Ubongo wa mwanadamu unayafafanua mambo kwa namna ambayo mwili unaweza elewa.Una uthibitisho wowote kuhusu hicho ulichokiandika?
Hahaha hivi maana ya EVOLUTION kwa kiswahili nini?Morning, Africa,Trust,Respect ,nature ni Kiswahili kumbe!
Tatizo wengi hatupendi kufikiria mambo, na wakati huohuo tunapenda tuonekane tunajua. Tunakomaa na vitu rahisirahis visivyo na mashiko.Na ndiyo nazidi kujifunza hasa waafrika hupenda kutazama Jambo kwa makini akosoe badala ya kujifunza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye hilo swali nilitaka mhusika anijibu kwa ushahidi kuthibitisha kuwa dhumuni la maisha yetu ni kumwabudu Mungu, na hapo ulichoeleza sidhani kama kinajibu swali husika.Ubongo wa mwanadamu unayafafanua mambo kwa namna ambayo mwili unaweza elewa.
_ Nikimaanisha huwezi kuona vitu ambavyo mwili wako hauwezi kuvifafanua, miili hii tulionayo ni primitive hivyo hata kile tunacho fikiria ni reality kuhusu maisha na mazingira yake ni primitive pia.
_ kila kiumbe reality yake kuhusu maisha kulingana na namna ubongo wa kiumbe husika unavyochangania mazingira. The more primitive an individual is, ndivyo reality inakua primitive.
_ Mfano rahisi ni Color vision kwa binadamu, ushawahi jiuliza dunia ingeonekanaje bila rangi kuwepo?? Well! Kuna viumbe wasioona rangi and that makes their reality quite different from ours.
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali lako ni sawa na kuiuliza maiti kwanini imekufa.!Kwenye hilo swali nilitaka mhusika anijibu kwa ushahidi kuthibitisha kuwa dhumuni la maisha yetu ni kumwabudu Mungu, na hapo ulichoeleza sidhani kama kinajibu swali husika.
Kwenye mijadala kama hii haihitaji mipasho, kila swali au hoja ni lazima vijibiwe kwa hoja. Na kama unahisi swali fulani au hoja fulani haiko sahihi ni lazima uweke maelezo ya kutosha kuthibitisha ni kwa namna gani hoja fulani si sahihi au haina nguvu na si kuweka mipasho.
Uthibitisho ni kutoka katika vitabu vya imani.Kwenye mijadala kama hii haihitaji mipasho, kila swali au hoja ni lazima vijibiwe kwa hoja. Na kama unahisi swali fulani au hoja fulani haiko sahihi ni lazima uweke maelezo ya kutosha kuthibitisha ni kwa namna gani hoja fulani si sahihi au haina nguvu na si kuweka mipasho.
Ni upi uthibitisho kuwa dhumuni la maisha yetu ya hapa duniani ni kumwabudu Mungu?
Sasa kama ni ngumu kwanini umeseme hayo ambayo huyajui ? Na haijawahi kutokea ?Ni ngumu kwa akili kufikiria uwezekano, kwa sababu akili imefungwa na mwili. Uwezekano kwa binadamu maana yake ni kile kitu mwili wake ambao ni primitive unaweza kufanya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki ndicho nilichokisemaUthibitisho ni kutoka katika vitabu vya imani.
Lakini swali tu dogo kwako, na kwa akili yako unahisi tupo duniani bila kuwa na lengola sisi kuwepo ? Yaani tuishi tu halafu tufe kisha iwe basi ? Hivi ni akili ya namna gani inakubaliana na hili ?
Safi kabisa, niliposema vitabu vya imani, namaanisha vimeelezea yale aliyo yasema aliyetuleta sisi hapa duniani, na yeye ndio akatufunulia ya kuwa lengo ya yeye kutuumba sisi ni kumuabudu yeye, kwahiyo kupitia aliyetuweka hapa tumejua lengo la kuumbwa kwetu. Kwahiyo tunajua lengo la kuumbwa kwetu, labda wewe ndio hujui lengo lako lakini sisi tunajua lengo la kuwepo hapa duniani.Hiki ndicho nilichokisema
Maisha ya mwanadamu yana kusudi ambalo mwanadamu halijui na hatokaa alijue. Kusudi la maisha ya mwanadamu linajulikana na aliyemleta mwanadamu.
Ugumu haimaanishi kuwa haiwezekani.Sasa kama ni ngumu kwanini umeseme hayo ambayo huyajui ? Na haijawahi kutokea ?
Tuonyeshe kuwezekana kwake.Ugumu haimaanishi kuwa haiwezekani.
- Ulishawahi kufuatilia brain studies zozote? Research zinaonyesha binadamu anatumia 10% tu ya celebral cortex, yani binadamu ni primitive lakini bado anatumia sehemu ndogo tu ya ubongo wake huo primitive[emoji1][emoji1]Sasa kama ni ngumu kwanini umeseme hayo ambayo huyajui ? Na haijawahi kutokea ?
Naona bado unaendelea kutumia akiki zako za usiku. Unaposema watu wamefanya tafiti juu ya akili ya mwanadamu, na umeshindwa kuonyesha asilimia ya akili ya binadamu ikoje halafu hapo hapo imepatikana 10% haya ni matumizi mabaya ya akili. Vioi usiwe na kitu kizima halafu upate 0.1 ya kitu kizima hicho ambacho hakijadirikiwa. Swali la msingi ni je, marejeo ya tafiti hizo ni wapi au ni nini ?- Ulishawahi kufuatilia brain studies zozote? Research zinaonyesha binadamu anatumia 10% tu ya celebral cortex, yani binadamu ni primitive lakini bado anatumia sehemu ndogo tu ya ubongo wake huo primitive
Evolutiona ni uhalisia au nadharia ? Kwanini unatumia nadharia zilizo jengeka katika dhana kuelezea uhalisia ?- moja ya uthibitisho wa hoja yangu upo kwenye theory ya evolution, kwamba kiumbe kinabadilika from primitive to complex. Hapa najaribu kuelezea pale evolution itakapo fika 100
_ Mkuu mimi ni mwanasayansi na naamini katika tafiti yeyote iliyofanyika kisayansi.Naona bado unaendelea kutumia akiki zako za usiku. Unaposema watu wamefanya tafiti juu ya akili ya mwanadamu, na umeshindwa kuonyesha asilimia ya akili ya binadamu ikoje halafu hapo hapo imepatikana 10% haya ni matumizi mabaya ya akili. Vioi usiwe na kitu kizima halafu upate 0.1 ya kitu kizima hicho ambacho hakijadirikiwa. Swali la msingi ni je, marejeo ya tafiti hizo ni wapi au ni nini ?
Evolutiona ni uhalisia au nadharia ? Kwanini unatumia nadharia zilizo jengeka katika dhana kuelezea uhalisia ?
Unaweza kuthibitisha hilo ?_ Mkuu mimi ni mwanasayansi na naamini katika tafiti yeyote iliyofanyika kisayansi.
_ Pili! Evolution na nadhalia yenye uhalisia.
Sent using Jamii Forums mobile app