THE DIASPORA! Life is a gamble; win some, lose some

THE DIASPORA! Life is a gamble; win some, lose some

Kitambo nilikuwa najiuliza huyu havuti bangi kweli,leo nimehitimisha utafiti wangu
 
Hahahaha siku moja jitoe ufahamu utume picha yako tukuone

Maana upo kwenye bhangi bata,beer mapadri kuliwa khaaa
 
THE MORROCAN!

Akawa kaweka profile yake, pale na picha. Kaandika student, looking for serious relationship. Basi akawa kaacha. Akasahau kabisaaa, siku hio akasema ngoja nicheki kakuta 5 people interested in your profile. Sasa kuna dogo mmoja kama Mwarabu, akawa kamuelewa. Manake kwa akili yake wataendana, hatokuwa mashikolo mageni kama wale wazungu waliom respond.

Basi akaanza kuchat nae, kuchat nae. Wakaenda mpaka kuona nae. Sasa huyo mmorroco anamwambia tuonane Bus stand! Makubwaaaa! Akajua kule ni mamb ya kwaidaaa. Date ya kwanza bus stand, ya pili park. Hivo yani. Ya tatu museum. Ya nne akamwambia can i come to your apartment? Akakubali.

Kufika pale kampa mambo ya mahaba ya pwaniiii. Mwarabu kadataaa! Ndo kumwambia yeye ni Mmorroco, anaishi kule na familia yao, kazaliwa kule actually. Umeonaaaaaa. Tabia yake ya kupenda kufuga mabwanaa ikawa ndo mchezo wao yule mmorroco anaenda hapo, anampikia, wanashinda na kufanya yao.

Kimbembe kilipokuja siku mfaransa akamkuta yule Mmmorroco mule! Akawa very harsh n rude kwa yule mmorroco. Yule mmorroco akaondokaa zake fasta fast. Baadae ndo kumpa somo, no body dates Morrocans, sababu ni wavivu hatariiiii, afu wabaguzi, na wengi hawafanyi kazi, wanakaa kaa tu kibwege huko. Akamuuliza has he ever invited you to his place? Akamwambia No! Because he doesnt have a place you dumb nigger! He is using you. You are his ticket to free meals and free Pumb! (Mlijua bongo tuuu? Hata nje free Pumb ipo pia hahaaaaaa)

Ikawa ndo kupata akili sasa, akaamua kumwacha yule mwarabu. Akawa single tenaaa. Sasa anakiwa very lonely! Anawazaaa, anakumbuka nyumbaniii. Siku hio iso ni jina mfaransa akawa kaacha kitu chake cha Apple mezani. Na profile ikawa iko wazi. Ndo kusoma. Mfaransa kajidadavua, im French, looking for rich French men in this part of thd world, siji nini nini. I enjoy travelling, would like a man of many voyages, yaani kajopamba hatari. Katupia na picha yake ya Bikini. Mmmh! Dada hali chakula anaishi kwa supplements na protein shakes, baaaaaaas!

Akaamua kurekebisha na yeye profile yake. Akaandika tu, African, enjoy to travel, looking for a man witha travelling hobby tos how me the world. Geza geza usione mtu kanya barabarani na wewe uharo ushakubanaaa. Siku hio hio akaona 1 person is interested to know you. Akamfungua tobaaaa Mbabuuuuuu! Mmmmmmh! Akamfunga kwanza atafakari!


ITAENDELEA.
 
Hahahaha siku moja jitoe ufahamu utume picha yako tukuone

Maana upo kwenye bhangi bata,beer mapadri kuliwa khaaa

Ndo maana nawaambia humu ndani WENGI WENU WADOGO SANAAAAAA KWANGUUUUUU. ,maisha niliyoishi mimi ni MWISHO, TAMATI, THE END. Nawaangaliaaaaa wanaojaribu kupimana ubavu na KUBWA LA MAADUI. Bado sanaaa wananuka maziwa ya mama zao.
 
Ndo maana nawaambia humu ndani WENGI WENU WADOGO SANAAAAAA KWANGUUUUUU. ,maisha niliyoishi mimi ni MWISHO, TAMATI, THE END. Nawaangaliaaaaa wanaojaribu kupimana ubavu na KUBWA LA MAADUI. Bado sanaaa wananuka maziwa ya mama zao.
Kama hujawahi tumia heroin wala kula/ kuliwa tigo bado kabisa hizo tubangi unatozovuta ni vyakula vya panya road tu hivyo
 
EUROPE HERE I COME!

