Sifa kuu ya Kanda ya ziwa wakishika usukani,uamini kwenye umasikini zaidi kuliko maendeleoHahahaa mkuu naona unawashukia kama mwewe. Ukweli hali ni ngumu sana ndugu Yangu jamaa kaua uchumi kama utan vile
Sifa kuu ya Kanda ya ziwa wakishika usukani,uamini kwenye umasikini zaidi kuliko maendeleoHahahaa mkuu naona unawashukia kama mwewe. Ukweli hali ni ngumu sana ndugu Yangu jamaa kaua uchumi kama utan vile
Tutarajie hivi karibuni kubadilishiwa noti.
Linashangaza wezi wa mali ya umma sio wazalendoWacheni upumbavu katika mambo ya msingi. Dhara huwa haichagui. Kuturudisha enzi ya sokoine ni jambo ambalo linashangaza katika zama hizi.
Uchumi unakuwa kwa wastani wa 7% na ni among top ten in Africa.
Mkiwa waongo msiwe wasahaulifu
Kifua mbele kabisa...kaangalie trend ya dollar duniani leo hiiTembea kifua wazi
Buku saba wanakopwa uzalendo mkono mtupu haulambwiBibi vipi kwan had wewe umemugeuka jiwe
Kwa ukiri wako wa "DUME" wewe mwanamke hutapindua, utaendelea kuwa chini.Chama dume.
Jeshi na uchumiMda co mrefu tutatangaziwa hii biashara sasa inafanywa na jwtz
Tangu mwenyekiti wenu aingie madarakani haijawahi kupanda.Ikipanda mtuletee mrejesho
Ndo suluhisho?Tutarajie hivi karibuni kubadilishiwa noti.
Sina uhakika,ndio wewe kweli ndugu yangu?Tutarajie hivi karibuni kubadilishiwa noti.
Nimefurahi kuona mchango wako mkuu, kumbe upo??? haya mpeni ushauri mheshimiwa anapokosea na kumsifu anapopatia na sio kusifia tu, leo wenzako watakuona msaliti kwa huo mchango wako ulioutoa hapa.Tutarajie hivi karibuni kubadilishiwa noti.
Na ndio hao wanaomshangilia ngoja sasa waishi kama wapo jehanam... Watanzania tumeingiziwa roho ya kichawi ile ya tukose wote tufanane 😔 😔 😔Tangu mwenyekiti wenu aingie madarakani haijawahi kupanda.
mambo ya kisiasa yana athari kubwa katika uchumi.ila hamjui tu.
Zile harakati za makonda na kuwatibua wazungu kwa kujifanya wajuaji ndio.kuna waponza.
mkae mkijua dola ikipanda kila kitu kitapanda bei.na wananchi wa kawaida ndo watakao umia.
That's my girlUnder Magufuli, Tanzania is dying slowly.
Magufuli hana dhamira ya dhati ya kuendeleza nchi, nia yake ni kuona anajenga majengo na miradi mikubwa kwa mikopo mikubwa yenye tiba kubwa na masharti magumu sana, ilimradi tu, amfunike Nyerere.
Mpaka anamaliza utawala wake, Magufuli atatuachia mzigo Mkubwa sana wa madeni.
Halo achilia mbali kesi ambazo zinafunguliwa Kila kunapokucha kwa sababu ya Magufuli kuvunja mikataba kiholela na maamuzi ya kukurupuka.
Natamani utaje wezi kumi wa mali umma walioko mahakamani na utaje wana kadi za chama gani.Linashangaza wezi wa mali ya umma sio wazalendo