Tff tunaomba vyoo vya uwanja wa taifa viwe safi jamani

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,906
22,011
Jamani hili linawafanya wengi hata kutokuwa na amu ya kuangalia mechi ule uwanja
hivi vyoo ukienda utasema wako tandale pili akuna watu wanaokuwa wakisafisha kila mara maana wanatakiwa wajue zile pesa ni pamoja na usafi wa uwanja jamani...unaenda ****** unakuta kimba linakuangalia kama ngamia anasubiri maji ni haki kweli hi mh tenga??
Embu this tym jitahd na wewe uje kujisaidia kule kwa walala hoi
 
Jamani hili linawafanya wengi hata kutokuwa na amu ya kuangalia mechi ule uwanja
hivi vyoo ukienda utasema wako tandale pili akuna watu wanaokuwa wakisafisha kila mara maana wanatakiwa wajue zile pesa ni pamoja na usafi wa uwanja jamani...unaenda ****** unakuta kimba linakuangalia kama ngamia anasubiri maji ni haki kweli hi mh tenga??
Embu this tym jitahd na wewe uje kujisaidia kule kwa walala hoi
Kweli pointi hii!
 
Jamani hili linawafanya wengi hata kutokuwa na amu ya kuangalia mechi ule uwanja
hivi vyoo ukienda utasema wako tandale pili akuna watu wanaokuwa wakisafisha kila mara maana wanatakiwa wajue zile pesa ni pamoja na usafi wa uwanja jamani...unaenda ****** unakuta kimba linakuangalia kama ngamia anasubiri maji ni haki kweli hi mh tenga??
Embu this tym jitahd na wewe uje kujisaidia kule kwa walala hoi

Heshima kwako Pdidy,

Mkuu tunataka kumwonea Tenga bure ninavyojua uwanja wa taifa haumilikiwi na TFF.Mkuu uwanja wa taifa unamilikiwa na serekali TFF kutumia au kupeleka mechi haina maana wao ndiyo wamiliki ni sawa na kuilaumu TFF kwa viwanja vingine [viwanja vya mikoani] vilivyoporwa na CCM.Uwanja wa taifa una meneja[Matoke sijui kama bado anaendelea na wadhifa wa maneja wa uwanja] wake itakuwa vizuri kama utawasiliana na mamlaka husika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom