo upandeee, Akiingia yeye kwenye pool wazungu wote wanatoka. Sasa shoga wa mieee, akawa anawakomesha anashinda humo humo kama kibokooo. Wazungu wakachoka wakaamua kuingi nao. Akawa anaenda kila siku, mpaka vitoto vikawa vinamsemeshaaa, sasa anajua kucheza na watoto, anawasimulia story anaweza ku wakeep busy. Mar mama zao wakaanza kumpenda, manake wakifika pale wanamuachia watoto wanapiga umbeaaaa, na kujipooza. Wakawa tu wamemzoea, wakapunguza ubaguzi kidogo, wakaanza kumualika party zao.
Sex life na babu mwanzo haikuwa kivileee, coz babu mwenyewe nguvu 2 tu, kidogo tu kachokaaa hoi. Akawa anampa mambooo ya kizaramo babu akadataaa hatariiii. Ndo kisa cha kumuhamishia huko Deer River Estate, ili mambo ayape uzuriiii. Na anasema alikuwa anampa dozi nene. Anampeleka peleka mpaka mzungu analia kama mtoto mdogo. Sasa challange ikaja kwenye suala zimaaa la wazungu wadadisi, kadri unavomuongezea ubunifuuuu ndo ananogewa nakuta kubuni vyake zaidi na zaidi. Mara amletee hii midoli, hii mi didlo, oooh najua sikuridhishiii, so itabidi nikuridhishe na hizi didlo, you wil enjoy! Hahahaaaaaaaa! Akawa hataki, mzungu anambembelezaaa weweeeeeeee! Mmmmh! Mara amwambie tujaribu Tigo, anataka aonje tigo kabla nguvu hazijamuishia kabisaaaa. Hahahahaaaaaaaaaa! Akamgomea kumpa Tigo. Basi akaenda Online kuandika anataka msichana black ila awe tayari kutoa Tigo. Akampata jimama la ki nigeria, akawa anachat nalo. Jimama nene hatariii, lina tigoooo zilizojazia balaaaa. Akawa ndo ana mcheat nalo! Sasa jjimama linauzaa, chochote anachotaka mzungu twendeee. Ile midoli aliyoidengulia siku tu kastukia haipoooo! Tobaaaaaaaaa! Ndo kwenda kumpekua kwenye laptop yake, ndo kakutwa convo na hio jimama la kinigeria.
Wakagombana vibayaaa vibayaaaaaaaa. Mzungu kaomba msamaha. Akamwambia hivi unajua Africa kuna AIDS? Akastukaa what AIDS? Akamwambia google. Mungu wacha atetemekeee, chezea UKIMWI weweeeeeeeee. Akamwambia sirudii tena kucheat tusihi tu kwa kuamiiana. Bibie akamuomba ruhusa aje bongo mara moja mama yake anaumwa afu atarudi denmark. Akakubali ila akampa wiki tu. Na tiketi aliompa go and return, return yake exactly after 1 week. Pakia designer staff, kila kitu kaja bongoa. Kufika huku kamgeuzia kibao, oyaaaaaaaaaaaa, mi huko sirudi ngoooooooooooooooooooo! Mzungu kalamikaaa, kambembelezaaa, kamuombaaa, yeye ndo ikawa kashaamua kubakia bongo for good!
JE MAISHA YA BONGO ATAYAWEZA BAADA YA BATA REFU HILO LA KUFA MTU!
ITAENDELEA.
Basi wakaenda Paris, babu io bahili wala nini, anamnunulia chochote atachotaka. Kampeleka mpaka designer shops, most expensive French designers, kama Dior, Channel, Christian Louboutin kiukweli alirudi na vitu vya kweli balaaaa. Ukisema hio pochi nzuri utasikia Euro 800, Hio ni Dior 2012 collection hizo sijui CL collection gani. Most of the items kwa kabati yake ati ni Designer! Na mzungu alivo mshenzi alikuwa ana order encripted version, inakuwa na initial zao wote. ZE. Na wale mnaohisi ni feki haiwezi kuwa feki sababu huwezi ku encript fake shit hata iwe fake of the first grade.
Jewerly ndo balaaa. Alimnunulia tuhereni tu ma euro mangapi sijuiiii. Mikufu ndo usiseme. Mgahawa gani Paris hakuingia. Hii migahawa ya kwenye movies hiii, karibia yoteee aliingia na alivomshenzi na picha kapiga kibaooo. Sema nyingi babu yupo. Alikuwa akipiga peke yake babu ananunaaa. Kuanzia Le Meurice, La Cordonnerie, Reed Restaurant, Le Cinq mpaka unachoka kusikiliza. Ila anakwambia wafaransa wabaguzi hatarii. Kuna siku alitangulia yeye kwenye mgahawa, hakuhudumiwa mpaka mzungu alipokuja ndo wahudumu kuanza kujichetua, na tip alioacha mzungu aliibeba. Alikuwa anawakomoa, yeye black lakini ndo kavaa Dior, chini CL za hatari, wenyewe wazungu afu mbwa kachokaaa. Wanamuuliza are you American? Anakomaa nope, im African.
Kukaa na mzungu ndo kujua kuwa yule mzungu kumbe mkewe alifariki mda sanaa na cancer, afu ana wanae 2 mmoja wa kike, mwingine wa kiume, wote wameoa na kuolewa hukooo. Mmmoja yupo London, mwingine yupo Newyork. Mara moja moja wana anaendaga kuwatembelea, ila wajukuu zake ndo wana mskype mara kwa mara. Na zamani alikuwa cyclist champion wa tournament kibao, ana makombe yake ya kutoshaaaa. So ni retired cycling pro, alivokuwa bado kwenye game alikuwa na sponsors kibao za kampuni mbali mbali, akiwa brand embassador wao. Na yeye ni mdutch by origin, hapo Denmark kahamia tu. So kampuni nyingi za ki dutch ndo zilikuwa zina msponsor na kufanya nae kazi.
Hata alivokuwa nae walienda kwenye nchi nyingi sanaa za ulaya, unakuta hizo kampuni zina Alumni, mara sijiu veteran events hivooo. Hapo kulipiwa full board, 5 star hotels, all over Europe, what more could she have asked for? Shoping ana swap tu kadi ya babuuuu. Afu kama shetani tu, hakuwaza kama bongo kaacha maisha, na iko siku atarudi afanye chochotekitu cha maana, walaaaaaaaaaa. Walizungukaaaa, mnoo mnoo. Mara utamuona yupo Sweeden, mara Norway, mara Amsterdam, Mara Berlin, mapaka London alitia maguuu, sio mara moja mara kibao kwenye mechi za Manchester. Maana mdau ni mnaziii wa team ya Man U hakunaa mfanoooo. So kama mara 4 hivi alienda kushuhudia mechi kali za Man U liveeeeeeeeee, 2 Old Traffold, moja Stanford bridge, Na ingine Emirates Stadium. Hii ya Emirates satdium alinipa offer kila kitu maana mie mdau wa arsernal damuuuu, sema Visa nikakosaaa. Niliumwa wiki mbili, malaria kali sanaaaa kisa tu kukosa Visa ya UK, mpaka tiketi ilikuwa booked. Daaaaah! Sitokuja kusahau maishani mwangu. Alishawacheki Barca na Madrid live, viwanja vyotee, Catalonia pale Camp Nou na Santiago Bernabeu, na yeye ni mnazi vibayaa mnoo wa Team la mfalmeee, tem la matajiriiii Real Madrid.
Ssa shule ikawa imeishaaa rasmi, akatakiwa arudi bongo, yeye akajitia Daz Mama, aka overstay kule, akawa sasa akahamia kabisaaa Deer River Estate kwa babu, wakawa wanaishi pika pakua, wanangoja event za makampuni wasafiri all over europe. Kiukweli alipata sanaaa tabu huko Deer River Estates manake ni sehemu ya wazungu wale matajiri afu wabaguziiii mbayaaaaaaaaa. Akawa hata akienda kwenye Club ya hapo anakaa mwenyewe tuuuu, hamna anaemsemesha, mara wamfanyie ukatili kumnyima kutumia pool, mpaka amuite mzungu aje atukaneeee matusi ya nguoni na kutishia kukatisha membership publicly. Basi wanamruhusu kishingo upandeee, Akiingia yeye kwenye pool wazungu wote wanatoka. Sasa shoga wa mieee, akawa anawakomesha anashinda humo humo kama kibokooo. Wazungu wakachoka wakaamua kuingi nao. Akawa anaenda kila siku, mpaka vitoto vikawa vinamsemeshaaa, sasa anajua kucheza na watoto, anawasimulia story anaweza ku wakeep busy. Mar mama zao wakaanza kumpenda, manake wakifika pale wanamuachia watoto wanapiga umbeaaaa, na kujipooza. Wakawa tu wamemzoea, wakapunguza ubaguzi kidogo, wakaanza kumualika party zao.
Sex life na babu mwanzo haikuwa kivileee, coz babu mwenyewe nguvu 2 tu, kidogo tu kachokaaa hoi. Akawa anampa mambooo ya kizaramo babu akadataaa hatariiii. Ndo kisa cha kumuhamishia huko Deer River Estate, ili mambo ayape uzuriiii. Na anasema alikuwa anampa dozi nene. Anampeleka peleka mpaka mzungu analia kama mtoto mdogo. Sasa challange ikaja kwenye suala zimaaa la wazungu wadadisi, kadri unavomuongezea ubunifuuuu ndo ananogewa nakuta kubuni vyake zaidi na zaidi. Mara amletee hii midoli, hii mi didlo, oooh najua sikuridhishiii, so itabidi nikuridhishe na hizi didlo, you wil enjoy! Hahahaaaaaaaa! Akawa hataki, mzungu anambembelezaaa weweeeeeeee! Mmmmh! Mara amwambie tujaribu Tigo, anataka aonje tigo kabla nguvu hazijamuishia kabisaaaa. Hahahahaaaaaaaaaa! Akamgomea kumpa Tigo. Basi akaenda Online kuandika anataka msichana black ila awe tayari kutoa Tigo. Akampata jimama la ki nigeria, akawa anachat nalo. Jimama nene hatariii, lina tigoooo zilizojazia balaaaa. Akawa ndo ana mcheat nalo! Sasa jjimama linauzaa, chochote anachotaka mzungu twendeee. Ile midoli aliyoidengulia siku tu kastukia haipoooo! Tobaaaaaaaaa! Ndo kwenda kumpekua kwenye laptop yake, ndo kakutwa convo na hio jimama la kinigeria.
Wakagombana vibayaaa vibayaaaaaaaa. Mzungu kaomba msamaha. Akamwambia hivi unajua Africa kuna AIDS? Akastukaa what AIDS? Akamwambia google. Mungu wacha atetemekeee, chezea UKIMWI weweeeeeeeee. Akamwambia sirudii tena kucheat tusihi tu kwa kuamiiana. Bibie akamuomba ruhusa aje bongo mara moja mama yake anaumwa afu atarudi denmark. Akakubali ila akampa wiki tu. Na tiketi aliompa go and return, return yake exactly after 1 week. Pakia designer staff, kila kitu kaja bongoa. Kufika huku kamgeuzia kibao, oyaaaaaaaaaaaa, mi huko sirudi ngoooooooooooooooooooo! Mzungu kalamikaaa, kambembelezaaa, kamuombaaa, yeye ndo ikawa kashaamua kubakia bongo for good!
JE MAISHA YA BONGO ATAYAWEZA BAADA YA BATA REFU HILO LA KUFA MTU!
ITAENDELEA.