Akawa kaachana nayo na kuamua kuendelea na mambo yake mengineee. Basi akarudi kuchungulia ile profile akaona ameandika anakaa Copenhagen
Kama hujawahi tumia heroin wala kula/ kuliwa tigo bado kabisa hizo tubangi unatozovuta ni vyakula vya panya road tu hivyo

HAHAHAAAAAAAAAA! Heroin ndo nyepesi sasa, stimu yake ya Fatsaaaaaaaa! Heroin is so 1990s ku sniff na kudangana masindano, Siku hizi kuna kitu kinaitwa Ecstasy!! Wanakipika Waturuki. Unakimeza kama Panadol tu, stimu zake unaambiwa balaaaaa.

Anyway SAY NO DRUGS SAWA WADOGO ZANGU! Wenzenu tusha expire kitambo tuuu.
 
EUROPE HERE I COME!

Akawa kaachana nayo na kuamua kuendelea na mambo yake mengineee. Basi akarudi kuchungulia ile profile akaona ameandika anakaa Copenhagen


HAHAHAAAAAAAAAA! Heroin ndo nyepesi sasa, stimu yake ya Fatsaaaaaaaa! Heroin is so 1990s ku sniff na kudangana masindano, Siku hizi kuna kitu kinaitwa Ecstasy!! Wanakipika Waturuki. Unakimeza kama Panadol tu, stimu zake unaambiwa balaaaaa.

Anyway SAY NO DRUGS SAWA WADOGO ZANGU! Wenzenu tusha expire kitambo tuuu.
Kuwa mkweli wewe huu mzigo wa heroin na uhakika haujaugusa kabisa halafu hiyo ectasy ni synthesized drug ni ya kawaida mno........na the way unavyoexpress emotional your only cannabis addicts
 
Hello Paris!

Akawa kanicheki skype nimpe akili. Nikamuuliza huyo babu anaishi wapi? Akamtext akamwambia anaishi Deer River Estates. Yaani kuona hio Estates nikajua tu sio mzungu boyaaa. Nikamwambia sikia, mimi huko sijawahi kufika, huenda nisifike maisha haya wala yajayo, lakini nachojua mimi, mzungu yoyote anaeishi Estate sio wa kumchezea. Hio estate sio unakuta eneo lina heka na heka . Ooooh! We kaa tu kiboyaaa. Bongo kazi huku hamnaaa, humuoni Killi na mzungu wake babuu, ana range, ana jagguar. Humuoni Bahati na mzungu wake. Nani anakuona huko bwanaaaaa. Vijana wataishia kukopa kama wa Morrocan. Hahahahaaaaaaaaa. Akasema kweli ngoja nijipostion kwa hili libabu.

Akawa anachat nalo, ana chat nalo. Kwanza kwenye profile yake kaweka hobby Travelling the world. Advertise la kwanza meeting date kamwalika ERA ORA, akahisi tuuu, hii sehemu huenda ikawa si ya kitoto. Akaamua kumuuliza yule Mfaransa. I have a dinner date, mfaransa akadakia oooh! Finally seeing someone down town? Fellow Nigger? Hahahahaaaaaaaaa! Akamwambia no, someone Denish. Ooooh! Commoner? Mfaransa ana mbwembwe huyo. Akamwambia i dont know! Akamuuliza i was wondering if you know this restaurant ERA ORA? Mfaransa akastukaaaa, akasawajika uso, akwambia no way no day, he is definately playing a prank on you. He just wants to embarrass you. No niggers in ERA ORA. Hahahaaaaa!

Akawa anamwambia but he invited me, mfaransa anagoma, he cant invite you, not possible, ERA ORA is for the rich folks. Baadae mfaransa akamuuliza give me the address of the guy. Akamtajia Deer River Estates, akamuuliza what? No way! He is really rich isnt he? Huuuuh! I get to be French, and you Nigger get to get the rich guy right under my nose, what a fu.cking life. Okay you cant go to ERA ORA being a nigger and wearing those rags of yours. Jamaniiiiiiiiiii! Kua uyaone, anavumilia tu maadamu apewe pointers. We ned to go shopping for brands. Sasa shoga bahili, akaishia kununua vitu Zara tu baasi.

