Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,652
Hamna anachofanya kuashiria he is sorry?
Shkamoo babu...
Basi babu tudokeze ni vitu gani 'MWANAUME' anaweza kufanya kuonyesha kwamba amekubali kakosea and he is sorry bila kusema chochote.
Cha kwanza ni kuwa mpole na kusikilizia rap za mwenye haki...