BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
Mke ana thamani kubwa sana waheshimuni wake zenu michepuko msiipe nafasi sana mpk akatawala akili yako
Mia kwa mmoja mkuu na awe mtoto mmoja ila zaidi ya hapo ni uongo,unakuta huyu analia njaa yule kajisaidia anataka kusafishwa huyu anataka mcheze halafu wote wanalia...wanawake tuwaheshimu sana majukumu wanayoyatekeleza kwa familia zetu sio madogo.Inawezekana na mtu asichizi kabisa.
Asante kwa kutambua mkuuMia kwa mmoja mkuu na awe mtoto mmoja ila zaidi ya hapo ni uongo,unakuta huyu analia njaa yule kajisaidia anataka kusafishwa huyu anataka mcheze halafu wote wanalia...wanawake tuwaheshimu sana majukumu wanayoyatekeleza kwa familia zetu sio madogo.
AmenFrankly speaking Mke anathamani kubwa Sana, basi Tu wanaume tunatamaa.
Na wanawake Wako strong Sana kuliko hata sisi wanaume Ni vile Tu mfumo dume unatulaghai.
Kuna wimbo mmoja wa Lucky Dube nimesahau jina lake ila anasema tunawasifu mashujaa kila siku ila tunawasahau WANAWAKE, kwa maoni yake Ni kwamba Mwanamke ndiyo Shujaa kuliko mashujaa wote dunia.
Wanawake Mnaojielewa Mbarikiwe Sana.
Bahati mbaya ni hawajifunzi hadi yawakute.Mke ana thamani kubwa sana waheshimuni wake zenu michepuko msiipe nafasi sana mpk akatawala akili yako
Ndio maana wakipigaga kelele kuwa working wives ni wavivu huwa nawaangalia tu na kuishia kuhurumia hao wanawake waliobeba hiyo mizigo.Mmmh!
Kuna kipindi nilikaa nyumbani bila msaidizi wa kazi... Mimi ndo nikawa beki tatu... Najikuta kwa siku nna masaa mawili tu kupumzika!
Uamke asubuhi ufanye usafi na kuandaa chai... Hujakaa vizuri uanze fikiria vya kupika mchana... Unamaliza kupika, baada ya kula unaosha vyombo... Unapumzika kidogo na kuanza mishe za kuandaa chakula cha usiku... Mnamaliza kula usiku uoshe vyombo!!! Hapo bado hujafua nguo na shughuli zingine za kwenda sokoni na kutengeneza juice... Na hiyo ni nyumba isiyokua na watoto!!!
Mwanaume wa kawaida hawezi fanya yote hayo...
sijui wapoje hawa viumbeBahati mbaya ni hawajifunzi hadi yawakute.
AmeenFrankly speaking Mke anathamani kubwa Sana, basi Tu wanaume tunatamaa.
Na wanawake Wako strong Sana kuliko hata sisi wanaume Ni vile Tu mfumo dume unatulaghai.
Kuna wimbo mmoja wa Lucky Dube nimesahau jina lake ila anasema tunawasifu mashujaa kila siku ila tunawasahau WANAWAKE, kwa maoni yake Ni kwamba Mwanamke ndiyo Shujaa kuliko mashujaa wote dunia.
Wanawake Mnaojielewa Mbarikiwe Sana.
Mmhsijui wapoje hawa viumbe
Na wanaume wengine Wana dhana ya kwamba ukitafuta house girl ni uvivu uzembe. Wanachukulia kirahisi sana yani laiti wangejuaaaaaa mungu anawaona tu na hapo uwe mfanyakazi sasa ndo balaaMmmh!
Kuna kipindi nilikaa nyumbani bila msaidizi wa kazi... Mimi ndo nikawa beki tatu... Najikuta kwa siku nna masaa mawili tu kupumzika!
Uamke asubuhi ufanye usafi na kuandaa chai... Hujakaa vizuri uanze fikiria vya kupika mchana... Unamaliza kupika, baada ya kula unaosha vyombo... Unapumzika kidogo na kuanza mishe za kuandaa chakula cha usiku... Mnamaliza kula usiku uoshe vyombo!!! Hapo bado hujafua nguo na shughuli zingine za kwenda sokoni na kutengeneza juice... Na hiyo ni nyumba isiyokua na watoto!!!
Mwanaume wa kawaida hawezi fanya yote hayo...
hahahhah niache Daby
Nahitaji ufafanuzi kwenye hiyo sentence niliyokuqoute. ..hahahhah niache Daby
Na hapo ndipo mnapofahamu kuwa ule mchanganyo wa nyama na kabechi mara nyingi si kwakupenda, ni kwakuwa nyama ilikuwa kidogo mama anafanya maarifa.Huo ni ukweli aisee niliona story moja kwenye TV kuhusu Baba kufanya kazi za mke nyumbani kwa wiki tu. Alishangaa sana ni kwa namna gani mkewe anaweza kumudu kazi zote hizo na pia kwenda kazini kuwajibika.