Mlachake
JF-Expert Member
- Oct 13, 2009
- 4,412
- 4,559
Walijiwakilisha wenyeweKivipi?
Walijiwakilisha wenyeweKivipi?
Kuna ubaya katika hilo?Walijiwakilisha wenyewe
Yanga mbona mna kiherehere Kama mmedhamini nyie wakati ni GSM
Kama huo mkataba unawahusu Tff na GsM, kwanini Sasa GSM wanajihita wadhamini wenza wa NBC PL?Kuna usiri gani mpaka wadau wasiujadili huo mkataba?au mkataba huo upo kwa ajili ya mAsLaHi binafsi ya gSm na siyo timu za premium ligi?Ndio wanaopaswa kuzungumza huu mkataba ni pande mbili tu TFF na GSM na kama haupo kwenye hizo pande basi hupaswi kuzungumza chochote
Unaniuliza mm au?Kama huo mkataba unawahusu Tff na GsM, kwanini Sasa GSM wanajihita wadhamini wenza wa NBC PL?Kuna usiri gani mpaka wadau wasiujadili huo mkataba?au mkataba huo upo kwa ajili ya mAsLaHi binafsi ya gSm na siyo timu za premium ligi?
Na hii ni feki ?Hivi Unahitaji kwenda shule ili Kujua hii ni fake?
Mkurugenzi Wa Uwekezaji wa GSM ni makamu mwenyekiti wa usajili wa team ya Yanga.Ndio wanaopaswa kuzungumza huu mkataba ni pande mbili tu TFF na GSM na kama haupo kwenye hizo pande basi hupaswi kuzungumza chochote
Ndiyo wenye mpira. Nyie madigirii yenu makaratasi tu. Sie ndiyo wachezaji. Mwenye digirii gani kacheza soka kwa ufanisi?Wanajua mashabiki wengi wa Mpira Ni darasa la 7 kwa hio Ni fresh tu
Umetoa hela yakoKama huo mkataba unawahusu Tff na GsM, kwanini Sasa GSM wanajihita wadhamini wenza wa NBC PL?Kuna usiri gani mpaka wadau wasiujadili huo mkataba?au mkataba huo upo kwa ajili ya mAsLaHi binafsi ya gSm na siyo timu za premium ligi?
Huu mkataba ni udhamini wa ligi kuu, sio udhamini wa TFF, Vilabu vina haki zake.Ndio wanaopaswa kuzungumza huu mkataba ni pande mbili tu TFF na GSM na kama haupo kwenye hizo pande basi hupaswi kuzungumza chochote
Lunyaluka mpondofo.Ndiyo wenye mpira. Nyie madigirii yenu makaratasi tu. Sie ndiyo wachezaji. Mwenye digirii gani kacheza soka kwa ufanisi?
Aya sawaHuu mkataba ni udhamini wa ligi kuu, sio udhamini wa TFF, Vilabu vina haki zake.
Rudia swali lako tafadhaliMkurugenzi Wa Uwekezaji wa GSM ni makamu mwenyekiti wa usajili wa team ya Yanga.
Akizungumzia ufadhili wa kampuni yao katika ligi ya NBC halafu akatoa mifano ya vilabu nufaika kwa kutaja baadhi eg Simba, Namungo Azam na akamalizia Yanga, mtamfanyaje?
Bodi ya Ligi imeundwa na vilabu na ndiyo msimamizi wa ligi.Timu zinapewa taarifa tu, hazishiriki kwenye majadiliano