Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Umeelewa vizuri nilichokiandika!?Uchafu umeanzia hapo uliposema kuwa mafanikio ya Mwanaume yamebebwa na Mwanamke,
*Hivi akili zako zina akili kabisa kabisa kichwani Mwakib?
*Mafanikio anatoa Binadamu au Mungu?
SOMA ZAIDI HAPA
KUMBUKUMBU LA TORATI 8:18.
Au umekurupuka kucomnent ili Na wewe uonekane!?
Wewe Kama huamini haya yaache na sio lazima ukayaamini. Acha wanao yaamini wayaamini maana hamuwezi kuamini wote.
Akili yako wewe ndio mbovu kweli kweli Hadi kuona haya maandishi Ni uchafu.



