Last Seen
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 223
- 549
Habari wakuu,
Kumekuwa na changamoto ya ku-confirm chuo kwa waliopata multiple admission, Uki-request code inaonesha code imetumwa lakini haifiki.Dogo kapata loan na inaonesha amepangwa chuo kimojawapo ya vile alivyochaguliwa.
Kuna njia ya tofauti ya kupata confirmation code? Tofauti kuingia kwenye account uliyoombea chuo?
Inawezekana icho chuo kilichojazwa kwenye HESLB loan kimeni-confirm badala yangu?
Kumekuwa na changamoto ya ku-confirm chuo kwa waliopata multiple admission, Uki-request code inaonesha code imetumwa lakini haifiki.Dogo kapata loan na inaonesha amepangwa chuo kimojawapo ya vile alivyochaguliwa.
Kuna njia ya tofauti ya kupata confirmation code? Tofauti kuingia kwenye account uliyoombea chuo?
Inawezekana icho chuo kilichojazwa kwenye HESLB loan kimeni-confirm badala yangu?