Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,011
Jamani hili linawafanya wengi hata kutokuwa na amu ya kuangalia mechi ule uwanja
hivi vyoo ukienda utasema wako tandale pili akuna watu wanaokuwa wakisafisha kila mara maana wanatakiwa wajue zile pesa ni pamoja na usafi wa uwanja jamani...unaenda ****** unakuta kimba linakuangalia kama ngamia anasubiri maji ni haki kweli hi mh tenga??
Embu this tym jitahd na wewe uje kujisaidia kule kwa walala hoi
hivi vyoo ukienda utasema wako tandale pili akuna watu wanaokuwa wakisafisha kila mara maana wanatakiwa wajue zile pesa ni pamoja na usafi wa uwanja jamani...unaenda ****** unakuta kimba linakuangalia kama ngamia anasubiri maji ni haki kweli hi mh tenga??
Embu this tym jitahd na wewe uje kujisaidia kule kwa walala hoi