The 2019 NBA Playoffs

Kijana naona uko obsessed sana na curry kiasi cha kuona basketball ni points tu.
Ha ha haaa Lizarazu, kwa ufahamisho tu ni kwamba katika mchezo wowote ule lengo ni ushindi na ushindi huamuliwa na nani au timu ipi imefunga magoli zaidi ya mpinzani wake kipenga cha mwisho kinapopulizwa. Kusema kwa chenga tumewala au kwa ubabe tumewazidi; yote si kitu kama umeshindwa kufikia idadi ya magoli aliyopata mpinzani wako na hata kama tofauti ni kagoli kamoja tu, umefungwa mchezo, period.
 
Siyo lazima. Jerry West ‘The logo’ alishinda licha ya timu yake kufungwa kwenye Finals. In fact, hata 2015, Bron was robbed. Iggy hakuwa hata na 1/3 ya performance na stats ambazo Bron aliweka kwenye Finals.
Duh eti umwache mtu aliyewezesha timu yake kutwaa taji, umchukue mtu ambaye timu yake imefungwa na kumpa U-MVP! Kwa lipi sasa? Kwa kuwezesha timu yake kushindwa? Mbona hapo U-MVP utakuwa umekosa maana kabisa!

Ni kweli Jerome Alan West is the only player in NBA history to be named Finals MVP despite being on the losing team (1969) but this was a very controversial decision. Kitendo hicho hakikuzingatia mantiki na kilifanya U-MVP kukosa maana.

Hiyo ya LeBron haingewezekana katika ulimwengu wa sasa hivi na ingekuwa ni dhihaka kwa timu iliyotwaa kombe. Ni kama kusema, pamoja na kutwaa kombe wachezaji wenu walikuwa wa hovyo na hawakustahili kushinda, really? Ni sawa na kutwa nzima mtu kushinda unafanya jitihada za kusukuma ukuta huku mwisho wa siku ukuta bado uko pale pale halafu unazawadiwa kwa bidii yako, really?
Unaumiza jamaa. Halafu eti kuliibuka propaganda ya kwamba Curry ni top 5 kwenye best of all time.
Kwa kurusha Tatu au overall? Kama ni overall hata kwenye 10 hayumo kabisa
Ha ha haaa, someni kwanza legacy fupi ya Wardell Stephen "Steph" Curry II

Curry
is considered by many to be the greatest shooter in NBA history. He is credited with revolutionizing the game of basketball by inspiring basketball teams, from high school to the NBA, to regularly employ the three-point shot. Analysts have referred to him as "the Michael Jordan of the three-point era," stating that he did for the three-point shot what Jordan did for the dunk.

The Guardian's Robert O'Connell cites Curry's February 27, 2013 game against the New York Knicks, in which he made 11 of 13 shots from behind the arc en route for a 54-point performance, as the start of the three-point era. The era has been referred to as "The Steph Effect" and "the NBA's Three-Point Revolution."

Before Curry, shooting behind the three-point line was more of a novelty, an occasional way of scoring. Catch and shoot players existed, but Curry's success inspired the league to abandon physical play around the basket and to embrace a pace and space and three-point shooting style.

The increase in three-point shooting is partly due to NBA teams incorporating it in their attempts to defeat the Warriors or copy the Warriors style of play, and due to young people wanting to imitate Curry's shooting range. Although this has led to players becoming good at or improving their three-point shot, it has also set unrealistic standards because Curry's range is unique!
 
Kijana naona uko obsessed sana na curry kiasi cha kuona basketball ni points tu.

Tofauti na 3 pts shooting prowess hakuna kingine ambacho kinamuweka kwenye spotlight Curry, hana versatility yoyote na hii ilmpa shida sana hadi kufika NBA.

