TETESI ZA CODES ZA TCU ZINAZOSUBIRIWA NA WENGI

TETESI ZA CODES ZA TCU ZINAZOSUBIRIWA NA WENGI

Mhujumu Uchumi

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2014
Posts
1,541
Reaction score
3,523
Habari wadau: Kwa "Applicants" Wote ambao Mmechaguliwa Kwenye Chuo zaidi ya kimoja na hamjapata code kwaajili ya Ku-confirm, Uvumilivu unahitajika na Muwe wapole. Kila mtu kwa sasa anajua watu hawajapata codes na hata waliotuma wanajua hivyo hazijafika kwa baadhi ya wanafunzi. Kikubwa cha kufanya ambacho ni kama ushauri haijatolewa kama "Public Notes" Mnatakiwa kuwasiliana na chuo ambacho ungependa Ku-CONFIRM ili wakupe hiyo code, Mana hiyo code kutoka TCU imetumwa na chuoni kwako ambako Uliomba. UDOM tayari wapo kwenye mchakato wa kutuma hizo codes mpya na walisema wataanza jioni hii. Kila la kheri MSIZIME VIMEO, WEKA CHAJI IKIWA "ON"
 
Screenshot_2018-09-03-21-09-37-247.jpeg
Screenshot_2018-09-03-21-09-37-247.jpeg
 
hii habari ukweli wake ni 0.0001 kwa sababu hilo likituhusiwa tatizo la mwaka jana litatokea multiple confirmation. vyuo vinaforce...
 
Mnatakiwa kuwasiliana na chuo ambacho ungependa Ku-CONFIRM ili wakupe hiyo code, Mana hiyo code kutoka TCU imetumwa na chuoni kwako ambako Uliomba. UDOM tayari wapo kwenye mchakato wa kutuma hizo codes mpya na walisema wataanza jioni hii. Kila la kheri MSIZIME VIMEO, WEKA CHAJI IKIWA "ON"
Anaetakiwa kupeleka CODE ni TCU. Chuo kimoja kimoja kikifanya hivyo ndio mwanzo wa matatizo. Sababu ya kutakiwa TCU watoe CODE ya siri ni kuepuka CONFLICT OF INTEREST. Otherwise vyuo vikiwa na hizo CODES-kwanza usiri unapotea na pili vinaweza kuzichezea.
 
Back
Top Bottom