Tumekuwa tukitofautiana sana na mpenzi wangu lakini baada ya kukaa kimya kwa muda nikitafakari niamue nn cha kufanya juu ya maisha yangu niliwaza kabla sita make decision embu nijaribu kuwa mjinga.
Kujishusha na kusuputu kusema SAMAHANI kwa yote nilio tenda kwako naomba tuanze upya maisha yetu ya mapenzi ya awali, nashukuru toka hapo nimekuwa najisikia mwenye faraja upendo amani upya katika maisha.
So wandungu amua wewe mwanamke au mwanaume kuweka mambo sawa kwenye mapenzi yako.
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
Kujishusha na kusuputu kusema SAMAHANI kwa yote nilio tenda kwako naomba tuanze upya maisha yetu ya mapenzi ya awali, nashukuru toka hapo nimekuwa najisikia mwenye faraja upendo amani upya katika maisha.
So wandungu amua wewe mwanamke au mwanaume kuweka mambo sawa kwenye mapenzi yako.
Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums