kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,247
- 16,169
Hakuna ubishi uongoxi wa TFF na bodi ya ligi umeegemea Simba kwa 80%. Wanatekeleza matakwa ya Simba bila kujificha.
TFF na bodi ya ligi walíirahisishia Simba kukwepa derby, kushinda viporo vyake kwenye ligi na kushinda mechi zake CAF shirikisho. Hata KMC mechi yake na Simba kurudishwa uwanja wa KMC kutoka Tabora ni kuipendelra simba kuliko KMC. Kuna wakati Simba ilikuwa na viporo 11 vya ligi eti kwasababu inashiriki CAF, Kuna timu zinaporwa wachezaji wake na Simba bila utaratibu kwa baraka za TFF, timu kusajili wachezaji 10 wa kigeni asili yake ilikuwa kuinufaisha Simba wakati ule yanga inatembeza bakuli baada ya Manji kujitoa kuifadhili yanga. Ratina za mechi za igi pia zinailenga. Simba.
Kashindwa kutenda haki TFF ataweza CAF?
TFF na bodi ya ligi walíirahisishia Simba kukwepa derby, kushinda viporo vyake kwenye ligi na kushinda mechi zake CAF shirikisho. Hata KMC mechi yake na Simba kurudishwa uwanja wa KMC kutoka Tabora ni kuipendelra simba kuliko KMC. Kuna wakati Simba ilikuwa na viporo 11 vya ligi eti kwasababu inashiriki CAF, Kuna timu zinaporwa wachezaji wake na Simba bila utaratibu kwa baraka za TFF, timu kusajili wachezaji 10 wa kigeni asili yake ilikuwa kuinufaisha Simba wakati ule yanga inatembeza bakuli baada ya Manji kujitoa kuifadhili yanga. Ratina za mechi za igi pia zinailenga. Simba.
Kashindwa kutenda haki TFF ataweza CAF?