imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,041
Yaani yote hayo bia tatu.Dah! Ukisikia umilionea feki basi ndio huu. Hapa karibuni tunaenda kuwa mamilionea feki. Wale waliokuwa wana ndoto za kuwa mamilionea basi watembee vifua mbele, maana muda si mrefu ndoto zao zitatimia.