TFDA chunguzeni bucha za Tabata wanatulisha sumu

TFDA chunguzeni bucha za Tabata wanatulisha sumu

Shoctopus

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2015
Posts
3,435
Reaction score
1,995
Nilipita Tabata Magengeni Jana nikanunua kg. moja ya nyama. Nilipoanza kuiandaa nikasikia harufu isiyo ya kawaida! Ni kama ile ya chumba cha kuhifadhia maiti.

Chonde chonde TFDA (na TBS) CHUNGUZENI hili jambo. Hata mizani yao pale inatakiwa ikaguliwe kwenye maduka ya kawaida, mabucha, na kwenye kitimoto.
 
Last edited by a moderator:
Kuna mabucha yanatumua formaldehyde ili kutunza nyama na nzi wanakuwa hawapo kabisa..

Ukienda buchani na ukakuta hakuna hata nzi mmoja,usinunue hiyo nyama
Yap ile dawa ya kuhifadhi miili mochwari. Ukigundua hiyo usile hiyo nyama kabisa.
 
Kuna mabucha yanatumua formaldehyde ili kutunza nyama na nzi wanakuwa hawapo kabisa..

Ukienda buchani na ukakuta hakuna hata nzi mmoja,usinunue hiyo nyama
Ohoo nili note hiko kitu nikadhani ni usafi tu wa butcher husika kumbe ni madawa .
 
Nilipita Tabata Magengeni Jana nikanunua kg. moja ya nyama. Nilipoanza kuiandaa nikasikia harufu isiyo ya kawaida! Ni kama ile ya chumba cha kuhifadhia maiti.

Chonde chonde TFDA (na TBS) CHUNGUZENI hili jambo. Hata mizani yao pale inatakiwa ikaguliwe kwenye maduka ya kawaida, mabucha, na kwenye kitimoto.
Wanatumia fomalin dawa ya maiti..
 
Back
Top Bottom