inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 635
- 705
Salam,wanajamvi.
Kwanza it is very unbelievable mpaka dakika hii kwamba,our beloved ambassador has gone awol.Najiuliza maswali mengi sana.Kwanza mpaka dakika hii,yuko wapi?,je ni nini hatma yake,je si atakuwa person non grata,au itakuwaje.Na je vipi mafao yake na kiinua mgongo.Vipi mali zake hapa nchini,vipi watoto na mke wake wako wapi.
Naomba tuyatafakari haya.
WHAT IS THE FATE OF THE AWOL AMBASSADOR
Kwanza it is very unbelievable mpaka dakika hii kwamba,our beloved ambassador has gone awol.Najiuliza maswali mengi sana.Kwanza mpaka dakika hii,yuko wapi?,je ni nini hatma yake,je si atakuwa person non grata,au itakuwaje.Na je vipi mafao yake na kiinua mgongo.Vipi mali zake hapa nchini,vipi watoto na mke wake wako wapi.
Naomba tuyatafakari haya.
WHAT IS THE FATE OF THE AWOL AMBASSADOR