TFF acheni 'Kutubeba' Kizembe hivi Simba SC. Kwanini hatuchezi 'Kiporo' chetu kabla ya Kucheza na Azam FC tarehe 1 Januari, 2022?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,542
108,877
Leo GENTAMYCINE nipo Kimpira ( Kimchezo ) zaidi na nimeweka Ushabiki wangu wa Simba SC pembeni. Nitakaowakwaza ( hasa wana Simba SC wenzangu mtanisamehe kwa huu Ukweli wangu kwani sijazoea Unafiki ) na hata mkitaka au mkijisikia pia hamu ya Kunitukana pia kuweni Huru tu.

Sioni sababu na wala sitoikubali sababu yoyote ile ya kwanini Simba SC yangu haichezi 'Kiporo' chake kabla ya Kuivaa Azam FC tarehe 1 January 2022 ( yaani Jumamosi hii ijayo )

Na kama kuna mwana Simba SC ambaye atafurahia au anafurahia kwa Simba SC yetu Kubebwa, Kudekezwa na Kuogopwa na TFF atakuwa ni 'Damn Fool' hasa.

TFF na Bodi ya Ligi Kuu ya NBC acheni kufanya huu Uonevu na Unyanyasaji kwa Vilabu vidogo kwa Gharama ya Kuipendelea na Kujipendekeza kwa Simba SC hasa kwa Kuwasikiliza kila wakitakacho kwani kwa Afya ya Mpira wetu na Ligi this is not fair at all na nalaani Kitendo hiki.

Nanyi Simba SC msidhani labda Kubebwa, Kupendelewa, Kudekezwa na Kuogopwa huku na TFF Kunawajenga Kimchezo bali ndiyo kunatuharibu zaidi kwani hata Kiufundi tu Timu inapokaa muda mrefu bila Kucheza Mechi inapoteza 'rythm' yake na nilidhani kwakuwa Simba SC tunaenda Kucheza Mechi ngumu dhidi ya 'Mafundi' wa Azam FC basi tungeomba tukicheze 'Kiporo' chetu ili Kwetu iwe kama ni 'Mechi Maandalizi' kuelekea hiyo Jumamosi.

Simba SC tukatae huku Kubebwa, Kuogopwa na Kupendelewa kila mara na TFF pamoja na Bodi ya Ligi Kuu ( TPLB ) kwani Kunatulemaza 'Kiushindani' na hakuna Tija pia ndani yake. Tungecheza tu 'Kiporo' chetu hata Kesho Jumanne na Jumamosi tucheze na hao Azam FC ili kabla ya Ligi Kuu ya NBC Kusimama kupisha Michuano ya Mapinduzi tuwe sawa Kimichezo na Vilabu vyote ila nasikitika Simba SC ndiyo tutakuwa nyuma ya Wote kwa idadi ya Mechi tulizocheza.

Napenda Kwanza Mpira Simba baadae!!!
 
Nimewahi jiuliza hili pia maana ile mechi ya juzi tulikaa muda bila kucheza.
Tusione Sifa Kubebwa, Kudekezwa, Kupendelewa na Kuogopwa na TFF pamoja na TPLB kwani wanatuponza, wanatuharibu na tunaoneksna ni Wahuni, Waswahili na Wapumbavu vile vile.
 
Hakika Mwamba atakae kubedha kwa hili huyo sio mwanamichezo.

Hii game na Kagera ilipaswa ipigwe kesho au jumatano alafu tar moja tukutane na Wana ramba ramba.

Huu uhuni hata mm sijawah kuafiki ,ulaya game zinapigwa mfululizo why bongo isiwezekane?

Mara nyingi Kuna Ile Hali ya kuhofia et wachezaj watachoka ,hiyo ndio kazi yao wakipige tu ,nakumbuka Kuna muda ulaya timu inaamua kugawa vikosi viwil kimoja kinaenda huku kingine kule hii ishatokea kwa Liverpool na bahat iliyoje game zote mbili alishinda.

Mtu Kama unaweza unaweza tu ,tuache kuleana ,mm Ni Simba Ila huu msimu Simba aache ubishoo ,safar hii hatutaki viporo na hii itasaidia kuepusha malalamiko Toka upande wa pili .

Hili hata likipita Ila iwe mwisho lisijejirudia Tena .

Wiki moja Ni Gap kubwa Sana.

Spurs kacheza Jana game ya lig kesho Tena anaingia dimban why bongo isiwezekane?
 
Mpira unaendeshwa kwa sheria na kanuni na sio matakwa yako binafsi,
Rudi upitie sheria hiyo ndio urudi hapa usitupigie mikelele......
Wewe unaiona simba tu Manchester utd mpk muda huu ana viporo viwili ,spurs vitatu.......nao wanabebwa?

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Mpira unaendeshwa kwa sheria na kanuni we popoma,na sio matakwa yako binafsi ,
Rudi upitie sheria hiyo ndio urudi hapa usitupigie mikelele......
Wewe unaiona simba tu Manchester utd mpk muda huu ana viporo viwili ,spurs vitatu.......nao wanabebwa?

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Huyu spurs unae msemea kacheza juzi leo tena anacheza na jumamos anacheza tena.
Huyo man utd kacheza jana anacheza Alhamis na juma tatu tena.

Simba tunadekezwa huo ndy ukweli.
 
Huyu spurs unae msemea kacheza juzi leo tena anacheza na jumamos anacheza tena.
Huyo man utd kacheza jana anacheza Alhamis na juma tatu tena.

Simba tunadekezwa huo ndy ukweli.
Spurs anacheza viporo?au anacheza mechi zilizo kwenye ratiba?
Ana kiporo na burnley cha tangu november,ana kiporo cha brighton ,pia na hizi zote bado hazijapangiwa tarehe....acheni mihemko,
Wacha ratiba zifuatwe then itakapoonekana inafaa viporo vitachezwa...
Nasisitiza muangalie kanuni zinazohusu postponed match na sio kukurupuka na kuleta mihemko ya matakwa yenu binafsi,hatufuati matakwa bali kanuni zinazoendesha soka.

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Leo GENTAMYCINE nipo Kimpira ( Kimchezo ) zaidi na nimeweka Ushabiki wangu wa Simba SC pembeni. Nitakaowakwaza ( hasa wana Simba SC wenzangu mtanisamehe kwa huu Ukweli wangu kwani sijazoea Unafiki ) na hata mkitaka au mkijisikia pia hamu ya Kunitukana pia kuweni Huru tu.

Sioni sababu na wala sitoikubali sababu yoyote ile ya kwanini Simba SC yangu haichezi 'Kiporo' chake kabla ya Kuivaa Azam FC tarehe 1 January 2022 ( yaani Jumamosi hii ijayo )

Na kama kuna mwana Simba SC ambaye atafurahia au anafurahia kwa Simba SC yetu Kubebwa, Kudekezwa na Kuogopwa na TFF atakuwa ni 'Damn Fool' hasa.

TFF na Bodi ya Ligi Kuu ya NBC acheni kufanya huu Uonevu na Unyanyasaji kwa Vilabu vidogo kwa Gharama ya Kuipendelea na Kujipendekeza kwa Simba SC hasa kwa Kuwasikiliza kila wakitakacho kwani kwa Afya ya Mpira wetu na Ligi this is not fair at all na nalaani Kitendo hiki.

Nanyi Simba SC msidhani labda Kubebwa, Kupendelewa, Kudekezwa na Kuogopwa huku na TFF Kunawajenga Kimchezo bali ndiyo kunatuharibu zaidi kwani hata Kiufundi tu Timu inapokaa muda mrefu bila Kucheza Mechi inapoteza 'rythm' yake na nilidhani kwakuwa Simba SC tunaenda Kucheza Mechi ngumu dhidi ya 'Mafundi' wa Azam FC basi tungeomba tukicheze 'Kiporo' chetu ili Kwetu iwe kama ni 'Mechi Maandalizi' kuelekea hiyo Jumamosi.

Simba SC tukatae huku Kubebwa, Kuogopwa na Kupendelewa kila mara na TFF pamoja na Bodi ya Ligi Kuu ( TPLB ) kwani Kunatulemaza 'Kiushindani' na hakuna Tija pia ndani yake. Tungecheza tu 'Kiporo' chetu hata Kesho Jumanne na Jumamosi tucheze na hao Azam FC ili kabla ya Ligi Kuu ya NBC Kusimama kupisha Michuano ya Mapinduzi tuwe sawa Kimichezo na Vilabu vyote ila nasikitika Simba SC ndiyo tutakuwa nyuma ya Wote kwa idadi ya Mechi tulizocheza.

Napenda Kwanza Mpira Simba baadae!!!
Wakati mwingine Huwa zinarudi....
 
Leo GENTAMYCINE nipo Kimpira ( Kimchezo ) zaidi na nimeweka Ushabiki wangu wa Simba SC pembeni. Nitakaowakwaza ( hasa wana Simba SC wenzangu mtanisamehe kwa huu Ukweli wangu kwani sijazoea Unafiki ) na hata mkitaka au mkijisikia pia hamu ya Kunitukana pia kuweni Huru tu.

Sioni sababu na wala sitoikubali sababu yoyote ile ya kwanini Simba SC yangu haichezi 'Kiporo' chake kabla ya Kuivaa Azam FC tarehe 1 January 2022 ( yaani Jumamosi hii ijayo )

Na kama kuna mwana Simba SC ambaye atafurahia au anafurahia kwa Simba SC yetu Kubebwa, Kudekezwa na Kuogopwa na TFF atakuwa ni 'Damn Fool' hasa.

TFF na Bodi ya Ligi Kuu ya NBC acheni kufanya huu Uonevu na Unyanyasaji kwa Vilabu vidogo kwa Gharama ya Kuipendelea na Kujipendekeza kwa Simba SC hasa kwa Kuwasikiliza kila wakitakacho kwani kwa Afya ya Mpira wetu na Ligi this is not fair at all na nalaani Kitendo hiki.

Nanyi Simba SC msidhani labda Kubebwa, Kupendelewa, Kudekezwa na Kuogopwa huku na TFF Kunawajenga Kimchezo bali ndiyo kunatuharibu zaidi kwani hata Kiufundi tu Timu inapokaa muda mrefu bila Kucheza Mechi inapoteza 'rythm' yake na nilidhani kwakuwa Simba SC tunaenda Kucheza Mechi ngumu dhidi ya 'Mafundi' wa Azam FC basi tungeomba tukicheze 'Kiporo' chetu ili Kwetu iwe kama ni 'Mechi Maandalizi' kuelekea hiyo Jumamosi.

Simba SC tukatae huku Kubebwa, Kuogopwa na Kupendelewa kila mara na TFF pamoja na Bodi ya Ligi Kuu ( TPLB ) kwani Kunatulemaza 'Kiushindani' na hakuna Tija pia ndani yake. Tungecheza tu 'Kiporo' chetu hata Kesho Jumanne na Jumamosi tucheze na hao Azam FC ili kabla ya Ligi Kuu ya NBC Kusimama kupisha Michuano ya Mapinduzi tuwe sawa Kimichezo na Vilabu vyote ila nasikitika Simba SC ndiyo tutakuwa nyuma ya Wote kwa idadi ya Mechi tulizocheza.

Napenda Kwanza Mpira Simba baadae!!!
Wachezaji wanahara
 
Leo GENTAMYCINE nipo Kimpira ( Kimchezo ) zaidi na nimeweka Ushabiki wangu wa Simba SC pembeni. Nitakaowakwaza ( hasa wana Simba SC wenzangu mtanisamehe kwa huu Ukweli wangu kwani sijazoea Unafiki ) na hata mkitaka au mkijisikia pia hamu ya Kunitukana pia kuweni Huru tu.

Sioni sababu na wala sitoikubali sababu yoyote ile ya kwanini Simba SC yangu haichezi 'Kiporo' chake kabla ya Kuivaa Azam FC tarehe 1 January 2022 ( yaani Jumamosi hii ijayo )

Na kama kuna mwana Simba SC ambaye atafurahia au anafurahia kwa Simba SC yetu Kubebwa, Kudekezwa na Kuogopwa na TFF atakuwa ni 'Damn Fool' hasa.

TFF na Bodi ya Ligi Kuu ya NBC acheni kufanya huu Uonevu na Unyanyasaji kwa Vilabu vidogo kwa Gharama ya Kuipendelea na Kujipendekeza kwa Simba SC hasa kwa Kuwasikiliza kila wakitakacho kwani kwa Afya ya Mpira wetu na Ligi this is not fair at all na nalaani Kitendo hiki.

Nanyi Simba SC msidhani labda Kubebwa, Kupendelewa, Kudekezwa na Kuogopwa huku na TFF Kunawajenga Kimchezo bali ndiyo kunatuharibu zaidi kwani hata Kiufundi tu Timu inapokaa muda mrefu bila Kucheza Mechi inapoteza 'rythm' yake na nilidhani kwakuwa Simba SC tunaenda Kucheza Mechi ngumu dhidi ya 'Mafundi' wa Azam FC basi tungeomba tukicheze 'Kiporo' chetu ili Kwetu iwe kama ni 'Mechi Maandalizi' kuelekea hiyo Jumamosi.

Simba SC tukatae huku Kubebwa, Kuogopwa na Kupendelewa kila mara na TFF pamoja na Bodi ya Ligi Kuu ( TPLB ) kwani Kunatulemaza 'Kiushindani' na hakuna Tija pia ndani yake. Tungecheza tu 'Kiporo' chetu hata Kesho Jumanne na Jumamosi tucheze na hao Azam FC ili kabla ya Ligi Kuu ya NBC Kusimama kupisha Michuano ya Mapinduzi tuwe sawa Kimichezo na Vilabu vyote ila nasikitika Simba SC ndiyo tutakuwa nyuma ya Wote kwa idadi ya Mechi tulizocheza.

Napenda Kwanza Mpira Simba baadae!!!
Leo umeupiga mwingi ila usibadilishe msimamo wako ukibadili tu nakudharau na kukuita Muhuni.
 
Back
Top Bottom