Thank you Jonas Gerald Mkude

Brigedia Gen

JF-Expert Member
May 23, 2023
1,004
2,184
1687461361222.png

Miaka kumi ya kiungo mkabaji wa Simba hatimae imefikia tamati, utakumbukwa kwa kuwa mmoja ya wachezaji wazawa waliopata namba kwenye ile timu iliyojaa mastaa kiasi cha kuchukua ubingwa mara nne mfulululizo na kufika robo fainali ya Shirikisho pamoja na klabu bingwa Afrika.

Thank you Jonas Gerald Mkude.
 
Back
Top Bottom