Mgeni wa Jiji
JF-Expert Member
- Jul 27, 2017
- 7,913
- 13,373
Kwema wadau?
Tuweke mambo mengine kando embu tuiangalie kama Tha carter V itamrudisha huyu jamaa level zile tena maana vijana wamekuwa moto sana
Japo namatumaini na ichi kichwa maana kuna track Swizz beat kampa collabo kafanya kweli utafikiri ni nyimbo yake.
Ila atawaweza kweli watu kama Migos, Kelvin, Lil uzi nae namuona siyo haba hapa kati kati.
Nimesikiliza track 3 tu za Tha carter V bado naendelea nazo nyingine ila nimempa point
Anyway embu sema neno mdau..
Tuweke mambo mengine kando embu tuiangalie kama Tha carter V itamrudisha huyu jamaa level zile tena maana vijana wamekuwa moto sana
Japo namatumaini na ichi kichwa maana kuna track Swizz beat kampa collabo kafanya kweli utafikiri ni nyimbo yake.
Ila atawaweza kweli watu kama Migos, Kelvin, Lil uzi nae namuona siyo haba hapa kati kati.
Nimesikiliza track 3 tu za Tha carter V bado naendelea nazo nyingine ila nimempa point
Anyway embu sema neno mdau..