Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,552
- 112,486
Ahsante sana rafiki kwa ujumbe mzuri....😘
Hili li dada li Karucee huwa linaongea kingereza kizuri sana, yaani hadi huwa silipatii picha kumamae!Wow maneno kuntu., Kiinglish first class. Naiwekea lamination hii
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
People using to die in ze reki sio?Nikionaga uzi wa kingereza bichwa linauma na hii degree yangu ya soshioloji
ngoja aje akukute umetukana kwenye uzi wakeHili li dada li Karucee huwa linaongea kingereza kizuri sana, yaani hadi huwa silipatii picha kumamae!
Karucee siku hizi amepoa sana, sijui ni nini, aidha amekua sana, ama mabadiliko ya mitazamo, au mambo mengine mengi hatuwezi jua, I was her fan and follower, i used to like her much!
amekuwaje kwani mbona mimi naona yuko vilevile tu ila kuna tujimambo amepunguzaKarucee siku hizi amepoa sana, sijui ni nini, aidha amekua sana, ama mabadiliko ya mitazamo, au mambo mengine mengi hatuwezi jua, I was her fan and follower, i used to like her much!
This is not the Karucee we used to like and love, Please God bring back our Karucee!
Sema napendaga kizungu chako wewe dada.Nisaidie wewe.
JF siku hizi inapoteza ladha kwa kasi sana, kuna key members wengi wanaitelekeza(abandon) na wengine wanaendelea kubaki lakini katika hali ya kupoa sana, mmoja wapo karucee.amekuwaje kwani mbona mimi naona yuko vilevile tu ila kuna tujimambo amepunguza
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Endelea kumpenda hata alivyo sasa ...wa zamani alishaenda harudi tenaJF siku hizi inapoteza ladha kwa kasi sana, kuna key members wengi wanaitelekeza(abandon) na wengine wanaendelea kubaki lakini katika hali ya kupoa sana, mmoja wapo karucee.
Huyu si tu kapunguza tujimambo, she has radicaly changed, kama ulivyosema kwenye post kwamba ninatukana kwenye uzi wake ngoja anikute ni kweli, ilikuwa ukitukana kwenye anga zake hutoboi, yaani mbio zitakuokoa, alikuwa aina ya mwanamke ambaye hachelewi kukuonyesha dole la kati ukimletea upuuzi..
Apart from other diverse habits, she is no longer vulgar, sijui ameokoka siku hizi, labda mambo ya ndoa, au ukute ni majukumu yanamkipu bize maanake hata kuchangia ama kuweka nyuzi amepunguza sana, mimi na wewe hatuwezi jua..
Otherwise, sijamaanisha kwamba alikuwa ni mtu mkorofi hapana, was very caring, very understanding, very attentive and even empathive, that is the reason i used to love her very much..
Hapana, mi nampenda Karucee wa zamani.. yani huyu wa sasa hata simuelewielewi..Endelea kumpenda hata alivyo sasa ...wa zamani alishaenda harudi tena
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
basi bwana kama hutaki ila mimi nampenda vilevile kama zamaniHapana, mi nampenda Karucee wa zamani.. yani huyu wa sasa hata simuelewielewi..
You made my night!Inasikitisha sana!,ushauli wangu kwake asije akarudia tena mpe pole mkuu.
Hahahahaaa, wewe ndio wale mnapenda unconditionaly?basi bwana kama hutaki ila mimi nampenda vilevile kama zamani
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app