The 2019 NBA Playoffs



Toronto Raptors vs Golden State Warriors - Full Game 6 Highlights | June 13, 2019 NBA Finals
 
Mkuu BAK naangalia First take kuna jamaa anasema kwamba People are afraid to criticize Steph Curry cause he is a golden boy. Anasema Steph can not close out games, he can't take the final shot. Anasema he scored the most meaningless 47 points in game 3 . Naomba msaada wako ku upload hiyo clip mkuu BAK cc Dan Clericuzio. Its exactly what you have been saying @Don Clericuzio

Ngoja niitafute, sijaangalia First Take after game.

Hahaha, nadhani ni hii ya Max Kellerman

 
Kuna jambo wanachanganya ngoja nisaidie kuweka vizuri. NBA kuna MVP wawili wa Finals game Na NBA Season 2018/2019. MVP Wa finals lazima atoke timu iliyo shinda. MVP wa ligi anatoka team yoyote lakini statistics zake ziwe juu kuliko wenzake na wapigiwa kura pia washabiki
 
Obvious.

Lakini haimaanishi kwamba bila majeruhi ingekuwa ni mteremko kwao kama ilivyokuwa kwenye fainali za mwaka jana dhidi ya cavs.

Kwani tumeona wakifungwa mechi mbili na raptors wakiwa hawana majeruhi.

Uwepo wa Leonard tu ni sababu tosha tungeona 7 games.
And to us "haters" who were with Toronto Raptors since game 1.

Cc: - Nzi, Lizarazu, VeronicaAmadu and those who afraid to express their status but wanted Raptors.

All in all, kilichowaumiza GSWs ni majeruhi.
 
Kijana naona uko obsessed sana na curry kiasi cha kuona basketball ni points tu.

Tofauti na 3 pts shooting prowess hakuna kingine ambacho kinamuweka kwenye spotlight Curry, hana versatility yoyote na hii ilmpa shida sana hadi kufika NBA.

Mcheza basketball mzuri angalau aweze hata kufiti kwenye majukumu kuanzia mawili uwanjani. Sasa huyo curry hawezi hata kumdefend I.Thomas ndio Tumlinganishe na the claw? Btw, tofauti na pts ambazo nyingi kazipata kwa cheap free throws kuna kipi kingne alichomzidi K.Leonard?
Samahani Broh...
Performance ya Kahwi kwenye hizi finals ipo hivi:
Game 1: 23 pts
Game 2: 34 pts
Game 3: 30 pts
Game 4: 36 pts
Game 5: 26 pts
Game 6: 22 pts
Average pts per game: 28 pts

Tukija upande wa Curry performance kwenye hizi finals ilikuwa hivi:
Game 1: 34 pts
Game 2: 23 pts
Game 3: 47 pts
Game 4: 27 pts
Game 5: 31 pts
Game 6: 21 pts
Average pts per game: 30 pts

Kwa performance za hawa watu wawili nisaidieni,huenda mimi kuchelewa kwangu kuanza kufuatilia huu mchezo kunanifanya mimi nishindwe kuwa mchambuzi mzuri wa huu mchezo...
1) Performance hii ya Curry ni ndogo..?
2) Kipi kinafanya performance ya Kahwi ionekane bora kuliko ya Curry..?
3) Kama GSW wangeshinda,still Kahwi angekuwa finals MVP,kwa kulinganisha performance zao..?
4) Kama Kwa performance Hii still Curry anaonekana kuwa "garbage" when it comes to championship games,unafikiri nini kinapungua kwenye performance za Curry kwenye finals,especially this year championship games..?

Sorry kwa gazeti..!
 
K.Leonard
-three finals
-2 mvp awards

S.Curry
-five finals
-0 mvp awards


Naamini kabisa hata ya mwaka huu

ingeenda kwa K.Thompson in case gsw wangechukua ubjngwa

Unaumiza jamaa. Halafu eti kuliibuka propaganda ya kwamba Curry ni top 5 kwenye best of all time.
 
You are not true to yourself, right?

Any day any time, hakuna timu ya kuifunga GSWs kama ikiwa haina majeruhi.

Leo tu kama Klay asingeumia game ilikuwa inaenda kwa GSWs.

Personally najua injuries ndizo zimetupa ubingwa Haters.
Kama haya maneno yako yangekuwa yana chembe za ukweli, basi tungeona wanashinda h@ta mechi 80 kwenye regular season na wanaenda 16-0 kwenye postseason.

Lakini badala yake tunawaona gsw hata ushindi wa mechi 60 hawaupati na pia wana struggle dhidi washika mkia clippers.

Hawa gsw wanapigika vizuri sana hata kama hawana majeruhi kuanzia bench
 
This is HUGE!

Anthony Davis trade: Pelicans deal All-Star to Lakers for Lonzo Ball, Brandon Ingram, three first-round picks, per report
 
WOW! A very bad trade for Lakers.

BREAKING: Anthony Davis is headed to the Lakers for Lonzo Ball, Brandon Ingram, Josh Hart and 3 1st round picks, including No. 4 overall pick in 2019 draft, per Adrian Wojnarowski

I did not want the deal to include Brandon Ingram.
 
Seriously, NBA kuna makocha wazuri saaana tatizo ni players, skills, determination zao wachezaji ndio inaletaga utofauti
WOW! A very bad trade for Lakers.

BREAKING: Anthony Davis is headed to the Lakers for Lonzo Ball, Brandon Ingram, Josh Hart and 3 1st round picks, including No. 4 overall pick in 2019 draft, per Adrian Wojnarowski
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom