Pool Table
JF-Expert Member
- Jan 30, 2020
- 1,678
- 2,882
Spurs anacheza baada ya siku tatu utampangia viporo sahivi wakati ratiba iko tight?Spurs anacheza viporo?au anacheza mechi zilizo kwenye ratiba?
Ana kiporo na burnley cha tangu november,ana kiporo cha brighton ,pia na hizi zote bado hazijapangiwa tarehe....acheni mihemko,
Wacha ratiba zifuatwe then itakapoonekana inafaa viporo vitachezwa...
Nasisitiza muangalie kanuni zinazohusu postponed match na sio kukurupuka na kuleta mihemko ya matakwa yenu binafsi,hatufuati matakwa bali kanuni zinazoendesha soka.
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
Twende kwa simba ana wiki zima(siku7) huoni kama simba ana ratiba nyepesi na muda wa kucheza hicho kiporo tofauti na ratiba aliyo nayo spurs?
Ukweli uko palepale tunadekezwa.