halafu mkuu unakumbuka kuoga ilikuwa mara moja kwa wiki maana mama anabania sabuni,jioni kabla ya kulala ilikuwa ni kuosha miguu tu,maisha haya bana,tumetoka mbali kwa kweli.Avatar yangu inaakisi mazingira niliyokulia; maisha ya kijijini utotoni; na hali halisi ya maisha ya watoto wengi sana huko vijijini; yaani nguo ni moja hiyo hiyo; hakuna viatu na kuoga ni mara moja jioni na ukibahatika utapakwa mafuta usoni!
lizzy.....mmmmhhhhh....haya.
Sikukuu uliilia wapi?
kwetu hairuhusiwi kumsifia shemeji yako,si unajua?
Bwana Rocky naona sasa unajitafutia matatizo.
inahuuuuu? au unatafuta ubaya na watu humu? shauri lako Smile,bora uongee na mimi kibabu.
hhaahahahaa pole sanaNajua mi hujanitaja kwa sababu unachukia kitambi, poa tu Bishanga
hhaahahahaa pole sana
Mkuu movie napenda sana na nina external drive ya one terabyte ina current movies tupu
Na nikiwa na muda napenda sana kuangalia mkuu
Baby yanii hii ndio inanithibitishia kabisa kuwa ww na mm ni kitu kimoja........
baby wacha tuu napenda sana movies aise
na nikiwa na muda naweza nikaangalia hata movies tano au sita kwa usiku
Baby yanii hii ndio inanithibitishia kabisa kuwa ww na mm ni kitu kimoja........
same as me,ila sasa naona JF ime occupy my time.......kuna wakati nilikua silali kabisa
Achana na Lizzy bana,x mass karibu twende zetu tukale nchi Nassau,Bahamas au ka vipi Monte Carlo principe de Monaco.