Monsgnor
JF-Expert Member
- Mar 26, 2012
- 551
- 564
Thamani ya mwanamke ni utu wake na kwavile kaumbwa kwa sura na mfano wa Mungu.
Mchango wake katika kupafanya duniani kuwa sehemu bora ya kuishi na mchango wake ktk malezi ya familia.
Kama shimo hata wanaume mnalo ndio maana mnaoana.
Duh, una maneno makali mpendwa, ka panga la mkurya.