Mcheza basketball mzuri angalau aweze hata kufiti kwenye majukumu kuanzia mawili uwanjani. Sasa huyo curry hawezi hata kumdefend I.Thomas ndio Tumlinganishe na the claw? Btw, tofauti na pts ambazo nyingi kazipata kwa cheap free throws kuna kipi kingne alichomzidi K.Leonard?
Usihangaike na mimi Chief...
Siwezi kuichambua basketball kama wewe..!
Mimi basketball siijui,na sipo tayari kuijua..!
Niko obsessed na Curry,nashukuru umekuwa brave enough kulijua hili...
Siufuatilii mchezo wa basketball namfuatilia Steph Curry tu,tena akiscore hizo points tatu tatu na free throws za kubabaisha basi mimi ndio naenjoy ile mbayaaaa..!
Sihitaji kuwa basketball expert kama wewe...
Nafurahia kuwa Curry fanboy..!
Kwahiyo usiwe unapoteza muda na mimi Mkongwe,I am just Steph Curry fanboy..!
Avatar yangu ni jibu tosha kabisa..!!!
 
Ha ha haaa Lizarazu, kwa ufahamisho tu ni kwamba katika mchezo wowote ule lengo ni ushindi na ushindi huamuliwa na nani au timu ipi imefunga magoli zaidi ya mpinzani wake kipenga cha mwisho kinapopulizwa. Kusema kwa chenga tumewala au kwa ubabe tumewazidi; yote si kitu kama umeshindwa kufikia idadi ya magoli aliyopata mpinzani wako na hata kama tofauti ni kagoli kamoja tu, umefungwa mchezo, period.
Ni kweli kabisa uyasemayo mchezo wowote ule kitu cha kwanza cha msingi ni magoli ambayo ndio ushindi wenyewe, na ndio maana hata kwenye mpira wa miguu tunaona wafungaji(attackers) wakinunuliwa kwa pesa nyingi kuliko wachezaji wa nafasi zingine uwanjani na hata malipo yao ni maradufu. Lakini pamoja na hayo kama timu ina wachezaji wazuri wanaojua tu kufunga, wasiojua kulinda ushindi basi timu hiyo na wachezaji wake watakuwa ni dhaifu na ubora wao utakuwa ni wa mashaka kwa maana strength yao ipo kwenye kufunga tu hivyo siku wakikutana na timu inayoweza kuwabana vizuri wasifunge watakuwa exposed na udhaifu wao kuonekana.

Kama umenielewa maelezo hayo basi hakuna mjadala tena kuhusu Stephen Curry kwani yeye ni one-dimensional player.

Nakumbuka kabla ya playoff games kuanza wale wachambuzi wa kipindi cha Hoops wa TV1 siku moja walikuwa na mjadala, kwamba ni timu ipi ambayo inaweza ikamzuia golden state warriors kuelekea kwenye 3-peat, wawili wale wembamba yule Karabani na nani yule mwingine simjui jina lake wakasema hawajaona timu ya kumsimamisha warriors asi-achieve 3-peat ila kuna yule mmoja mwenye kipara yeye alisema kama kuna timu itakayomzuia warriors basi itatoka East conference kwani mara nyingi warriors alipocheza na timu zile za juu ukanda wa East alionekana kupata tabu sana hata pale aliposhinda alishinda kwa mbinde yaani anapokutana na timu za EAST anakuwa exposed sana. Kwa kiasi fulani nilikubaliana nae japo upande wangu mimi niliwaamini sana Rocket ndio atawapa tough challenge kuliko timu zingine.

Hata baada ya fainali za ukanda kumalizika na bingwa wa kanda zote mbili kuwa ameshapatikana hao hao wachambuzi wa TV1 kuna mmoja alisema warriors anampiga sweep raptors mwingine akasema warriors anamaliza series kwa 5 games na hapo KD hayupo lakini bado walikuwa na ujasiri wa kutoa hizi tabiri.

Chama langu la basketball la mtaani karibia wachezaji wake wote ni mashabiki wa warriors, kabla ya series ya ECF kuisha niliwaambia kama kuna timu ya kumsumbua warriors kwenye finals basi ni raptors walinibishia sana, wao walisema kama watakutana na bucks basi wataenda 6 games ila kama ni raptors basi ni ufagiooo utamuhusu raptors. Niliwapa maelezo mengi ambayo mengine nimewahi kuyaandika humu. Haya sasa leo hii series imeisha tofauti na matarijio yao wanaleta common excuse kama zile ambazo tunaziona kwenye huu uzi..ahaha!!

