Brigedia Gen
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 1,004
- 2,184
Miaka kumi ya kiungo mkabaji wa Simba hatimae imefikia tamati, utakumbukwa kwa kuwa mmoja ya wachezaji wazawa waliopata namba kwenye ile timu iliyojaa mastaa kiasi cha kuchukua ubingwa mara nne mfulululizo na kufika robo fainali ya Shirikisho pamoja na klabu bingwa Afrika.
Thank you Jonas Gerald Mkude.