Safi sana mkuu huyu hana hoja ni mtu mwenye chuki sana tazama post zake nyingi ni za masononeko, kifupi huyo ana sonona hivyo ni wa kumpa tiba ili apone huo ugonjwa wake.Mkuu kwa upande wa dini, hebu soma baraza hili la mawaziri afu uone udini hasa ulianzia awamu ya ngapi, na pia uliwahi kushauri chochote juu ya hilo katika hii awamu ya hawa mawaziri? Je hii ilikuwa ni bahati mbaya kuto balance dini au ilifanywa kusudi kwa lengo la kuwafurahisha upande mmoja na kuwachukiza upande mungine? Karibu tujadili kwa faida na mustakabali wa taifa. Mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.
Wewe ndio ukae kimya acha kufanya watu majuha humu chuo chenyewe umemaliza juzi tuu unapagawa na maisha halisi na si yale ulivyokuwa ukiyafikiria chuoni.Huna kitu unacho kijua. Bora utulie kama umeshindwa kujikita ktk Mada.
Ulivyo panic utadhani ww ndie Rais. Mm post zangu zote ni kutoa suluhu. Siyo zako za umbea wa kitoto.Safi sana mkuu huyu hana hoja ni mtu mwenye chuki sana tazama post zake nyingi ni za masononeko, kifupi huyo ana sonona hivyo ni wa kumpa tiba ili apone huo ugonjwa wake.
Tatizo la watanzania wengi ni unafiki. Wakati baraza la mawaziri la awamu ya tano lilipokuwa na mawaziri 23 = waislam 3 tu, na wakristo 20 mleta mada hakuliona hilo na kulikemea ili lisije kuligawa taifa. Wakati baraza la mawaziri la awamu ya 6 limejaribu tu kuleta angalau kabance kidogo ili angalau kuleta sura ya utaifa badala ya ile sura ya uvatican iliyokuwepo awamu ya 5, mleta mada ndo amekuja chap chap kutetea imani yake, bila kujua kwamba pamoj na mabadiliko yaliofanyika ili kuweka sura ya kitaifa lkn bado baraza la mawaziri, manaibu waziri na makatibu wakuu wengi ni wa amani yake.Safi sana mkuu huyu hana hoja ni mtu mwenye chuki sana tazama post zake nyingi ni za masononeko, kifupi huyo ana sonona hivyo ni wa kumpa tiba ili apone huo ugonjwa wake.
Sijui kwanini sasa JF imetawaliwa na vijana wanaopenda kusema Udini na ukabila. Kila kiti ni udini na ukabila. Kuhusu vijana hata mimi ningekuwa Rais nisingeteua kwani tunayaona humu maofisini. IQ ni ndogo, Maringo na tamaa ya pesa ya haraka haraka. Tumeona teuzi za Magufuli zilizozalisha Akina Sabaya, Makonda, Happy n.k.
Mkuu vipi tena mbona post zang zote mbili umezipita kimya kimya bila mchango wako au ufafanuzi wa zile teuzi zilizokuwa zinafanywa na serikali ya awamu ya 5 chini ya hayati dr John P Magufuli. Nimeona post namb #41 umeiruka, nikaandika nyingine namb #47 pia umeikimbia. Sasa sijui lengo la thread yako ilikuwa kukemea ubaguzi wa aina yoyote au ule uliohisi tu umefanywa na waislam pale wanapojaribu kubance mambo ili kuleta sura ya utaifa ktk uongozi. Hapo hatujagusa ukabila, ukanda nk.Ulivyo panic utadhani ww ndie Rais. Mm post zangu zote ni kutoa suluhu. Siyo zako za umbea wa kitoto.
Afu uka jiendeleze ki elimu ili ujue kujenga hoja. Siyo ki degree cha ku kariri.
Comment zako hujibu hoja una bwabwaja tu kama mtoto wa kike.
Hana hoja za kukujibu amekurupukaMkuu vipi tena mbona post zang zote mbili umezipita kimya kimya bila mchango wako au ufafanuzi wa zile teuzi zilizokuwa zinafanywa na serikali ya awamu ya 5 chini ya hayati dr John P Magufuli. Nimeona post namb #41 umeiruka, nikaandika nyingine namb #47 pia umeikimbia. Sasa sijui lengo la thread yako ilikuwa kukemea ubaguzi wa aina yoyote au ule uliohisi tu umefanywa na waislam pale wanapojaribu kubance mambo ili kuleta sura ya utaifa ktk uongozi. Hapo hatujagusa ukabila, ukanda nk.
Na kweli hana mkuu, sijui alifikiri hapa ni facebook 😂😂😂Hana hoja za kukujibu amekurupuka
Mwaka uliomaliza chuo wengine ndio wajukuu wetu ndio wanaanza ajira zao.Ulivyo panic utadhani ww ndie Rais. Mm post zangu zote ni kutoa suluhu. Siyo zako za umbea wa kitoto.
Afu uka jiendeleze ki elimu ili ujue kujenga hoja. Siyo ki degree cha ku kariri.
Comment zako hujibu hoja una bwabwaja tu kama mtoto wa kike.
Form four ulisoma wewe mwenye kichwa cha panzi sisi enzi zetu tulisoma madarasa manne tuu yalitutosha sio nyie mnasoma mpaka degree lakini kichwani hamna mjualo ni taka taka tu au debe tupu vijana wengi wa sasa.Angalia Post zako. Zina onesha ni Form 4 FailureView attachment 2286562View attachment 2286565View attachment 2286566
Kwani hizo takwimu anayo hata majibu yake basi huyu kapagawa ndugu zake wametumbuliwa waliokuwa wakimuweka mjini sasa anahaha tumaelezo marefu bila ya Takwimu ni uchochezi
Ongeza bidii katika kazi, acha majunguHii nchi yetu sijajua inaendeshwaje kwa kweli. Kama Taifa hatuna Dira ya muda mrefu. Na kama nchi hatuandai vijana wa kuongoza Serikali na taasisi mbalimbali. Kila Rais mpya ata kuja na wateule wake wapya. Hataondoa vijana bora na kuweka wa ovyo.
Wengine wamepewa tuhuma za uongo ili kuhalalisha tu kuondolewa kwao. Pia, tumeacha taratibu na misingi ya promotion serikalini. Ila tuna ongozwa na milengo ya kisiasa, makundi, ukabila, kujuana, kujipendekeza, nk. Hii kitu tuikemee. China haijengwi hivyo!!
Jambo la pili, ni UDINI katika teuzi. Hivi karibuni iwe nafasi ya juu, majeshi, makatibu wakuu, Wakurugenzi, nk, kupitia page ya Msemaji wa Serikali toka Rais ateuliwe, ame kuwa na tabia ya kuteua Wakiristo ktk nafasi za Mwenyekiti wa Mashirika/Boards na Watendaji wakuu wa taasisi au serikali akiteua Waislam.
Ngazi ya juu kukiwa na mkiristo, mtendaji mkuu wa taasisi hiyo Rais ataweka Muislam. Nina uhakika na hili by 95% nimekuwa nikifuatilia. Hii ni kuondoa Wakiristo ktk utendaji wa Serikali. Sijakupangii ni nani uteue. Ila mm kama mwananchi nina uhuru wa kutoa maoni na ushauri wangu, kwa nia njema ya Taifa langu.
Hii mbegu ni mbaya sana. Isipo dhibitiwa mapema. Tuta ingia baadae kwenye ukabila.
Watu wateuliwe kutokana na Elimu, Uzoefu, utendaji kazi na umahiri wake. Samaki mkunje angali mbichi.
Akina mzee wa Sinde Warioba, Pinda, nk wanaona na wanajua ila wanaogopa kudharalishwa na hutu tu vijana kama akina Makonda, Happi, Sabaya kama mlivyo watumia hapo awali.
Watanzania wenzangu, Tanzania ni yetu sote. Tusiogope kuikosoa na kuishauri serikali kwa maslahi mapana ya Tanzania.
Jambo la pili, ni UDINI katika teuzi. Hivi karibuni iwe nafasi ya juu, majeshi, makatibu wakuu, Wakurugenzi, nk, kupitia page ya Msemaji wa Serikali toka Rais ateuliwe, ame kuwa na tabia ya kuteua Wakiristo ktk nafasi za Mwenyekiti wa Mashirika/Boards na Watendaji wakuu wa taasisi au serikali akiteua Waislam.
Ngazi ya juu kukiwa na mkiristo, mtendaji mkuu wa taasisi hiyo Rais ataweka Muislam. Nina uhakika na hili by 95% nimekuwa nikifuatilia. Hii ni kuondoa Wakiristo ktk utendaji wa Serikali. Sijakupangii ni nani uteue. Ila mm kama mwananchi nina uhuru wa kutoa maoni na ushauri wangu, kwa nia njema ya Taifa langu.
Usalama wa taifa wako wapi,wao ni dini ganiHii nchi yetu sijajua inaendeshwaje kwa kweli. Kama Taifa hatuna Dira ya muda mrefu. Na kama nchi hatuandai vijana wa kuongoza Serikali na taasisi mbalimbali. Kila Rais mpya ata kuja na wateule wake wapya. Hataondoa vijana bora na kuweka wa ovyo.
Wengine wamepewa tuhuma za uongo ili kuhalalisha tu kuondolewa kwao. Pia, tumeacha taratibu na misingi ya promotion serikalini. Ila tuna ongozwa na milengo ya kisiasa, makundi, ukabila, kujuana, kujipendekeza, nk. Hii kitu tuikemee. China haijengwi hivyo!!
Jambo la pili, ni UDINI katika teuzi. Hivi karibuni iwe nafasi ya juu, majeshi, makatibu wakuu, Wakurugenzi, nk, kupitia page ya Msemaji wa Serikali toka Rais ateuliwe, ame kuwa na tabia ya kuteua Wakiristo ktk nafasi za Mwenyekiti wa Mashirika/Boards na Watendaji wakuu wa taasisi au serikali akiteua Waislam.
Ngazi ya juu kukiwa na mkiristo, mtendaji mkuu wa taasisi hiyo Rais ataweka Muislam. Nina uhakika na hili by 95% nimekuwa nikifuatilia. Hii ni kuondoa Wakiristo ktk utendaji wa Serikali. Sijakupangii ni nani uteue. Ila mm kama mwananchi nina uhuru wa kutoa maoni na ushauri wangu, kwa nia njema ya Taifa langu.
Hii mbegu ni mbaya sana. Isipo dhibitiwa mapema. Tuta ingia baadae kwenye ukabila.
Watu wateuliwe kutokana na Elimu, Uzoefu, utendaji kazi na umahiri wake. Samaki mkunje angali mbichi.
Akina mzee wa Sinde Warioba, Pinda, nk wanaona na wanajua ila wanaogopa kudharalishwa na hutu tu vijana kama akina Makonda, Happi, Sabaya kama mlivyo watumia hapo awali.
Watanzania wenzangu, Tanzania ni yetu sote. Tusiogope kuikosoa na kuishauri serikali kwa maslahi mapana ya Tanzania.
Kuna wakristo wema Sana na waislam wastaarabu Sana. Uduni Haina nafasi. Mleta uzi akianza vzr.anaharibu kwenye hili... point muhimu aliyoanza nayo nilianza kumuelewa kuhusu tabia ya kuteua teua. Isitoshe Huwa anapelekewa majina tu. Na ukweli ndio huo wakina mavura walipewa ubalozi Kwa fadhira tu...Mama samia hawezi kuwa Mdini nina uwakika angekuwa Mdini asingefika
Waliompigia kura Ndani ya ccm wengi sana ni wakristo na walifanya hivyo kwa kuwa alikuwa na sifa ya uongozi na sio sifa ya kuwa Mdini
Nina wakumbusha sisi na waislamu ni ndugu hakuna Tatizo kama akiteua muislamu kuwa katibu mkuu kwani akifika huko anaende kuwafundisha watu Madrasa?
Tuacheni utoto wa ajabu ajabu