Thamani ya Saimon Msuva ni Mil 700/=.

Thamani ya Saimon Msuva ni Mil 700/=.

demigod

JF-Expert Member
Joined
Jan 2, 2015
Posts
8,309
Reaction score
15,288
Klabu ya Dar es Salaam Young Africa FC imetamka thamani ya kiungo wao mashuhuri kabisa yaani saimon Msuva kuwa ni Shillingi Million mia 750/=

Kutokana na Tetesi zinazosikika kwamba kuna baadhi ya vilabu hapa nchini vinamnyemelea.
Inasemekana kwamba Klabu yoyote ambayo itakuwa na uwezo wa kufukia kiasi hicho cha pesa, basi wawe huru kuanza mazungumzo na mchezaji huyu.

http://1.bp.blogspot.com/-WCrYFeJlpMI/VKA7mYI9G1I/AAAAAAABQOo/Fkp5YiTKrYw/s1600/1.JPG
 
Milioni 700?? Kwa lipi?? Wachezaji wenyewe wa bongo viwango vyao haviko consistent vinayumba kama Homa za vipindi. Na asilimia ngapi ni ya magazeti maana nayo yanampa promo sana
 
Milioni 700?? Kwa lipi?? Wachezaji wenyewe wa bongo viwango vyao haviko consistent vinayumba kama Homa za vipindi. Na asilimia ngapi ni ya magazeti maana nayo yanampa promo sana

Kama Ni Ubingwa Wa Uwongo Duniani Wewe Unaongoza. Hivi Msuva Akiwa Na Thamani Hiyo Je Ile Mido Nyeusi Ya Etoile Itakuwa Na Thamani Ipi?
 
Klabu ya Dar es Salaam Young Africa FC imetamka thamani ya kiungo wao mashuhuri kabisa yaani saimon Msuva kuwa ni Shillingi Million mia 750/=

Kutokana na Tetesi zinazosikika kwamba kuna baadhi ya vilabu hapa nchini vinamnyemelea.
Inasemekana kwamba Klabu yoyote ambayo itakuwa na uwezo wa kufukia kiasi hicho cha pesa, basi wawe huru kuanza mazungumzo na mchezaji huyu.

http://1.bp.blogspot.com/-WCrYFeJlpMI/VKA7mYI9G1I/AAAAAAABQOo/Fkp5YiTKrYw/s1600/1.JPG

Hakuna anayeweza kutoa hiyo pesa, na hiyo ndio dawa yao.
 
Hata km mimi na wewe wote ni young,NI KWELI MCHEZAJI ANA THAMANI HIYO?TUNAIJUA MIL 700?AU TUNACHANGIA NA KUONGEA TU KM MSEMAJI WA YOUNG,SIMBA,MTIBWA NA YULE WA RUVU SHOOTING?
 
Safi sana. Kuna kiongozi mmoja fake fake anadai wanamtaka Msuva. Waanze kulipa kwanza madeni wanayodaiwa kila kona ndio wafikirie mengine. Hela ya Eoile Du Sahel wasahau.
 
huyu hata milioni mia hafikii!!

miaka mi5 ijayo bado atakuwa hapa hapa kama ngasa
 
Hakuna anayeweza kutoa hiyo pesa, na hiyo ndio dawa yao.

Ile mikia FC ambayo imefilisika imesema inahitaji huduma ya Saimon Msuva katika timu yao.

Sasa nashangaa sijui watamlipa Tsh ngapi...?
 
Ile mikia FC ambayo imefilisika imesema inahitaji huduma ya Saimon Msuva katika timu yao.

Sasa nashangaa sijui watamlipa Tsh ngapi...?

Hata wakiuza wachezaji wao wote 11 wa 1st eleven na watano wa sub bado hawawezi mnunua
 
Kama Ni Ubingwa Wa Uwongo Duniani Wewe Unaongoza. Hivi Msuva Akiwa Na Thamani Hiyo Je Ile Mido Nyeusi Ya Etoile Itakuwa Na Thamani Ipi?

Chuki dhidi ya Yanga zitakuua wewe.Ona sasa badala ya kumquote mleta mada umemquote mikia mwenzio!
Ha ha ha na bado.

shame on zemu. watu wana gere!!!!
 
huyu hata milioni mia hafikii!!

miaka mi5 ijayo bado atakuwa hapa hapa kama ngasa[/QUOTE]Asante sana kwa kutujulisha hiyo thamani yake ,haya basi simba wamwache aendelee kuchezea yanga kwa sababu Yanga wanajua thamani yake ni hiyo na simba inajua thamani yake ni hiyo .Yanga Bingwa....

 
wao waseme tu jamani Msuva hauzwi basi isije ikatokea mzee Bakhresa atatoa hivyo vijisenti halafu wabaki wanashangaa
 
wao waseme tu jamani Msuva hauzwi basi isije ikatokea mzee Bakhresa atatoa hivyo vijisenti halafu wabaki wanashangaa
Kama huyo Bakhresa ana hela ya kufanyia mchezo kiasi hicho kwanin msimu uliopita wa usajili alishindwa kumsainisha kijana kutoka Mali anaekipiga El marreick ya Sudan Ahmad Traore!!!
Mwambie huyo bakheresa wako afike hilo dau kama hatumpi msuva?!!!!!
 
Amissi Tambwe nae anaidai Simba Dola 7000, na sasa Dola imeshapandaa sana.
 
Back
Top Bottom