Thamani ya ardhi/kiwanja vs fidia

Mshiiri

JF-Expert Member
Jun 16, 2008
2,012
507
Ufisadi
Kufuatia kesi za kifisadi zinazoendelea nashindwa kujizuia kuhoji juu ya thamani ya ardhi kwani tunaona kila siku watu wakilalamika kuhusu wameonewa na serikali yao kwa kufidiwa milioni 2 kwa heka 20 n.k.

Je ni nini kinafanya ardhi hizi za mafisadi ziwe aghali wakati ni udongo huo huo wa TANZANIA? Je serikali haikubali kuwa imekandamiza sana wananchi wake wasio na uwezo kwa kuwapa fidia mshenzi?


Criteria
Ni nini kifanyacho ardhi dhamani yake kufikia milion 903 (mfano fisadi Mgonja - former PS fedha) ikiwa ardhi yenye madini ya mabilioni ya shillingi hufidiwa fedha mshenzi na hizi za mafisadi hazina madini ya tanzanite? Au ni migodi? Je ardhi ya mgodi dhamani yake inapatikanaje au fidia inayotolewa kwa wakazi wa eneo ni sawa? Laki mbili nk na pengine bila fidia na kuvunjiwa nyumba ama kuuawa kama mfano mzuri Bulyanhulu!

????
Still puzzled Government inaendelea kudanganya watanzania kwani ardhi ni mali ya serikali under the custodian of the president of URT sasa iweje ardhi iwe na bei kutegemeana na nani anamiliki?

Wizi mtupu? Any JF member conversant with the matter?
 
Ufisadi
Kufuatia kesi za kifisadi zinazoendelea nashindwa kujizuia kuhoji juu ya thamani ya ardhi kwani tunaona kila siku watu wakilalamika kuhusu wameonewa na serikali yao kwa kufidiwa milioni 2 kwa heka 20 n.k.

Je ni nini kinafanya ardhi hizi za mafisadi ziwe aghali wakati ni udongo huo huo wa TANZANIA? Je serikali haikubali kuwa imekandamiza sana wananchi wake wasio na uwezo kwa kuwapa fidia mshenzi?


Criteria
Ni nini kifanyacho ardhi dhamani yake kufikia milion 903 (mfano fisadi Mgonja - former PS fedha) ikiwa ardhi yenye madini ya mabilioni ya shillingi hufidiwa fedha mshenzi na hizi za mafisadi hazina madini ya tanzanite? Au ni migodi? Je ardhi ya mgodi dhamani yake inapatikanaje au fidia inayotolewa kwa wakazi wa eneo ni sawa? Laki mbili nk na pengine bila fidia na kuvunjiwa nyumba ama kuuawa kama mfano mzuri Bulyanhulu!

????
Still puzzled Government inaendelea kudanganya watanzania kwani ardhi ni mali ya serikali under the custodian of the president of URT sasa iweje ardhi iwe na bei kutegemeana na nani anamiliki?

Wizi mtupu? Any JF member conversant with the matter?


Kwa utaalamu wangu wa Kienyeji..!!


Arthi hata iwe na Almasi chini kwa Tanzania haina thamani kwako binafsi kwa sababu ni mali ya Jamhuri. Lakini arthi hiyo hiyo ikiwa na kibanda cha vyumba 2 au Mazao ya kudumu kama minazi, mikorosho, miembe n.k dhamani inakuwa ghalau.
 
Je ardhi za hawa mafisadi je zina minazi na mihogo na majumba ya kufa mtu hata ifikie million 902?????? Serikali hapa ina la kujibu kwa umma hasa wanyonge wanahamisha kutoka ardhi zao na kulipwa laki mbili. Kama mahakama inakubali kuwa dhamani ya ardhi ni kiasi hiki basi inabidi watanganyika fidia zote zipitiwe na mahakama ili kutoa maisha bora kwa kila mtanzania na si kwa mramba, yona, mgonja, jeetu n.k.
 
Je ardhi za hawa mafisadi je zina minazi na mihogo na majumba ya kufa mtu hata ifikie million 902?????? Serikali hapa ina la kujibu kwa umma hasa wanyonge wanahamisha kutoka ardhi zao na kulipwa laki mbili. Kama mahakama inakubali kuwa dhamani ya ardhi ni kiasi hiki basi inabidi watanganyika fidia zote zipitiwe na mahakama ili kutoa maisha bora kwa kila mtanzania na si kwa mramba, yona, mgonja, jeetu n.k.

Nakubaliana nawe mshiiri. Umetoa hoja nzuri sana na ya msingi. Ila kama kawaida, serikali itajibu kuwa wadanganyika wanaopewa fidia ya laki 2 hawakuwa na title deeds - land lease.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom