TFF Iwe Inaweka taratibu za Ligi Mwanzoni mwa Msimu tu

Kichuguu

Platinum Member
Joined
Oct 11, 2006
Posts
17,789
Reaction score
24,378
Hii tabia ya kuruhusu viwanja mwanzoni mwa msimu halafu baadaye kuvifungia wakati ligi inaendelea siyo jambo zuri. Wakishakagua uwanja na kuupitisha basi wangoje hadi msimu uishe ndipo wautolee uamuzi mwingine.
 
Hili tatizo limekuwa likijirudia sana tatizo kubwa no kamati ya bodies ya ligi inayofanya ukaguzi
 
Nahisi ile ishu ya Kibwana Shomari kubebwa msobe msobe mikononi mwa mtu ili kupelekwa kwenye gari la ambulance ndiyo iliyopelekea kufungiwa kwa huo uwanja.
Nilijiuliza HUYO JAMAA angejikwaa alaanguka SI INGEKUA hatari hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…