Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,014
- 95,368
Hommie, Gaga anaandika juu ya mstari. Hata mawani sihitaji.......... umeshakamilisha taratibu zote kwa mujibu wa katiba?hommie umesoma katikati ya mistari kama kawaida yako naona.....hahahaha
Hommie, Gaga anaandika juu ya mstari. Hata mawani sihitaji.......... umeshakamilisha taratibu zote kwa mujibu wa katiba?hommie umesoma katikati ya mistari kama kawaida yako naona.....hahahaha
Hommie, Gaga anaandika juu ya mstari. Hata mawani sihitaji.......... umeshakamilisha taratibu zote kwa mujibu wa katiba?
Nimekusoma sawia....... hivi hommie ushajua kama kasuka msuko gani.......manake thanks zetu zile hazichelewi kuleta ajali....... incase error ndogo ikitokea.hivi kile kitufe cha thanks kwa nini walikitoa...tutagongeana baadaye...JJ.....umenisoma naona
Kwa vitendo, siyo Gaga?Zidumuuuuuuu
Orayt........... umesamehewa dhambi zako zote.Haswaaaaaaaaa
Orayt........... umesamehewa dhambi zako zote.
Kaizer nukuu hii yuziful point.
Ahsante babu kwa msamaha
Hivi kitufe cha thanks kimeenda wapi?hivi kile kitufe cha thanks kwa nini walikitoa...tutagongeana baadaye...JJ.....umenisoma naona
hahahahahaaaaa faizafoxy, kumbe na wewe mkongweeee, gozi lako limetulia? au umelituliza?Hongera sana, na uendelee na maisha mema na mumeo na mpate kizazi chema. Mwenzenu July 28th ntatimiza 30 years of marriage and still going strong, AlhamduliLllah, na gozi langu moja tu tangu utotoni, halafu linaniheshimu hilo, nimelizidi mwaka mmoja (kuzaliwa).
hahahahahaaaaa faizafoxy, kumbe na wewe mkongweeee, gozi lako limetulia? au umelituliza?
After 30 Years, AlhamdiliLlah sote tumetulia, remember, "it takes two to tango".