Aasnteni sana Raptors, Asante sana Kawhi Leonard kwa kumfanyia Curry kile ulichowahi kumfanyia Lebron. Lebron kacheza fainali 9 lakini hana 3-peat halafu leo hii hawa watoto wadogo akina Curry wachukue 3-peat..? hahaha ingekuwa ni fimbo kali sana ya kutuchapia.

kingine kinachonifurahisha ni jinsi gani nyie washabiki wa GSW mtakavyokuwa humble kwenye misimu ya huko mbeleni, maana zile habari za "gsw in 4" kwa kila series pengine hazitakuwepo tena au zitapungua, sasa mtaanza kuwaheshimu wapinzani wenu.
 
Duh eti umwache mtu aliyewezesha timu yake kutwaa taji, umchukue mtu ambaye timu yake imefungwa na kumpa U-MVP! Kwa lipi sasa? Kwa kuwezesha timu yake kushindwa? Mbona hapo U-MVP utakuwa umekosa maana kabisa!

Ni kweli Jerome Alan West is the only player in NBA history to be named Finals MVP despite being on the losing team (1969) but this was a very controversial decision. Kitendo hicho hakikuzingatia mantiki na kilifanya U-MVP kukosa maana.

Hiyo ya LeBron haingewezekana katika ulimwengu wa sasa hivi na ingekuwa ni dhihaka kwa timu iliyotwaa kombe. Ni kama kusema, pamoja na kutwaa kombe wachezaji wenu walikuwa wa hovyo na hawakustahili kushinda, really? Ni sawa na kutwa nzima mtu kushinda unafanya jitihada za kusukuma ukuta huku mwisho wa siku ukuta bado uko pale pale halafu unazawadiwa kwa bidii yako, really?

Ha ha haaa, someni kwanza legacy fupi ya Wardell Stephen "Steph" Curry II

Curry
is considered by many to be the greatest shooter in NBA history. He is credited with revolutionizing the game of basketball by inspiring basketball teams, from high school to the NBA, to regularly employ the three-point shot. Analysts have referred to him as "the Michael Jordan of the three-point era," stating that he did for the three-point shot what Jordan did for the dunk.

The Guardian's Robert O'Connell cites Curry's February 27, 2013 game against the New York Knicks, in which he made 11 of 13 shots from behind the arc en route for a 54-point performance, as the start of the three-point era. The era has been referred to as "The Steph Effect" and "the NBA's Three-Point Revolution."

Before Curry, shooting behind the three-point line was more of a novelty, an occasional way of scoring. Catch and shoot players existed, but Curry's success inspired the league to abandon physical play around the basket and to embrace a pace and space and three-point shooting style.

The increase in three-point shooting is partly due to NBA teams incorporating it in their attempts to defeat the Warriors or copy the Warriors style of play, and due to young people wanting to imitate Curry's shooting range. Although this has led to players becoming good at or improving their three-point shot, it has also set unrealistic standards because Curry's range is unique!
"SHOOTING BEHIND THE THREE-POINTS LINE WAS MORE OF NOVELTY".?!! duuh.

Mzee baba inakuwaje ionekane novelty act kwa zama hizi za S.curry wakati hata Kobe alikuwa anazipiga sana kipindi yupo kwenye prime yake? au kwa sababu yeye akuzitegemea hizo tu kama curry ?
 
"SHOOTING BEHIND THE THREE-POINTS LINE WAS MORE OF NOVELTY".?!! duuh. Mzee baba inakuwaje ionekane novelty act kwa zama hizi za S.curry wakati hata Kobe alikuwa anazipiga sana kipindi yupo kwenye prime yake? au kwa sababu yeye akuzitegemea hizo tu kama curry ?
Sasa mwenzangu umeelewa maana ya novelty kama ilivyotumika hapo juu? Unamkumbuka aliyekuwa kocha wa Chicago Bull, Phil Jackson, wakati wa Michael Jordan alisemaje Curry alipokuwa akitungua tatu tatu kama kichaa vile? Wakati huo the Chicago Bulls ndio walikuwa na rekodi ya 72-10 kwenye regular season!

Nitakukumbusha...mwanzoni aliponda sana kombora za mbali alizokuwa akirusha Curry na kudai GSW haingefika popote na Curry wao kwa kutegemea 3-pointers. Tofauti na alivyotabiri, Curry's success inspired the league to abandon physical play around the basket za akina mipande ya watu kama Shaquille O’Neal! Curry aliiwezesha GSW kuvunja rekodi pekee aliyokuwa amebaki nayo kama kocha.

Curry ana mashabiki toka kila pembe ya dunia (anamzidi kwa mbali Kobe!) na ukweli huu unawaumiza sana the haters lakini kijana yupo tu anadunda! Ukienda kwenye stats, ndio utajua Legacy maana yake ni nini kwani Curry alibadilisha kabisa mfumo wa uchezaji wa bastekball... "The Steph Effect" au "the NBA's Three-Point Revolution." Kampuni ya NIKE inamlilia Curry hadi leo, kisa? We acha tu!

Katika U-MVP, utaacha legacy kama unavuka rekodi zilizopo na Kahwi, kwa mfano, hana legacy yoyote labda hii moja ya kuiwezesha Toronto kukwaa kombe kwa mara ya kwanza katika historia ya NBA.
 
Sasa mwenzangu umeelewa maana ya novelty kama ilivyotumika hapo juu? Unamkumbuka aliyekuwa kocha wa Chicago Bull, Phil Jackson, wakati wa Michael Jordan alisemaje Curry alipokuwa akitungua tatu tatu kama kichaa vile? Wakati huo the Chicago Bulls ndio walikuwa na rekodi ya 72-10 kwenye regular season!

Nitakukumbusha...mwanzoni aliponda sana kombora za mbali alizokuwa akirusha Curry na kudai GSW haingefika popote na Curry wao kwa kutegemea 3-pointers. Tofauti na alivyotabiri, Curry's success inspired the league to abandon physical play around the basket za akina mipande ya watu kama Shaquille O’Neal! Curry aliiwezesha GSW kuvunja rekodi pekee aliyokuwa amebaki nayo kama kocha.

Curry ana mashabiki toka kila pembe ya dunia (anamzidi kwa mbali Kobe!) na ukweli huu unawaumiza sana the haters lakini kijana yupo tu anadunda! Ukienda kwenye stats, ndio utajua Legacy maana yake ni nini kwani Curry alibadilisha kabisa mfumo wa uchezaji wa bastekball... "The Steph Effect" au "the NBA's Three-Point Revolution." Kampuni ya NIKE inamlilia Curry hadi leo, kisa? We acha tu!

Katika U-MVP, utaacha legacy kama unavuka rekodi zilizopo na Kahwi, kwa mfano, hana legacy yoyote labda hii moja ya kuiwezesha Toronto kukwaa kombe kwa mara ya kwanza katika historia ya NBA.
Meanwhile we still debate who's the greatest basketball player among M.Jordan,O'Neal,K.Bryant,L.James and M.Johnson but we definitely can never debate about the greatest shooter of the game as it's been already known for the last 7 years, Stephen C. earned that crown. Even as certified hater of GSW i plausibly appreciate the amazingly dexterous shooting skills of mr.Curry especially in a long range, but....but saying he has brought something unusual in NBA that convinced the rest of the NBA teams starting to adapt the new playing style introduced by him/his team and throwing away old fashioned way puts me in heavy doubt. Three-points revolution how? What is sooooo special that Stephen has reinvented in shooting? beside his accuracy and sharpness there is nothing else that makes his shooting ability extraordinary and being compared to none, in the past we did not have these three-points overreliant kind of teams that is why some pundits consider that three-pointer shiit back then was novelty because it was huge crowd-pleaser.

