Ah ah bora umeona..we mtu hajavaa Gucci ila ana nyumba ya million 100 usd halafu kanunua nyumba 4 zinazomzunguka bado unasema hivyo....nenda brunei huko uone mtu anavaa dhahabu mwili mzimaHuu utaratibu wa kuandika namba kama kwenye picha ni wa wapi? India? 89,36,87,89,50,000 na si 8,936,878,950,000