Teuzi za Rais Samia kulikoni?

Teuzi za Rais Samia kulikoni?

Mkuu kwa upande wa dini, hebu soma baraza hili la mawaziri afu uone udini hasa ulianzia awamu ya ngapi, na pia uliwahi kushauri chochote juu ya hilo katika hii awamu ya hawa mawaziri? Je hii ilikuwa ni bahati mbaya kuto balance dini au ilifanywa kusudi kwa lengo la kuwafurahisha upande mmoja na kuwachukiza upande mungine? Karibu tujadili kwa faida na mustakabali wa taifa. Mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.
Safi sana mkuu huyu hana hoja ni mtu mwenye chuki sana tazama post zake nyingi ni za masononeko, kifupi huyo ana sonona hivyo ni wa kumpa tiba ili apone huo ugonjwa wake.
 
Huna kitu unacho kijua. Bora utulie kama umeshindwa kujikita ktk Mada.
Wewe ndio ukae kimya acha kufanya watu majuha humu chuo chenyewe umemaliza juzi tuu unapagawa na maisha halisi na si yale ulivyokuwa ukiyafikiria chuoni.
 
Safi sana mkuu huyu hana hoja ni mtu mwenye chuki sana tazama post zake nyingi ni za masononeko, kifupi huyo ana sonona hivyo ni wa kumpa tiba ili apone huo ugonjwa wake.
Ulivyo panic utadhani ww ndie Rais. Mm post zangu zote ni kutoa suluhu. Siyo zako za umbea wa kitoto.

Afu uka jiendeleze ki elimu ili ujue kujenga hoja. Siyo ki degree cha ku kariri.
Comment zako hujibu hoja una bwabwaja tu kama mtoto wa kike.
 
Wewe ndio ukae kimya acha kufanya watu majuha humu chuo chenyewe umemaliza juzi tuu unapagawa na maisha halisi na si yale ulivyokuwa ukiyafikiria chuoni.
Angalia Post zako. Zina onesha ni Form 4 Failure
Screenshot_2022-07-10-20-20-14-491_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
Screenshot_2022-07-10-20-19-43-168_com.quoord.jamiiforums.activity.jpg
IMG_20220710_201921.jpg
 
Safi sana mkuu huyu hana hoja ni mtu mwenye chuki sana tazama post zake nyingi ni za masononeko, kifupi huyo ana sonona hivyo ni wa kumpa tiba ili apone huo ugonjwa wake.
Tatizo la watanzania wengi ni unafiki. Wakati baraza la mawaziri la awamu ya tano lilipokuwa na mawaziri 23 = waislam 3 tu, na wakristo 20 mleta mada hakuliona hilo na kulikemea ili lisije kuligawa taifa. Wakati baraza la mawaziri la awamu ya 6 limejaribu tu kuleta angalau kabance kidogo ili angalau kuleta sura ya utaifa badala ya ile sura ya uvatican iliyokuwepo awamu ya 5, mleta mada ndo amekuja chap chap kutetea imani yake, bila kujua kwamba pamoj na mabadiliko yaliofanyika ili kuweka sura ya kitaifa lkn bado baraza la mawaziri, manaibu waziri na makatibu wakuu wengi ni wa amani yake.
 

Attachments

  • Screenshot_20220717-210521.jpg
    Screenshot_20220717-210521.jpg
    59 KB · Views: 15
  • Screenshot_20220717-210605.jpg
    Screenshot_20220717-210605.jpg
    58.4 KB · Views: 14
  • Screenshot_20220717-210649.jpg
    Screenshot_20220717-210649.jpg
    52 KB · Views: 12
  • Screenshot_20220717-210702.jpg
    Screenshot_20220717-210702.jpg
    51.9 KB · Views: 15
Nchi ina wajinga wengi sana ambao wamechanganyikiwa na hawaelewei wanataka nini.
Inasikitisha sana.
Sijui kwanini sasa JF imetawaliwa na vijana wanaopenda kusema Udini na ukabila. Kila kiti ni udini na ukabila. Kuhusu vijana hata mimi ningekuwa Rais nisingeteua kwani tunayaona humu maofisini. IQ ni ndogo, Maringo na tamaa ya pesa ya haraka haraka. Tumeona teuzi za Magufuli zilizozalisha Akina Sabaya, Makonda, Happy n.k.
 
Ulivyo panic utadhani ww ndie Rais. Mm post zangu zote ni kutoa suluhu. Siyo zako za umbea wa kitoto.