Akaanza kuambiwa na mfaransa, your future came earlier than you expected so start practising the Fork and knife. Anajobolewaje na mfaransa sasa. Ahaaaaaaaaa, hushiki hivo, effortlesss. Glass ya wine hushiki hivo, vidole viwili tu. Napkin unaweka hivi. I should be the one going on a date like this not you nigger my friend. Hahahaaaaaaaaaaa! Ila akawa anaconcentrate kama caluculus. Siku ya date mfaransa ikabidi amuazime pochi yake ya Gucci. Analamika, take care of it, that is just 2011 collection, maneno kibaoooooooo. And dont look cheap, they wont open the door for you.


Akatinga ERA ORA, na pamba designer mwanzo mpaka mwishooo. Yule kaka wa mlangoni akawa anasita sita japo kamfungulia. Akamuoneshea kitu cha GUCCI, kidogo akakisoma maana nayo ni Italian Restaurant, so gucci original wakimuona wanamuelewa. Akaulizwa reservation? Akajibu yes, table flani. Akaelekezwa. Ashapewa A,B,C ukifika Koti litapokelewa, ukikaa jitandaze napkin, pochi wek wapi, hivooo. So ikawa piece of cake. Basi yule mkaka anae mpeleka anamuuliza are you American? Akamjibu NO, im African! Akamuuliza Nigerian? Akaamua tu kumwambia yes.

Kafika kamkuta babu keshafika, wakasalimiana, aka kaa. Akafanya taratibu zote za ibaada ya wazungu wakuone una class. Basi yule babu ikabidi amuuliza you said you are African and ...? Akamjibu i have class? Mzungu akacheka. Akamwamia 50yrs of Independence. Ukaja mda wa Kuoda, anatamka vizuri kabisaa si unajua tution ya mfaransa na wafaransa kwa kula ni balaaaa. Yule mzungu aka impressed. Akasema honestly when you told me you from Africa, nikajua i will have to train you from 0. Akamwambia i know some things.

Basi akawa anamuuliza about Africa, akamwambia ashaenda S.A, basi shogaa ndo kurudisha Geography ya A levelmezani. Kujitia Limpopo river, kafika lini? Ngorongoro Creater, Serengeti, Victoria Falls Zambia huko, Pyramid of Egypts, Sahara Dessert, Klahari Dessert. Anajifanya na yeye ni extensive traveller. Mzungu kawa impressed balaaa. Maana travelling ndo hobby yake kubwaaa. Mda wa kuondoka akamwambia i enjoyed your company a lot., cannaomba tukutane tena next weekend hapo NORMA Restaurant.

Mfaransa mekaa ameuliza, how did it go? Akamwambia, na kuwa next week ni Norma! Mtumeeee1 Macho yalimtoka si kidogo. Akaanza you know what will be good is for you to introduce me to this man, so he can introduce me to his friends. Iam your friend nigger. Hahahaaaaaaaaaaaa! Kimoyo moyo akamwambia we niite Nigger, ila namaliza migahawa yote ya ghali Copenhagen. Basi wakaenda Norma huko, kama kawa aliazima kile ki Gucci. Wakala dinner fresh kabisaaa, ndo yule babu akamwambia mimi next weekend naenda Paris, kuna mbio za baiskeli, naenda kushiriki, it is my hobby, you can accompany me, we can go together. MASHIKOLO MAGENI NDANI YA PARIIIIIIIIIII! Ni nomaaaa.

Akaniskype, you wont believe it, Z mimi, huyu huyu Z, ndani ya Paris! Mmmmmh! Nikamwambia shoga nenda, ponda raha kufa kwaja. Cheze ki passport kuongezewa muhuri. Basi mfaransa ndo aka rest in peace kabisaaa. Anamwambia if he takes you to New York i will have to die and come back to life. Anamtajia ukifika Paris, nenda huku na huku. Siku ya siku huyooooooooo, Paris na babu yake.

ITAENDELEA KESHO.
 