Curry ana mashabiki wengi hilo nakubali, lakini usisahau pia media ni powerful entity imewahi kumfanya Rooney akaonekana kuwa ana kiwango sawa na Messi kwa nyakati fulani.

Kampuni ya nike ilimpiga chini Curry hapo awali baada ya kuona timu nyingi zinamkataa kutokana na udogo wa umbo lake walijua hatakuwa na soko lolote mbeleni.. Na timu nyingi zilikuwa zinamkataa sababu zilimuona ni mchezaji anayetegemea zaidi three-pointer wakati basketball inahitaji watu wenye nguvu na wenye kutekeleza majukumu mengi.

Kawhi usimchukulie poa hata kidogo anaweza akaw hana uniqueness lakini mambo anayoyafanya ni babkubwa.. Kwanza huyu ni big match performer kwenye nyakati ngumu yeye ndio unamuona kuliko wengine wote. Wewe mtu anakuwa MVP wa finals mbele ya watu kama T.Duncan,Ginobill,Boshi,Lebron,Wade,Parker tena wakiwa kwenye prime zao wakati huo yeye ndio ana misimu miwili tu kwenye NBA sio kitu kidogo hicho. Give pros to the CLAW, the dynasty's killer
 
J.Harden na C.Paul kukosa kwenye hii list ni sawa kweli?

cc: Don Clericuzio,BAK,Mag3 and the rest
 

Attachments

  • DUOS IN NBA.jpg
    DUOS IN NBA.jpg
    70.6 KB · Views: 19
J.Harden na C.Paul kukosa kwenye hii list ni sawa kweli?

cc: Don Clericuzio,BAK,Mag3 and the rest

SIO SAWA KABISA AISEE, James Harden tulimwambia, he is going thru the CARDASHIAN CURSE...those bitchez evil men....LOOK AT West, where the good music he was droping back then?, Look at Lamar(Almost died), Tyga!! as soon as he drops Kylie He has this big comeback.....let me breath, smoke some kush, I am athmatic 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
SIO SAWA KABISA AISEE, James Harden tulimwambia, he is going thru the CARDASHIAN CURSE...those bitchez evil men....LOOK AT West, where the good music he was droping back then?, Look at Lamar(Almost died), Tyga!! as soon as he drops Kylie He has this big comeback.....let me breath, smoke some kush, I am athmatic 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Duuh... kwa hiyo hao mademu wa Kardashian family wanaiba nyota za washikaji ama?
 
Sasa mwenzangu umeelewa maana ya novelty kama ilivyotumika hapo juu? Unamkumbuka aliyekuwa kocha wa Chicago Bull, Phil Jackson, wakati wa Michael Jordan alisemaje Curry alipokuwa akitungua tatu tatu kama kichaa vile? Wakati huo the Chicago Bulls ndio walikuwa na rekodi ya 72-10 kwenye regular season!

Nitakukumbusha...mwanzoni aliponda sana kombora za mbali alizokuwa akirusha Curry na kudai GSW haingefika popote na Curry wao kwa kutegemea 3-pointers. Tofauti na alivyotabiri, Curry's success inspired the league to abandon physical play around the basket za akina mipande ya watu kama Shaquille O’Neal! Curry aliiwezesha GSW kuvunja rekodi pekee aliyokuwa amebaki nayo kama kocha.

Curry ana mashabiki toka kila pembe ya dunia (anamzidi kwa mbali Kobe!) na ukweli huu unawaumiza sana the haters lakini kijana yupo tu anadunda! Ukienda kwenye stats, ndio utajua Legacy maana yake ni nini kwani Curry alibadilisha kabisa mfumo wa uchezaji wa bastekball... "The Steph Effect" au "the NBA's Three-Point Revolution." Kampuni ya NIKE inamlilia Curry hadi leo, kisa? We acha tu!

Katika U-MVP, utaacha legacy kama unavuka rekodi zilizopo na Kahwi, kwa mfano, hana legacy yoyote labda hii moja ya kuiwezesha Toronto kukwaa kombe kwa mara ya kwanza katika historia ya NBA.
Kwamba Curry Anamzidi Mpaka Kobe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom