demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,309
- 15,288
Klabu ya Dar es Salaam Young Africa FC imetamka thamani ya kiungo wao mashuhuri kabisa yaani saimon Msuva kuwa ni Shillingi Million mia 750/=
Kutokana na Tetesi zinazosikika kwamba kuna baadhi ya vilabu hapa nchini vinamnyemelea.
Inasemekana kwamba Klabu yoyote ambayo itakuwa na uwezo wa kufukia kiasi hicho cha pesa, basi wawe huru kuanza mazungumzo na mchezaji huyu.
http://1.bp.blogspot.com/-WCrYFeJlpMI/VKA7mYI9G1I/AAAAAAABQOo/Fkp5YiTKrYw/s1600/1.JPG
Kutokana na Tetesi zinazosikika kwamba kuna baadhi ya vilabu hapa nchini vinamnyemelea.
Inasemekana kwamba Klabu yoyote ambayo itakuwa na uwezo wa kufukia kiasi hicho cha pesa, basi wawe huru kuanza mazungumzo na mchezaji huyu.
http://1.bp.blogspot.com/-WCrYFeJlpMI/VKA7mYI9G1I/AAAAAAABQOo/Fkp5YiTKrYw/s1600/1.JPG