Advocate_Silayo
Member
- Aug 5, 2019
- 62
- 87
Kama huwezi kuisaidia jamii yako kwasasa wakati huna nyadhifa yoyote ile kisiasa unangojea uwe mwanasiasa (Mbunge) ndio uwasaidie wewe ni muongo wa kiwango cha lami na hupaswi kupata hata kura 1, na ndio watu wa aina hii wakishapata huo Ubunge ukiwauliza vipi wanasingizia mfumo