ni historia nzuri kuijua... shukran
shida yangu na mleta madaz huwa ni ile chuki aliyonayo kwa wasio waislamu...
You can hate half the people in your country or anywhere in this world
Mohamed said,Udini hautakusaidia sana.Wenzako katika alliance yenu walau wamefanikiwa kidogo kwa sababu walijali elimu.mmoja akawa mbunge na waziri ingawa karibuni aliishia kubaka binti aliyepaswa kumlea.
Mwingine ni mkurugenzi mtendaji wa shirika la umma,kwa udini wake analaumiwa kuajiri 90% waumini wa dini yake na ni ruksa kwa mfanyakazi kwenda ofisini na malapa.
Anafuata mafundisho ya Allah wa Boko Harama, Alqaeda and the likes
kumbe hujui kwamba hawa watu wanaishi maisha mazuri sana kwa kazi hii? wanachofanya ni kuchochea udini na pawe na vurugu na maandamano kisha wanapeleka ripoti kwa wafadhili arabuni kwamba kuna mfumo unawaonea wanahitaji misaada ili kupambana nao, hii ni ofisi ya mtu usishangae sana
Nyie watoto watoka mapaya mnajua maana ya udini! Au ndio wale wapiga vigeregere makanisani!
Watu elimu hamna! Mkifundishwa bado mnaleta jeuri na kashfa!
Halafu mnajiuliza kwa nini tanzania ni nchi ya mojawapo ktk Top ten zenye UMASKINI duniani!
Hongera sana kwa kuliona hilo mkuu hata mimi huwa napata tabu sana unapoona mtoa historia hii nzuri anapohusiha udini kwenye maelezo yake
Kwanini tuwe na hisia za udiniudini we waeleze watu kwamba fulani alifanya hivi then fulani akafanya hivi na fulani poia alitenda haya na yale bila kuhusisha imani zao
I knew it,I knew you won't miss ridiculous topics like these,So much for the fairness!
Teh teh teh Ngiri mwenye mapengo kaangukiwa na komba mlevi ngiri kafa, komba kateguka kiuno.Mwanaye gani huyu, aliyezima wenzake mapesa na ku-fake kaibiwa pale Morogoro?
Hapana. Usimsingizie huyu brazamen.
Ukweli ni kuwa Serikali ya Mwinyi ndio ilimtuma Kikwete kwenda ku-freeze account yake. Hiyo ninakupa ni kwa uhakika asilimia 100. Hata Moh Said anajua haya, ila hawezi kuwashambulia Jakaya na Mwinyi, you can rightly guess why.
Teh teh teh Ngiri mwenye mapengo kaangukiwa na komba mlevi ngiri kafa, komba kateguka kiuno.
I knew it,I knew you won't miss ridiculous topics like these,So much for the fairness!
Hivi nyinyi watu,hasa mnaposema udini huwa mna maana gani haswa??
Kwanin islamophobia inawaathiri sana??
Yan mtu aache kueleza kile anachokifaham eti kwa kuhofu yeye kuitwa mdini au muislam??ukitakaje sasa??
Huyo mkurugenz mkuu unaemsema tunajua unamaanisha RAMADHANI DAU,sasa kwa taarifa yako ramadhani dau hajateuliwa na kikwete pale
Kateuliwa na mkristo mwenzako mkapa mara baada ya kuona ufanisi wake,
Kuhusu namba ya waislam na wakristo NSSF kila mtu anajua wakristo wapo wengi pale,au kama unataka twende tukaendeshe sensa,madhambi makubwa ya ubaguz ndan ya taifa hili mnayafanya nyinyi,wakiyafanya waislam yenye haki mnakimbilia kulalama
NSSF inafanya vizur so far,ila kwa kuwa kwa sasa anaeongoza ni muislam na waislam wenye elimu zaao wanapata ajira pale mmeanza lawama,mkitakaje sasa??
Mfanye peke yenu pale??kwn nani kakuambia NSSF ni shirika la KANISA KATOLIKI??
Achen mambo yenu nyinyi
Usimsingizie Kikwete!
Ukweli ku kwamba alikufa kwa pressure baada ya kukuta account yake imekaushwa na mwanaye aliyemwamini na kumfanya signatory. Kipindi hicho mwanaye huyo alikuwa akisoma huko London na alikuwa na maisha ya anasa kupindukia akiwa ni pamoja na kumiliki magari ya kifahari ambayo yalishangaza wengi wakati huo.
Asante. Sikujua kuwa Lipumba ni kilaza.Prof wa ukweli alikuwa Malima tu, wengine wote feki.
Mohamed Said mbona kila uzi wako ni udini tu? Sidhani kama kukaa na kulalamika kuhusu dini fulani imependelewa au dini fulani imeonewa kutaleta maendeleo yeyote nchini. Au wewe ni katika wale wanao faidika na hela za Saudi Arabia?
I Agree mkuu. In fact, it hurts to see how people waste their life through this mediocre thinking of things which do not exist. If a person is obsessed with favoring one religion to the extent that he doesn't want to recognize others, then we have the rights to inquire more on why is it so? Inawezekana kabisa kuna hela za bure kama zile Osama alizokuwa anatoa kuharibu amani ya nchi nyingine kwa visingizio vya dini.
siku zote hamuwez kufit kwenye mijadala kama hii,
akili zenu zishaharibiwa na slave masters wenu,i can see nowaday mnashangilia hadi kufungishwa ndoa na wanyama kama mbwa kisha mkaona ni sawa tuh mnashangilia
sembuse mambo ya msingi kama haya,utayajulia wapi??