Kuwa mkweli wewe huu mzigo wa heroin na uhakika haujaugusa kabisa halafu hiyo ectasy ni synthesized drug ni ya kawaida mno........na the way unavyoexpress emotional your only cannabis addicts
HAHAHAAAAAAAAAAAA! Sasa kibongo bongo mateja wa Kino ndo wanakula HEROIN, CAUSE IT IS CHEAP! Ecstacy mpaka uipate kwa waturuki, sio leo wala jana, na in black market ina command higher price.

Kama lengo lako ni confess im a drug addic bado huja confesisha kiboya namna hio. Ila tu jua kwamba mimi ni MWINGI.
 
HAHAHAAAAAAAAAAAA! Sasa kibongo bongo mateja wa Kino ndo wanakula HEROIN, CAUSE IT IS CHEAP! Ecstacy mpaka uipate kwa waturuki, sio leo wala jana, na in black market ina command higher price.

Kama lengo lako ni confess im a drug addic bado huja confesisha kiboya namna hio. Ila tu jua kwamba mimi ni MWINGI.
Mi ndio nakwambia sasa most expensive drug in the world ni heroin na ni most addicts huwezi acha kama hizo bangi zako za mbagala, ndio mana nikakuambia hujafikia hizo levele kabisa, hiyo ectacsy ni derivative ya amphetamine ina energitic na euphoric responses has no much range of addiction.......... Nashangaa kwa nini unaisifia wakati one tablet ya 5mg ya ectasy kwa heroin bei ni 4times
 
Mi ndio nakwambia sasa most expensive drug in the world ni heroin na ni most addicts huwezi acha kama hizo bangi zako za mbagala, ndio mana nikakuambia hujafikia hizo levele kabisa, hiyo ectacsy ni derivative ya amphetamine ina energitic na euphoric responses has no much range of addiction.......... Nashangaa kwa nini unaisifia wakati one tablet ya 5mg ya ectasy kwa heroin bei ni 4times

Sasa mi ndo nakwambia Bongo hii hii Heroin inatoka Pakistan kwa BOTI, so kuna wadau wana magunia na magunia ya heroin ndani mwao, tayari kwa kusafirishaaa duniani. Na maskani Kinondoni, Heroin haina hata bei, Ukucha 2000 tu kwa pusher J.

Namba nikukumbushe ECONOMICS, THE HIGHER THE SUPPLY THE LOWER THE PRICE, Sasa baada ya mambo ya Pakistan na Shikubaa kugundua hio oute baada ya mkebe kumlilia Islamabad akachezea ndoo za kutosha jela ya huko na kupata route za shambaaa, sahivi mjini kuna Heroin, naokwambia kuna Heroin ujue ni magunia kwa maguniaaa. Utamuuzia nani soko lime float heroin. Maana zililetwa kwa boti. Siku hizi focus yao sio domestic market tenaaa, wana export zaidi.

Turudi darasani kwenye ECONOMICS tenaa. SCARCITY INCREASES DEMAND WHICH INCREASES PRICE. AFU KUNA KITU KINAITWA MONOPLY! Sasa Ecstacy hapa bongo navokwambia ndo REAL DEAL, maana supplier ni mmoja, sazingine ukitoa oda unasubiria hata mwezi ndo uambiwe oda yako tayariiii. Mturuki ana nyodooooooo, hana shida ya helaaaa. Anauza kwa known sources tu. Na beauty of ecstasy ni party drug. Ukiwa na party yako sema tu ecstacy itakuwepooo, aaaah mbona itafurikaaaa.

ALL IN ALL SAY NO TO ALL DRUGS, MARIJUANA, HEROINE, COCAINE, ECSTACY, CIGAR, ETC.
 
Please anybody who believes from the heart that there are profits/benefits for us THE PEOPLE in this East African Federation thing, please use this place to convince me, I badly need to take this in, as it is here, with us, I need to, I have to know it, (not the political side only).

THANK YOU FOR YOUR TUITION!!!
Achana na hii ligi mydia Lara1,u dont need to prove him/her anything...mnavyomwagika msije wapa police pa kuanzia...kikubwa tuna enjoy story zako, lets stick on that one...Amani kwenu
 
Hahaaaa aisee lara 1 kiboko daaah!!, ila tunashukuru kwa kutuburudisha bwana
 
Duuuh ndio uzuri wa story za lara 1,na mimi napata exposure hukohuko,nimekuwa interested sana na hii story....
Ngoja nisubiri muendelezo 😛😛
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom