Tetesi za Watu Maarufu

Ni kweli alishika pua. Ilikuwa ni moja ya vijitabia vyake vya ajabu. Jamaa alikuwa na a lot of strange habits! But hakuna aliye na ushahidi wa kumsikia akisema maneno hayo ya kunuka

Hilo la kushika pua upande wake ulitoa maelezo kuwa MJ alikuwa na tatizo lijulikanalo kama NERVOUS TWITCH !!!!
 
 
Michael Jackson hakuwahi kusema Dar inanuka
alikuwa anashika pua ndo watu wakatafsiri hivyo

uongo mwingine ni kuwa Iddi Amini alikuwa hajui kiingereza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…