Afu uka jiendeleze ki elimu ili ujue kujenga hoja. Siyo ki degree cha ku kariri.
Comment zako hujibu hoja una bwabwaja tu kama mtoto wa kike.
Mkuu vipi tena mbona post zang zote mbili umezipita kimya kimya bila mchango wako au ufafanuzi wa zile teuzi zilizokuwa zinafanywa na serikali ya awamu ya 5 chini ya hayati dr John P Magufuli. Nimeona post namb #41 umeiruka, nikaandika nyingine namb #47 pia umeikimbia. Sasa sijui lengo la thread yako ilikuwa kukemea ubaguzi wa aina yoyote au ule uliohisi tu umefanywa na waislam pale wanapojaribu kubance mambo ili kuleta sura ya utaifa ktk uongozi. Hapo hatujagusa ukabila, ukanda nk.
 
Mkuu vipi tena mbona post zang zote mbili umezipita kimya kimya bila mchango wako au ufafanuzi wa zile teuzi zilizokuwa zinafanywa na serikali ya awamu ya 5 chini ya hayati dr John P Magufuli. Nimeona post namb #41 umeiruka, nikaandika nyingine namb #47 pia umeikimbia. Sasa sijui lengo la thread yako ilikuwa kukemea ubaguzi wa aina yoyote au ule uliohisi tu umefanywa na waislam pale wanapojaribu kubance mambo ili kuleta sura ya utaifa ktk uongozi. Hapo hatujagusa ukabila, ukanda nk.
Hana hoja za kukujibu amekurupuka
 
Ulivyo panic utadhani ww ndie Rais. Mm post zangu zote ni kutoa suluhu. Siyo zako za umbea wa kitoto.

Afu uka jiendeleze ki elimu ili ujue kujenga hoja. Siyo ki degree cha ku kariri.
Comment zako hujibu hoja una bwabwaja tu kama mtoto wa kike.
Mwaka uliomaliza chuo wengine ndio wajukuu wetu ndio wanaanza ajira zao.
Sasa bwana mdogo usiejua wala kuwahi kuwa na majukumu ya kibaba hauwezi kuwa muda wote humu unalilia mambo ya udini kama ndugu yako MK254
 
Hii nchi yetu sijajua inaendeshwaje kwa kweli. Kama Taifa hatuna Dira ya muda mrefu. Na kama nchi hatuandai vijana wa kuongoza Serikali na taasisi mbalimbali. Kila Rais mpya ata kuja na wateule wake wapya. Hataondoa vijana bora na kuweka wa ovyo.

Wengine wamepewa tuhuma za uongo ili kuhalalisha tu kuondolewa kwao. Pia, tumeacha taratibu na misingi ya promotion serikalini. Ila tuna ongozwa na milengo ya kisiasa, makundi, ukabila, kujuana, kujipendekeza, nk. Hii kitu tuikemee. China haijengwi hivyo!!

Jambo la pili, ni UDINI katika teuzi. Hivi karibuni iwe nafasi ya juu, majeshi, makatibu wakuu, Wakurugenzi, nk, kupitia page ya Msemaji wa Serikali toka Rais ateuliwe, ame kuwa na tabia ya kuteua Wakiristo ktk nafasi za Mwenyekiti wa Mashirika/Boards na Watendaji wakuu wa taasisi au serikali akiteua Waislam.

Ngazi ya juu kukiwa na mkiristo, mtendaji mkuu wa taasisi hiyo Rais ataweka Muislam. Nina uhakika na hili by 95% nimekuwa nikifuatilia. Hii ni kuondoa Wakiristo ktk utendaji wa Serikali. Sijakupangii ni nani uteue. Ila mm kama mwananchi nina uhuru wa kutoa maoni na ushauri wangu, kwa nia njema ya Taifa langu.

Hii mbegu ni mbaya sana. Isipo dhibitiwa mapema. Tuta ingia baadae kwenye ukabila.

Watu wateuliwe kutokana na Elimu, Uzoefu, utendaji kazi na umahiri wake. Samaki mkunje angali mbichi.
Akina mzee wa Sinde Warioba, Pinda, nk wanaona na wanajua ila wanaogopa kudharalishwa na hutu tu vijana kama akina Makonda, Happi, Sabaya kama mlivyo watumia hapo awali.

Watanzania wenzangu, Tanzania ni yetu sote. Tusiogope kuikosoa na kuishauri serikali kwa maslahi mapana ya Tanzania.
Ongeza bidii katika kazi, acha majungu
 
Mama samia hawezi kuwa Mdini nina uwakika angekuwa Mdini asingefika
Waliompigia kura Ndani ya ccm wengi sana ni wakristo na walifanya hivyo kwa kuwa alikuwa na sifa ya uongozi na sio sifa ya kuwa Mdini
Nina wakumbusha sisi na waislamu ni ndugu hakuna Tatizo kama akiteua muislamu kuwa katibu mkuu kwani akifika huko anaende kuwafundisha watu Madrasa?
Tuacheni utoto wa ajabu ajabu
 
Jambo la pili, ni UDINI katika teuzi. Hivi karibuni iwe nafasi ya juu, majeshi, makatibu wakuu, Wakurugenzi, nk, kupitia page ya Msemaji wa Serikali toka Rais ateuliwe, ame kuwa na tabia ya kuteua Wakiristo ktk nafasi za Mwenyekiti wa Mashirika/Boards na Watendaji wakuu wa taasisi au serikali akiteua Waislam.

Ngazi ya juu kukiwa na mkiristo, mtendaji mkuu wa taasisi hiyo Rais ataweka Muislam. Nina uhakika na hili by 95% nimekuwa nikifuatilia. Hii ni kuondoa Wakiristo ktk utendaji wa Serikali. Sijakupangii ni nani uteue. Ila mm kama mwananchi nina uhuru wa kutoa maoni na ushauri wangu, kwa nia njema ya Taifa langu.

Karne hii mnazungumzia dini serikalini
Kwani wanateuliwa wakahubiri injili!
Siku wakijivua dini zao napo lalamikeni
 
Hii nchi yetu sijajua inaendeshwaje kwa kweli. Kama Taifa hatuna Dira ya muda mrefu. Na kama nchi hatuandai vijana wa kuongoza Serikali na taasisi mbalimbali. Kila Rais mpya ata kuja na wateule wake wapya. Hataondoa vijana bora na kuweka wa ovyo.

Wengine wamepewa tuhuma za uongo ili kuhalalisha tu kuondolewa kwao. Pia, tumeacha taratibu na misingi ya promotion serikalini. Ila tuna ongozwa na milengo ya kisiasa, makundi, ukabila, kujuana, kujipendekeza, nk. Hii kitu tuikemee. China haijengwi hivyo!!

Jambo la pili, ni UDINI katika teuzi. Hivi karibuni iwe nafasi ya juu, majeshi, makatibu wakuu, Wakurugenzi, nk, kupitia page ya Msemaji wa Serikali toka Rais ateuliwe, ame kuwa na tabia ya kuteua Wakiristo ktk nafasi za Mwenyekiti wa Mashirika/Boards na Watendaji wakuu wa taasisi au serikali akiteua Waislam.

Ngazi ya juu kukiwa na mkiristo, mtendaji mkuu wa taasisi hiyo Rais ataweka Muislam. Nina uhakika na hili by 95% nimekuwa nikifuatilia. Hii ni kuondoa Wakiristo ktk utendaji wa Serikali. Sijakupangii ni nani uteue. Ila mm kama mwananchi nina uhuru wa kutoa maoni na ushauri wangu, kwa nia njema ya Taifa langu.

Hii mbegu ni mbaya sana. Isipo dhibitiwa mapema. Tuta ingia baadae kwenye ukabila.

Watu wateuliwe kutokana na Elimu, Uzoefu, utendaji kazi na umahiri wake. Samaki mkunje angali mbichi.
Akina mzee wa Sinde Warioba, Pinda, nk wanaona na wanajua ila wanaogopa kudharalishwa na hutu tu vijana kama akina Makonda, Happi, Sabaya kama mlivyo watumia hapo awali.

Watanzania wenzangu, Tanzania ni yetu sote. Tusiogope kuikosoa na kuishauri serikali kwa maslahi mapana ya Tanzania.
Usalama wa taifa wako wapi,wao ni dini gani
 
Mama samia hawezi kuwa Mdini nina uwakika angekuwa Mdini asingefika
Waliompigia kura Ndani ya ccm wengi sana ni wakristo na walifanya hivyo kwa kuwa alikuwa na sifa ya uongozi na sio sifa ya kuwa Mdini
Nina wakumbusha sisi na waislamu ni ndugu hakuna Tatizo kama akiteua muislamu kuwa katibu mkuu kwani akifika huko anaende kuwafundisha watu Madrasa?
Tuacheni utoto wa ajabu ajabu
Kuna wakristo wema Sana na waislam wastaarabu Sana. Uduni Haina nafasi. Mleta uzi akianza vzr.anaharibu kwenye hili... point muhimu aliyoanza nayo nilianza kumuelewa kuhusu tabia ya kuteua teua. Isitoshe Huwa anapelekewa majina tu. Na ukweli ndio huo wakina mavura walipewa ubalozi Kwa fadhira tu...


Huyu jamaa anaandika Andika upumbavu gani sijui...namjua sana
 
Back
Top Bottom