Thanks

Thanks

Mrs S

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2017
Posts
286
Reaction score
90
Asante kwa mlioniamini mkanipa dhamana ya pesa kwa ajili ya kuwaletea simu na mlionipa ela nikawaagizia na mkazilipia ushuru Mungu awabariki sana maana changamoto zipo nyingi kwenye biashara cha msingi mtu usikate tamaa na uhaminifu ndio kitu kizuri katika biashara na wote mlionipa changamoto na kunirushia maneno wengine kuniwazia vibaya kutokana na vile akili zenu zilivyokuwa zinafikiria asanteni sana pia Mungu azidi kuwa bariki na kuwafanya hvyo mlivyo maana mmenifanya nimekuwa imara zaid na zaidi
 
Asante kwa mlioniamini mkanipa dhamana ya pesa kwa ajili ya kuwaletea simu na mlionipa ela nikawaagizia na mkazilipia ushuru Mungu awabariki sana maana changamoto zipo nyingi kwenye biashara cha msingi mtu usikate tamaa na uhaminifu ndio kitu kizuri katika biashara na wote mlionipa changamoto na kunirushia maneno wengine kuniwazia vibaya kutokana na vile akili zenu zilivyokuwa zinafikiria asanteni sana pia Mungu azidi kuwa bariki na kuwafanya hvyo mlivyo maana mmenifanya nimekuwa imara zaid na zaidi
Tapeli mkubwa wewe
 
Tapeli mkubwa wewe
Watu kama wewe wala siangaikag nao hata kidogo andika unavyo weza tani yako mpaka uchoke ndio akili zako zilipoishia wala unishtui
 
Back
Top Bottom